Edward Lowassa akosoa uongozi wa Rais Magufuli

Edward Lowassa akosoa uongozi wa Rais Magufuli

Politically, Lowassa is finished!

Mwambieni Ng'ombe wake wanamuhitaji zaidi ya siasa inavyomuhitaji!

The political game is over!

Kwa sasa amebakiwa na vision ya wizi na usanii aliyowekeza ambayo ndiyo inamuweka Jijini Dar.

You're right. Lowasa is politically finished. Sasa jiulize, inakuwaje mienendo na kauli zake vs serikali vinafuatiliwa sana? Sijaona mtu anayezungumzwa kwenye anga za kisiasa kama Lowasa. What else (zaidi ya "wizi") is so special with this guy?

Mimi binafsi nasubiri sana kuona siku hizi harakati za utumbuaji majipu zitakapomfikia, akapata hukumu stahili kama mwizi au fisadi mkuu. Lisipotokea hilo, my conclusion itakuwa nchi hii inaendeshwa kipuuzi sana. Na tuliomo tumefanywa mazuzu wa kutupwa. Full stop.
 
You're right. Lowasa is politically finished. Sasa jiulize, inakuwaje mienendo na kauli zake vs serikali vinafuatiliwa sana? Sijaona mtu anayezungumzwa kwenye anga za kisiasa kama Lowasa. What else (zaidi ya "wizi") is so special with this guy?

Mimi binafsi nasubiri sana kuona siku hizi harakati za utumbuaji majipu zitakapomfikia, akapata hukumu stahili kama mwizi au fisadi mkuu. Lisipotokea hilo, my conclusion itakuwa nchi hii inaendeshwa kipuuzi sana. Na tuliomo tumefanywa mazuzu wa kutupwa. Full stop.
haha magu anacheza na akili za watz ...nothing more
 
Ile ada elekezi ya shule binafsi iliishia wapi?

Mipango
Mipango
Mipango

Ni lazima tuwe na mfumo unaoamini katika:

Uhuru wa mtu kutoa maoni yake.
Kutambua kuwa cheo ni dhamana sio haki ya mtu mmoja. Ukichaguliwa kuwa kiongozi sio kwamba wewe ni mungu wa kuamua kila jambo bila kukosolewa.

Utu, kwa sasa watanzania hatuna utu kabisa ,hata ukiangalia michango ya kimawazo inayotolewa humu ndani imejaa ubinafsi ,dharau,ukabila ,udini,ushabiki,chuki na wivu. Hata wale wanaoshabikia kutumbuliwa majipu ni wazi kuwa ni watu wenye hasira na chuki za muda mrefu zilizojengwa na CCM na viongozi wake kwa Muda mrefu na wakawa wanasifiana bila kukosoana. Watu wanatamani majipu yauawe na sio kufikishwa mahakamani yote ni chuki ndani ya mioyo ya watanzania.

