BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Kama mdau wa michezo kuna kitu hakipo sawa, hasa hawa watangazi wa michezo wa mpira wa miguu Tanzania makanjanja.
Yeye kung'ang'ania kuwa Watanzania wamesoma public notice ya tume ya ushindani kuhusu thamani ya klabu ya simba sports club?
Wewe na makanjanja wenzio mmetumwa na nani kuchafua klabu ya SIMBA? maswali yako ya KINAFIKI ukiwa unauliza kua kama watu wamesoma hio public notice, kana kwamba kuna kitu personal ambacho unacho na klabu ya SIMBA, na sio wewe tu mwandishi kanjanja, na wengine ambao hua "mnachokonoa" mambo ili ionekane SIMBA inafanya mambo kihuni.
Sikiliza nikwambie wewe na makanjanja wenzio wa habari za michezo,SIMBA ni klabu kubwa na taasisi kubwa, na tunafanya mambo kwa weledi wa hali ya juu, sasa nyie makanjanja endeleeni kubwatuka huko kwenye vyombo vya habari, simba tunajua maadui wapo wengi, na maadui wetu wa soka tupo nao hapa hapa nchini. Kila kitu kitawekwa wazi na zaidi itakua aibu kwenu na vituo vya redio mnavyotumia kujikinga navyo.
SIMBA NGUVU MOJA!
Yeye kung'ang'ania kuwa Watanzania wamesoma public notice ya tume ya ushindani kuhusu thamani ya klabu ya simba sports club?
Wewe na makanjanja wenzio mmetumwa na nani kuchafua klabu ya SIMBA? maswali yako ya KINAFIKI ukiwa unauliza kua kama watu wamesoma hio public notice, kana kwamba kuna kitu personal ambacho unacho na klabu ya SIMBA, na sio wewe tu mwandishi kanjanja, na wengine ambao hua "mnachokonoa" mambo ili ionekane SIMBA inafanya mambo kihuni.
Sikiliza nikwambie wewe na makanjanja wenzio wa habari za michezo,SIMBA ni klabu kubwa na taasisi kubwa, na tunafanya mambo kwa weledi wa hali ya juu, sasa nyie makanjanja endeleeni kubwatuka huko kwenye vyombo vya habari, simba tunajua maadui wapo wengi, na maadui wetu wa soka tupo nao hapa hapa nchini. Kila kitu kitawekwa wazi na zaidi itakua aibu kwenu na vituo vya redio mnavyotumia kujikinga navyo.
SIMBA NGUVU MOJA!