Edward Lowassa akosoa uongozi wa Rais Magufuli

Edward Lowassa akosoa uongozi wa Rais Magufuli

Unafikiri watakuelewa??
MTU yeyote successful kiuchumi... Kielimu ni smart sana!! Sema hawa waliofukiwa mawazo na akili zao Bagamoyo na akina Forojo Ganze wataishia kula viwavi siku zote za maisha yao!!!
 
Ndiyo maana Trump alishasema Afrika inatakiwa itawaliwe na wazungu kwa mara ya pili.
 
Ujue Lowasa mimi huwa namuona kama hajitambui vile sijui nani kamroga anaongea pumba tupu yani hajui hata pesa ipi inatakiwa kuidhinishwa na bunge na pesa gani ipo kwenye mamlaka ya Rais,mtu mzima hovyo kabisa.
Kwahiyo kuna PESA isiyoidhinishwa na bunge ktk matumizi ya budget ya serikali kwa mwaka wa fedha? Wewe ni mfu kabisa!!!
 
Uwe unasoma kwa makini amesema ANA UWEZO WA KUZIFUTA sio kwamba kazifuta.
Kwani Mimi nimeongea kuhusu kuzifuta au nimeongelea matumizi ya PESA? Wewe nae ni zamwamwa kwani umeshindwa kuelewa content ya message yangu!!
 
Hata kama ni mahaba wakati mwingine tumia akili yako vyema, hivi unaona ni sahihi mtu mmoja kujiamulia mambo kwa mustakabali wa taifa? Kama ni kubana matumizi angezuia sherehe hizo fedha bunge lijadili wapi zitumike.
 
  • Thanks
Reactions: mjp
MTU yeyote successful kiuchumi... Kielimu ni smart sana!! Sema hawa waliofukiwa mawazo na akili zao Bagamoyo na akina Forojo Ganze wataishia kula viwavi siku zote za maisha yao!!!

Mwizi tu huyo mamvi successful sisi inatuhusu nini biashara zake za madili ale na mafisadi wenzake walio kununuweni . Tunae rais mzalendo anaefanya kila kitu ili kutusaidia wananchi tutamsapoti mpaka mwisho sababu anafanya yote kwa manufaa yetu. Kwa Magufuli mtafute namna nyingine yupo mioyoni mwetu. Mnalo!
 
Hata kama ni mahaba wakati mwingine tumia akili yako vyema, hivi unaona ni sahihi mtu mmoja kujiamulia mambo kwa mustakabali wa taifa? Kama ni kubana matumizi angezuia sherehe hizo fedha bunge lijadili wapi zitumike.

Ni sahihi ndio kujiamulia si tumempa hayo mamlaka tatizo lenu nini.. Kama mlikuwa mnaigiza maamuzi magumu haya sasa ndio maamuzi magumu original. Mpoo!
 
Hata kama ni mahaba wakati mwingine tumia akili yako vyema, hivi unaona ni sahihi mtu mmoja kujiamulia mambo kwa mustakabali wa taifa? Kama ni kubana matumizi angezuia sherehe hizo fedha bunge lijadili wapi zitumike.


Weka hicho kifungu cha Katiba kinachomnyima Raisi huwo uwezo, ili tuone ni kama Raisi kavunja Katiba au la, uweke kweli hicho kifungu kinyume na hapo utakuwa ni kilaza tu kama vile fisadi Lowasa, hivyo nasubiri uweke kifungu kilichovunjwa !
 
Ni sahihi ndio kujiamulia si tumempa hayo mamlaka tatizo lenu nini.. Kama mlikuwa mnaigiza maamuzi magumu haya sasa ndio maamuzi magumu original. Mpoo!
Hakuna aliempa mamlaka ya kujiamulia wewe, amepewa mamlaka ya kufuata sheria na katiba, acha uzwazwa kama mmeamua ajiamulie, katiba mpya mnaihitaji ya nini?
 
Lowassa amejaliwa akili sana kitu kinachomtofautisha na wengine wengi....