Uadilifu, hakuna uadilifu ukianza na ngazi ya familia. Kwenye ndoa hakuna uadilifu,wazazi sio waadilifu kwa watoto n.k. Ukifika kwenye taasisi za dini pia hakuna uadilifu .
Ni vyema Magufuli akakubali kuunda taifa lenye sheria zinazomfanya kila mtu kuwa muadilifu na mzalendo. Kwa sasa bado kuna harufu ya kujitafutia himaya ya kisultani kutokana na kuungwa mkono na kundi kubwa ambalo kwa muda mrefu pia limekua likitawala hii nchi na matatizo ndio hao hao waliosababisha.
Niliwahi kusema kuwa Magufuli atangaze mali zake na pesa alizo nazo kwenye akaunti. Baada ya hapo ufanyike usajili wa mali zote kubwa zilizopo kwenye nchi hii. Kuna watu watakutwa na nyumba 1000 huku wakiwa ni watumishi wa umma wanaoheshimika na kutukuzwa kwenye jamii. Waadilifu watajulikana. Wanaojifanya kushinda kwenye mitandao wakiwatukana wengine na kumsifu magufuli huenda wakawa ni majipu yanayotaka kumpotezea malengo. Tuliona nguvu kubwa iliyokuwa inatumika kumremba na kumsifu JK kila kukicha na safari zake kuziita zenye tija kwa taifa leo hii hao hao wamehamia kwa Magufuli na kuanza kumponda JK. Hii ni aina ya unafiki na woga wa kusema ukweli. Kama safari za JK zilikua na tija kwa taifa zitabakia milele kuwa na tija. Kama zilikua hazina tija basi zitakua hivyo milele sio mpaka aje Magufuli ndio ziambiwe kuwa hazina au zina tija.
Unafiki ni kitu kibaya sana. Nadhani hata mh.Magufili ameanza kugundua unafiki wa watu wanaotaka kupewa vyeo kwa kusifu kila kitu hata kibaya. Umeya wa jiji ni mfano kuna makada wa CC M walishaanza kulazimisha ushindi kwa kudhani kuwa watasifiwa na kuonekana mbele ya Rais lakini alipobaini ule uhuni akajitoa kwenye mitego miovu.
Panapobidi Rais akosolewe hata kama ni mtu wa kabila lake na dini yake.Tumkosoe tu. Tukijenga mambo ya kulindana kikabila na kidini baadae akija Raisi Mpemba tena msabato atadharaulika hata kama atakua muadilifu kwa kiwango gani kisa anatokana na kundi dogo kwenye jamii. Atakosa kundi kubwa la kumpamba na kumsifu kwa kila jambo kuliko hata Mungu.
Mvua itanyesha atasifiwa rais badala ya Mwenyezi Mungu. Magonjwa yataibuka atalaaniwa rais badala ya shetani n.k. Uadilifu unajengwa kwa kukosolewa na kukubali kukosolewa.
Nyerere alishindwa vibaya kwa sababu watu hawakutaka kumkosoa na kuonyesha nini wao wanaona kinafaa. Kwa kujiamulia kila jambo na kupigiwa makofi nchi ilizidi kuwa Maskini tofauti na malengo ya kudai uhuru.
Bunge liendelee kuaminika na kuwa mshauri mkuu wa serikali na kuielekeza serikali na sio serikali kulielekeza bunge.

Haki, ni lazima haki isimaniwe kwa nguvu zote. Tumeona baadhi ya taasisi zikikumbwa ba kashfa watu wanasimamishwa kazi lakini nyingine tunasoma kwenye Magazeti makashfa ya mabilioni lakini watu wanahamishwa na kupewa idara nyingine nyeti zaidi. Hii sio sawa. Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe mbele ya sheria.

Usawa, wote tunahitaji kupata sehemu ya keki ya taifa hili kwa usawa. Kukosekana kwa usawa ndiko kumepelekea kukosekana kwa uzalendo miongoni mwa watanzania.
Kuna vijiji tuliona kule kilwa kwenda Liwale wanakaa siku tatu njiani kutokana na barabara mbovu sana lakini hawajakumbukwa kwa haraka kama wale wa Mwanza kuelekea air port na wale wa Moroko Kuelekea Mwenge kule dsm.
 
Tatizo la uhuru wa kila mtu kuongea ama kuchangia hoja umebakwa na madhara yake ni makubwa sana, yaani siku hizi hata kilaza hataki kukosolewa na anakomaa u-kilaza wake uwe na thamani hata kama hauna hadhi ya kupewa thamani hiyo!
Magufuli anajua matatizo ya katiba ya mwaka 77 ila pia anajua faida ya katiba hiyo, hivyo kuna sheria anazivunja ili kunufaisha wananchi wake kwa kutumia sheria zinazompa mamlaka ktk katiba hiyo! Ndio maana mnaona hazungumzii suala la katiba mpya ambayo anaamini ili watu wengi waiunge mkono basi ni lazima alete ile rasimu ya Jaji Sinde Warioba ambayo inampunguzia mamlaka!
Kwa hali nchi yetu imefikia itabidi kwanza aendelee kufanya maamuzi magumu mpaka ajiridhishe kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo ndipo ataruhusu mchakato wa katiba mpya kutengenezwa! Anacholalamikia Lowassa leo kina matatizo makubwa kisheria ktk mapungufu ya katiba ya mwaka 77!
 
