Denis Baraka
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 339
- 759
Itasaidia sana kama unajitambua katika hizo ntakati, Simba saivi inajitambua sana kupitia management yake yote, they’ve invested a lot na sidhani kama kwa sasa wapo katika wakati wa makosa makubwa yanayowafanya wachafuliwe namna hiiKumbuka; kuna nyakati mbili za kujaji mambo, mosi ni kipindi Mambo yanaenda Vizuri (mafanikio) na kipindi unafanya Makosa makubwa! Hizo nyakati tegemea kusemangwa sana. Muhimu ni wakati huu Simba wako wapi
Kama una-perform vizur na unachafuliwa just move on na kama unafanya makosa makubwa na unachafuliwa tafakari unakwama wapi uchukue hatua stahiki regardless ya nani yupo upande wako coz wengi mamluki eg. Senzo