Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,372
Angekuwa amechoka kisiasa na kasahaulika kama unavyojaribu kutudanganya ungemkumbuka na kumuanzishia uzi?
Why Lowassa of all politicians?
Naona unatafuta kick kupitia Mzee wetu kipenzi.
Lowassa yupo mioyoni mwetu tulio wengi,sio lazima tuanzishe threads kama hii ya kipuuzi.
Najua unajaribu kupima upepo,bila shaka jibu utalipata na usiache kulifikisha kama lilivyo huko Lumumba.
Why Lowassa of all politicians?
Naona unatafuta kick kupitia Mzee wetu kipenzi.
Lowassa yupo mioyoni mwetu tulio wengi,sio lazima tuanzishe threads kama hii ya kipuuzi.
Najua unajaribu kupima upepo,bila shaka jibu utalipata na usiache kulifikisha kama lilivyo huko Lumumba.