Acha uchama nyumbu wewe!! Usiangalie mambo kwa mrengo wa chama angalia uhalisia na ukweli wa kilichosemwa.Post za kidato cha tano zikitoka jamii forum(JF) Itarudia ubora wake.Mara nyingi nyie form four leaver hamjui kuchambua mada ila kila kitu kwa kuwa mko nyumbani muda wote na kazi za kufanya hamna ndio mnachangia upu.u..zi huku.
Nyumbu ni wewe usiyepima maoni ya Luwasa....yule ni mwizi tu na alitumia hizi hafla kuuza fulana na anasa...ndio maana kwa sasa hata chadema wanatumbuwa ruzuku hoteli za kitalii..! Hana sifa hata za kugombea serikali ya kijiji.
 
Ile ada elekezi ya shule binafsi iliishia wapi?

Mipango
Mipango
Mipango

Ni lazima tuwe na mfumo unaoamini katika:

Uhuru wa mtu kutoa maoni yake.
Kutambua kuwa cheo ni dhamana sio haki ya mtu mmoja. Ukichaguliwa kuwa kiongozi sio kwamba wewe ni mungu wa kuamua kila jambo bila kukosolewa.

Utu, kwa sasa watanzania hatuna utu kabisa ,hata ukiangalia michango ya kimawazo inayotolewa humu ndani imejaa ubinafsi ,dharau,ukabila ,udini,ushabiki,chuki na wivu. Hata wale wanaoshabikia kutumbuliwa majipu ni wazi kuwa ni watu wenye hasira na chuki za muda mrefu zilizojengwa na CCM na viongozi wake kwa Muda mrefu na wakawa wanasifiana bila kukosoana. Watu wanatamani majipu yauawe na sio kufikishwa mahakamani yote ni chuki ndani ya mioyo ya watanzania.

Uadilifu, hakuna uadilifu ukianza na ngazi ya familia. Kwenye ndoa hakuna uadilifu,wazazi sio waadilifu kwa watoto n.k. Ukifika kwenye taasisi za dini pia hakuna uadilifu .
Ni vyema Magufuli akakubali kuunda taifa lenye sheria zinazomfanya kila mtu kuwa muadilifu na mzalendo. Kwa sasa bado kuna harufu ya kujitafutia himaya ya kisultani kutokana na kuungwa mkono na kundi kubwa ambalo kwa muda mrefu pia limekua likitawala hii nchi na matatizo ndio hao hao waliosababisha.
Niliwahi kusema kuwa Magufuli atangaze mali zake na pesa alizo nazo kwenye akaunti. Baada ya hapo ufanyike usajili wa mali zote kubwa zilizopo kwenye nchi hii. Kuna watu watakutwa na nyumba 1000 huku wakiwa ni watumishi wa umma wanaoheshimika na kutukuzwa kwenye jamii. Waadilifu watajulikana. Wanaojifanya kushinda kwenye mitandao wakiwatukana wengine na kumsifu magufuli huenda wakawa ni majipu yanayotaka kumpotezea malengo. Tuliona nguvu kubwa iliyokuwa inatumika kumremba na kumsifu JK kila kukicha na safari zake kuziita zenye tija kwa taifa leo hii hao hao wamehamia kwa Magufuli na kuanza kumponda JK. Hii ni aina ya unafiki na woga wa kusema ukweli. Kama safari za JK zilikua na tija kwa taifa zitabakia milele kuwa na tija. Kama zilikua hazina tija basi zitakua hivyo milele sio mpaka aje Magufuli ndio ziambiwe kuwa hazina au zina tija.
Unafiki ni kitu kibaya sana. Nadhani hata mh.Magufili ameanza kugundua unafiki wa watu wanaotaka kupewa vyeo kwa kusifu kila kitu hata kibaya. Umeya wa jiji ni mfano kuna makada wa CC M walishaanza kulazimisha ushindi kwa kudhani kuwa watasifiwa na kuonekana mbele ya Rais lakini alipobaini ule uhuni akajitoa kwenye mitego miovu.
Panapobidi Rais akosolewe hata kama ni mtu wa kabila lake na dini yake.Tumkosoe tu. Tukijenga mambo ya kulindana kikabila na kidini baadae akija Raisi Mpemba tena msabato atadharaulika hata kama atakua muadilifu kwa kiwango gani kisa anatokana na kundi dogo kwenye jamii. Atakosa kundi kubwa la kumpamba na kumsifu kwa kila jambo kuliko hata Mungu.
Mvua itanyesha atasifiwa rais badala ya Mwenyezi Mungu. Magonjwa yataibuka atalaaniwa rais badala ya shetani n.k. Uadilifu unajengwa kwa kukosolewa na kukubali kukosolewa.
Nyerere alishindwa vibaya kwa sababu watu hawakutaka kumkosoa na kuonyesha nini wao wanaona kinafaa. Kwa kujiamulia kila jambo na kupigiwa makofi nchi ilizidi kuwa Maskini tofauti na malengo ya kudai uhuru.
Bunge liendelee kuaminika na kuwa mshauri mkuu wa serikali na kuielekeza serikali na sio serikali kulielekeza bunge.

