kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,351
Hee Mukandala na yy mwiz nn cku hz!?
Hee Mukandala na yy mwiz nn cku hz!?
Tatizo la luwasa alifikiri ikulu ni choo au wodi ya wagonjwa.HANA TATIZO LOLOTE BADO ANA POSHO NA MARUPURUPU MPAKA AINGIE KABURINI WEWE JE? ?
Tulia....kabla haja lowasika dawa imeshaanza kufanya kazi.mngeanza na wa lushoto alafu wa msoga ndie mumfuate lowassa na pia kwa jinsi nnavyojua mlivyo wanafiki amtoweza maana kama chenge ni mwenyekiti wa bunge na mmeshindwa kumshtaki hao wengine mtaweza?
Hivi luwasa anamkosoa Rais kwa nafasi yake ipi? kama ni mgombea urais uchaguzi ulikwisha na rais ameshaapishwa. Hiyo hali ngumu ya maisha mitaani yeye na rafiki yake ndio wahusika kwa ufisadi wao. Vipi uchungajt ng'ombe umemshinda?- Amlalamikia Rais Magufuli kugawa fedha kwa shughuli mbalimbali wakati chombo chenye mamlaka kugawa fedha kipo ambacho ni bunge.(Pesa za uhuru na Pesa za Muungano)
- Asikitishwa na uachishwaji wa kazi kwa wafanyakazi, asema hali ngumu ya uendeshaji wa mashirika hayo ndio usababisha utendaji hafifu.
- Asononeshwa na hali ngumu ya maisha mtaani.
- Asikitishwa na ushukaji wa huduma ya Bandari kushuka kwa asilimia 50 na kusababisha vijana wengi kusota mtaani.
- Kitendo cha wahisani kujitoa kuisaidia nchi asema n i pigo kubwa kwetu kwa mustakabali wa uchumi wa nchi.
- Asema si kweli kwamba uongozi wa Rais mstaafu Kikwete kila mtu alikuwa mla rushwa, ni kweli mfumo ule ulikuwa mbovu na wa kifisadi.
Hapa inadhiirisha kuwa Lowassa angeshinda mambo ya mzee wa msoga yangebaki pale pale- Amlalamikia Rais Magufuli kugawa fedha kwa shughuli mbalimbali wakati chombo chenye mamlaka kugawa fedha kipo ambacho ni bunge.(Pesa za uhuru na Pesa za Muungano)
- Asikitishwa na uachishwaji wa kazi kwa wafanyakazi, asema hali ngumu ya uendeshaji wa mashirika hayo ndio usababisha utendaji hafifu.
- Asononeshwa na hali ngumu ya maisha mtaani.
- Asikitishwa na ushukaji wa huduma ya Bandari kushuka kwa asilimia 50 na kusababisha vijana wengi kusota mtaani.
- Kitendo cha wahisani kujitoa kuisaidia nchi asema n i pigo kubwa kwetu kwa mustakabali wa uchumi wa nchi.
- Asema si kweli kwamba uongozi wa Rais mstaafu Kikwete kila mtu alikuwa mla rushwa, ni kweli mfumo ule ulikuwa mbovu na wa kifisadi.
Ah akili za wizi!!! Rais anawaka angalia mataifa mengine yanavyomzungumzia utendaji wake, fisadi anaongelewa.....Lowassa amejaliwa akili sana kitu kinachomtofautisha na wengine wengi....
Ni kweli Magufuli hana vision ndio maana ameanza kufifia!!!
Ha ha ha kageuka kuwa mwanaharakati sahzi.Hivi luwasa anamkosoa Rais kwa nafasi yake ipi? kama ni mgombea urais uchaguzi ulikwisha na rais ameshaapishwa. Hiyo hali ngumu ya maisha mitaani yeye na rafiki yake ndio wahusika kwa ufisadi wao. Vipi uchungajt ng'ombe umemshinda?
Ukisikia paaaaaaaaa!!!! ujue tayari jiwe lishamgonga mtu kichwani
Na pia anaweza akaagiza Jumapili uende kazini....Wewe na fisadi Lowasa wote ni vilaza, haujui kama raisi Kikatiba ndiyo mwenye uwezo wa kuamua siku gani iwe sikukuu na nipi isiwe? Kwa taarifa yako tu wacha kubadilisha matumzi ya fedha bali Raisi wa JMTZ ana uwezo wa kuzifuta kabisa hizo siku na zisiwepo na hii ni Kikatiba kabisa!
Na pia anaweza akaagiza Jumapili uende kazini....
Ni kweli hajielewi, Bunge halitoi pesa bali hupitisha bajeti na inayotoa fedha ni Hazina ( Wizara ya Fedha) kulingana na bajeti iliyoidhinishwa na bunge, ova!Ujue Lowasa mimi huwa namuona kama hajitambui vile sijui nani kamroga anaongea pumba tupu yani hajui hata pesa ipi inatakiwa kuidhinishwa na bunge na pesa gani ipo kwenye mamlaka ya Rais,mtu mzima hovyo kabisa.
Na tena Mwinyi akaagiza sikukuu ikiangukia siku ya mapumziko ifidiwe siku ya kazi watukufu watanzania walale zao nyumbani na wapenzi wao, chezea cheo rais wewe!Ndiyo, Raisi anaweza kusema Jumapili siyo siku ya mapunziko bali ni Jumatano, hilo ana mamlaka nalo kabisa, mbona zamani tulikuwa tunaenda Shule na kufanya kazi Jumamosi na Mwinyi akajakuondoa??
Never not now...!!!EL kwisha kazi...
Poor argument ever seen. Ukisema hivyo hakuna mtu anatoa pesa mfukoni. Hata hazina hupewa pesa kutoka BOT. hivyo ni argument isiyo na mashiko!Ni kweli hajielewi, Bunge halitoi pesa bali hupitisha bajeti na inayotoa fedha ni Hazina ( Wizara ya Fedha) kulingana na bajeti iliyoidhinishwa na bunge, ova!