Edward Lowassa ana nyota ya kupendwa, ni hatari

Edward Lowassa ana nyota ya kupendwa, ni hatari

mchambuzixx

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,292
Reaction score
946
Huyu mtu atakua na nyota ya kupendwa si bure,

Huku kupendwa kwake KUMEVUKA mpaka huku mitaani ni hatari maana ukipita huku lowasa ukienda huku lowasa vijiwe vya kahawa ni lowasa..ukienda huku utasikia vibabu vinasema anaijua sana serikali huyu lazima ashinde vijana ndio kabisa wanamiminika kuchukua vichinjio kwenye bvr DAR....

Yaani kama anatumia ndumba atuambie mganga wake maana nackia kingunge ni mwenyekiti wa chama cha waganga wajadi pengine keshafanya yake, ccm nao badala ya kumnadi mgombea wao kila kukicha ni matamko na live press conferency zisizo na maana ...mwaka huu kazi ipoooo.

Upepo wa magufuli umeyeyuka hata kabla kampeni hazijaanza....

CCM wamebaki na propaganda za Dr slaa ....naawaambia hata slaa ikitokea akatoka moto wa lowasa umeshawaka kuzimika kwake lazima kazi ifanyike
 
Lowasa ndo habari ya mjini kwa sasa kuzungumzia magufuli ni sawa na kupoteza nguvu bure
 
kila kona ukipita ni lowassa,,lowassa ama kweli huyu jamaa ni disaster!!!
 
Huyu mtu atakua na nyota ya kupendwa si bure,

Huku kupendwa kwake KUMEVUKA mpaka huku mitaani ni hatari maana ukipita huku lowasa ukienda huku lowasa vijiwe vya kahawa ni lowasa..ukienda huku utasikia vibabu vinasema anaijua sana serikali huyu lazima ashinde vijana ndio kabisa wanamiminika kuchukua vichinjio kwenye bvr DAR....

Yaani kama anatumia ndumba atuambie mganga wake maana nackia kingunge ni mwenyekiti wa chama cha waganga wajadi pengine keshafanya yake,


Eti unasikia Kingunge ni mwenyekiti wa nini....Waganga ama.... tehete tehehehh
 
Kumbe ile habari ya kuzuia mafuriko kwa mkono CCM ilikuwa zuga tu bali huku alikojiunga ndio mvua ya mafuriko. Kweli CHADEMA ni mpango wa MUNGU
 
Hiyo nyota yake hata mimi imenishika pabaya maana nampenda sana.
 
nyota ya lowassa ni kama ya wema sepetu. mtu anaundiwa mpaka timu, mtu anapokelewa kwa maandamano ila golini hafiki. kila siku wimbo ni kupendwa ila linapokuja swala la kura hakuna kitu.
Lowassa hakuwahi kushindwa kwenye upande wa kupigiwa kura na watu pia hakuwahi kuwa wa pili kwenye kupigiwa kura...kama una ushahidi kwenye nini kunapohusiana watu kupiga kura lowassa akashindwa, muulize kikwete na nyerere wao ndio maana wanamkata mapema kabla hajafika kwenye kupigiwa kura.
 
M hata sielewi kanipa nn huyu mzee navyomkubali yan watu wanasema anaumwa sijui nn m hata sielewi nyota yke kali sana. Kama ya Chibu
 
Back
Top Bottom