Haki, ni lazima haki isimaniwe kwa nguvu zote. Tumeona baadhi ya taasisi zikikumbwa ba kashfa watu wanasimamishwa kazi lakini nyingine tunasoma kwenye Magazeti makashfa ya mabilioni lakini watu wanahamishwa na kupewa idara nyingine nyeti zaidi. Hii sio sawa. Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe mbele ya sheria.

Usawa, wote tunahitaji kupata sehemu ya keki ya taifa hili kwa usawa. Kukosekana kwa usawa ndiko kumepelekea kukosekana kwa uzalendo miongoni mwa watanzania.
Kuna vijiji tuliona kule kilwa kwenda Liwale wanakaa siku tatu njiani kutokana na barabara mbovu sana lakini hawajakumbukwa kwa haraka kama wale wa Mwanza kuelekea air port na wale wa Moroko Kuelekea Mwenge kule dsm.
Point ya msingi sana umeizungumza hasa hapo PA kwenda liwale siku tatu barabarani aisee kweli tz majanga tupu
 
N
Ile ada elekezi ya shule binafsi iliishia wapi?

Mipango
Mipango
Mipango

Ni lazima tuwe na mfumo unaoamini katika:

Uhuru wa mtu kutoa maoni yake.
Kutambua kuwa cheo ni dhamana sio haki ya mtu mmoja. Ukichaguliwa kuwa kiongozi sio kwamba wewe ni mungu wa kuamua kila jambo bila kukosolewa.

Utu, kwa sasa watanzania hatuna utu kabisa ,hata ukiangalia michango ya kimawazo inayotolewa humu ndani imejaa ubinafsi ,dharau,ukabila ,udini,ushabiki,chuki na wivu. Hata wale wanaoshabikia kutumbuliwa majipu ni wazi kuwa ni watu wenye hasira na chuki za muda mrefu zilizojengwa na CCM na viongozi wake kwa Muda mrefu na wakawa wanasifiana bila kukosoana. Watu wanatamani majipu yauawe na sio kufikishwa mahakamani yote ni chuki ndani ya mioyo ya watanzania.