Ni kweli Magufuli hana vision ndio maana ameanza kufifia!!!
Hivi ulisema hivyo mbona yeye alififia haraka zaidi kuliko waziri mkuu yoyote aliyewahi kutokea nchi hii.
Haya majipu yapo na ulijulikana kinachofanyika ni Magufuli kuyatumbua tu.
Nchi haiwezi kuendeshwa na biashara za rushwa ni bora kuanza upya kuliko kuendelea na mfumo rushwa
 
Weka hicho kifungu cha Katiba kinachomnyima Raisi huwo uwezo, ili tuone ni kama Raisi kavunja Katiba au la, uweke kweli hicho kifungu kinyume na hapo utakuwa ni kilaza tu kama vile fisadi Lowasa, hivyo nasubiri uweke kifungu kilichovunjwa !
Ameingilia mamlaka ya bunge, hela za miradi ya maendeleo huamuliwa na bunge kupelekwa kwenye wizara iliyo hitaji hizo hela, hivi unajua ni kaiasi gani cha pesa ambacho wakandarasi wanadai na hawajalipwa? kwa nini hizo pesa zisitumike kulipa hilo deni? Unajua ni kiasi gani cha wizara ambacho hakijalipwa kufikia hata 50% ya bajeti waliyowakilisha. Acheni unafiki Tanzania sio Dar peke yake, kuna barabara nyingi mikoani zimekwama kwa sababu ya ukosefu wa fedha, maisha ya watanzania ni kwa watanzania sio wana Darisalama mkuu.
 
sipati picha Lowasa angeingia magogoni hali ya vitalu vyetu ingekuwaje sasa hivi
 
Lowassa anapinga bilioni 2 za sherehe za Muungano kujenga barabara, badala yake alitaka watu wakaserebuke na kuzitumbua hizo fedha.

Hayo ndiyo maneno ya mtu aliyetaka kuleta mabadiliko TZ!

- Amlalamikia Rais Magufuli kugawa fedha kwa shughuli mbalimbali wakati chombo chenye mamlaka kugawa fedha kipo ambacho ni bunge.(Pesa za uhuru na Pesa za Muungano)

- Asikitishwa na uachishwaji wa kazi kwa wafanyakazi, asema hali ngumu ya uendeshaji wa mashirika hayo ndio usababisha utendaji hafifu.

- Asononeshwa na hali ngumu ya maisha mtaani.

- Asikitishwa na ushukaji wa huduma ya Bandari kushuka kwa asilimia 50 na kusababisha vijana wengi kusota mtaani.

- Kitendo cha wahisani kujitoa kuisaidia nchi asema n i pigo kubwa kwetu kwa mustakabali wa uchumi wa nchi.

- Asema si kweli kwamba uongozi wa Rais mstaafu Kikwetu kila mtu alikuwa mla rushwa, ni kweli mfumo ule ulikuwa mbovu na wa kifisadi.

Barbarosa twende kukimbiza Mwenge Mpwa

uploadfromtaptalk1460095278236.jpg
 
Tulitambua mapema hilo, ndoo maana tulihakikisha haingii Ikulu. Maana akili yake yote inawaza madili.
 
Kweli tunashidwa kujadilia bila matusi IQ za sisi watanzania ni shida viongonzi wataendelea kutumia mapungufu yetu kuendelea kutuburuza so sadness
 
...eti maanayake nini..? hata Obama anakosolewa ijekuwa Magufuli...?? alichosema Lowassa matumizi lazima yaidhinishwe na bunge na sio kupanga na kujitekelezea mwenyewe. kesho akisema anataka bilioni mbili zikakarabati nyumba yake pia usijekuhoji...

Ndiyo hata Obama anakosolewa lakini inategemea anaye mkosoa ni nani?, ni mtu wq aina gani? na ana dhamira gani anapokosoa, Lowasa hana jipya na ndumila kuwili, asiyeaminika, amekuwepo serikalini kwa mda mrfu sana, amesifia sana serikali ya kikwete, alikuwa ni sehemu ya serikali ya kikwete iliyokuwa imejaa Rushwa, na ufisadi huku yeye mwenyewe akiwa fisadi namba moja. anaposema chombo cha kugawa pesa kipo na ni bunge, bunge hilo hilo ndio lililotufikisha, na kutukwamisha, bunge hilo hilo analotaka lifanye maamzi ya pesa linatawaliwa na wana CCM. Lowasa kaa kimya utulie au urudi CCM Upinzani hukuwezi.....
 
Mzee hana cha kukosoa kwa uongozi wa Magufuli
amebakia kutapatapa. Haiwezekani hao wabunge ndo wanaongoza kufisadi uwapelekee pesa ili wale no bora anavyofanya. Halafu pia mbona ilisha idhinishwa na bunge yeye anabadilisha matumizi tu!
 
MTU yeyote successful kiuchumi... Kielimu ni smart sana!! Sema hawa waliofukiwa mawazo na akili zao Bagamoyo na akina Forojo Ganze wataishia kula viwavi siku zote za maisha yao!!!
Huyu kafanikiwa kwa wizi....watoto,wakwe na wajukuu wezi...njoo kisutu hapa shemejio Sioi anatafuta dhamana.
 
Back
Top Bottom