Uadilifu, hakuna uadilifu ukianza na ngazi ya familia. Kwenye ndoa hakuna uadilifu,wazazi sio waadilifu kwa watoto n.k. Ukifika kwenye taasisi za dini pia hakuna uadilifu .
Ni vyema Magufuli akakubali kuunda taifa lenye sheria zinazomfanya kila mtu kuwa muadilifu na mzalendo. Kwa sasa bado kuna harufu ya kujitafutia himaya ya kisultani kutokana na kuungwa mkono na kundi kubwa ambalo kwa muda mrefu pia limekua likitawala hii nchi na matatizo ndio hao hao waliosababisha.
Niliwahi kusema kuwa Magufuli atangaze mali zake na pesa alizo nazo kwenye akaunti. Baada ya hapo ufanyike usajili wa mali zote kubwa zilizopo kwenye nchi hii. Kuna watu watakutwa na nyumba 1000 huku wakiwa ni watumishi wa umma wanaoheshimika na kutukuzwa kwenye jamii. Waadilifu watajulikana. Wanaojifanya kushinda kwenye mitandao wakiwatukana wengine na kumsifu magufuli huenda wakawa ni majipu yanayotaka kumpotezea malengo. Tuliona nguvu kubwa iliyokuwa inatumika kumremba na kumsifu JK kila kukicha na safari zake kuziita zenye tija kwa taifa leo hii hao hao wamehamia kwa Magufuli na kuanza kumponda JK. Hii ni aina ya unafiki na woga wa kusema ukweli. Kama safari za JK zilikua na tija kwa taifa zitabakia milele kuwa na tija. Kama zilikua hazina tija basi zitakua hivyo milele sio mpaka aje Magufuli ndio ziambiwe kuwa hazina au zina tija.
Unafiki ni kitu kibaya sana. Nadhani hata mh.Magufili ameanza kugundua unafiki wa watu wanaotaka kupewa vyeo kwa kusifu kila kitu hata kibaya. Umeya wa jiji ni mfano kuna makada wa CC M walishaanza kulazimisha ushindi kwa kudhani kuwa watasifiwa na kuonekana mbele ya Rais lakini alipobaini ule uhuni akajitoa kwenye mitego miovu.
Panapobidi Rais akosolewe hata kama ni mtu wa kabila lake na dini yake.Tumkosoe tu. Tukijenga mambo ya kulindana kikabila na kidini baadae akija Raisi Mpemba tena msabato atadharaulika hata kama atakua muadilifu kwa kiwango gani kisa anatokana na kundi dogo kwenye jamii. Atakosa kundi kubwa la kumpamba na kumsifu kwa kila jambo kuliko hata Mungu.
Mvua itanyesha atasifiwa rais badala ya Mwenyezi Mungu. Magonjwa yataibuka atalaaniwa rais badala ya shetani n.k. Uadilifu unajengwa kwa kukosolewa na kukubali kukosolewa.
Nyerere alishindwa vibaya kwa sababu watu hawakutaka kumkosoa na kuonyesha nini wao wanaona kinafaa. Kwa kujiamulia kila jambo na kupigiwa makofi nchi ilizidi kuwa Maskini tofauti na malengo ya kudai uhuru.
Bunge liendelee kuaminika na kuwa mshauri mkuu wa serikali na kuielekeza serikali na sio serikali kulielekeza bunge.

Haki, ni lazima haki isimaniwe kwa nguvu zote. Tumeona baadhi ya taasisi zikikumbwa ba kashfa watu wanasimamishwa kazi lakini nyingine tunasoma kwenye Magazeti makashfa ya mabilioni lakini watu wanahamishwa na kupewa idara nyingine nyeti zaidi. Hii sio sawa. Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe mbele ya sheria.

Usawa, wote tunahitaji kupata sehemu ya keki ya taifa hili kwa usawa. Kukosekana kwa usawa ndiko kumepelekea kukosekana kwa uzalendo miongoni mwa watanzania.
Kuna vijiji tuliona kule kilwa kwenda Liwale wanakaa siku tatu njiani kutokana na barabara mbovu sana lakini hawajakumbukwa kwa haraka kama wale wa Mwanza kuelekea air port na wale wa Moroko Kuelekea Mwenge kule dsm.
Nadhani kila mwenye akili atakuwa kakuelewa.Wale ambao hawatakuelewa watakuwa na matatizo yao binafsi.
 
Acha uchama nyumbu wewe!! Usiangalie mambo kwa mrengo wa chama angalia uhalisia na ukweli wa kilichosemwa.Post za kidato cha tano zikitoka jamii forum(JF) Itarudia ubora wake.Mara nyingi nyie form four leaver hamjui kuchambua mada ila kila kitu kwa kuwa mko nyumbani muda wote na kazi za kufanya hamna ndio mnachangia upu.u..zi huku.
Huwezi kujuwa kitu dogo...siasa za kuletwa na lowasa ndio zimesababisha mkaitwa nyumbu.
 
Hata kama ni mahaba wakati mwingine tumia akili yako vyema, hivi unaona ni sahihi mtu mmoja kujiamulia mambo kwa mustakabali wa taifa? Kama ni kubana matumizi angezuia sherehe hizo fedha bunge lijadili wapi zitumike.
Uko sahh mkubwa cc huwa tunasheherekea kabla ya sherehe ikija kufka wote tumechoka watabakia wanafki tu
 
Huyo ndo rais wako, wee endelea kuponda na kuona mabaya kwako, ila kapunguza gharama, kama shule ilikupiga chenga, huwezi ona!
Emdelea kulefusha lips zako.
kutokana na ufinyu wa akili yako unaona kapunguza gharama poleni sana maana najua mko wengi auko peke yako wenye mawazo mgando
Tunamfikia sasa hivi, tunaanza na mafisadi wakubwa, asijifanye kupiga kelele ili tumuache. sasa hivi tunae.
 
Tunamfikia sasa hivi, tunaanza na mafisadi wakubwa, asijifanye kupiga kelele ili tumuache. sasa hivi tunae.
mngeanza na wa lushoto alafu wa msoga ndie mumfuate lowassa na pia kwa jinsi nnavyojua mlivyo wanafiki amtoweza maana kama chenge ni mwenyekiti wa bunge na mmeshindwa kumshtaki hao wengine mtaweza?
 
Wewe na fisadi Lowasa wote ni vilaza, haujui kama raisi Kikatiba ndiyo mwenye uwezo wa kuamua siku gani iwe sikukuu na nipi isiwe? Kwa taarifa yako tu wacha kubadilisha matumzi ya fedha bali Raisi wa JMTZ ana uwezo wa kuzifuta kabisa hizo siku na zisiwepo na hii ni Kikatiba kabisa!
Kuwa mkubwa sio kuota mavuz na ndevu usikae km unaangalia movie unasubr iishe bali tambua ukitoka ww kuna kizaz chako uendeshwaj wa nchi huwa c wa mtu mmoja au taasisi umma unahusika ww endelea kusoma uwazi na ijumaa wkenda bac huwaz ktk akl yako unasubr kuckia na kupelekwa bla kujitambua hii n nchi co familia
 
HANA TATIZO LOLOTE BADO ANA POSHO NA MARUPURUPU MPAKA AINGIE KABURINI WEWE JE? ?


Ni nani alikwambia pesa ndiyo iletayo furaha maishani? Unaweza kukuta watu kama fisadi lowasa ndiyo wenye maisha magumu klk hata watu masikini, huyo fisadi wako inaelekea hata usingizi tu kwake kupata ni ishu!
 
Ayaaa!! Makamanda kunja ngumi zungurusha mikono kwa nguvu nikisema Lowassa nyie itikieni mabadiliiiiiko.

Lowassa Mabadilikoooooooo.
 
Yaone majizi ya lumumba yaan uzi kumtaja tu lowasa yalishakurupuka virabuni kuchangia pumba yaan yananichefua mie.
 
Kuwa mkubwa sio kuota mavuz na ndevu usikae km unaangalia movie unasubr iishe bali tambua ukitoka ww kuna kizaz chako uendeshwaj wa nchi huwa c wa mtu mmoja au taasisi umma unahusika ww endelea kusoma uwazi na ijumaa wkenda bac huwaz ktk akl yako unasubr kuckia na kupelekwa bla kujitambua hii n nchi co familia



Acha kubwabwaja onyesha kifungu cha Katiba Raisi wa JMTZ alichokiuka!
 
Magu mpeni miaka miwili tu atakuwa kama wenzake tu maana baada hapo uchaguzi utakuwa umekaribia hivyo lazima aende ki CCM maana yeye ndo atakuwa ni Rais na wakati huo huo ni Mwenyekiti wa chama.
Je wewe ni mtabiri? Ongelea issues zilizopo wakati huu sio unaleta mambo ya kufikirika yasio na maono
 
Back
Top Bottom