Kibaya zaidi hawa watu wanatofautiana u-smart,PK yuko smart mpaka inaogopesha ila huyu wetu mmmh hata anavoongea ni dhahiri kuna mambo huwa hayajui.
Skuizi wachambuzi wa Mpira wanachambua utendaji wa serikali?? Kwani kutofautiana ndiyo bifu la maisha? Ama tuvutane na Rwanda kama Simba na Yanga? Mbona China na USA wanabishana lakini wanashirikiana katika mengi. Tuzielekeze akili zetu kiusahihi,waweza kuwanazo Sana lakini ukazielekeza kusikoeleweka
USA waliathirikaje na wanaendelea kuathirikaje mpaka sasa. Hivi vitu vipo tu vinatokea na vitaendelea kutokea. Hakuna cha kuwahofisha wananchi utafikiri nchi ipo hatarini sana.Hoja ipi unayojaribu kuitoa?
Siri huwa zinaibiwa fahamu hilo haijalishi zinahifadhiwa wapi, unafahamu jinsi contractor wa NSA alivyofanikiwa kutoroka na siri lukuki za USA?
Tena kama hizo siri zipo kwenye computer systems ni rahisi sana.
Umeongea kweli mkuuKikwete uongozi wake ulikua lax sana, lakini Kikwete ni smarter na calculating kuliko Magufuli, hasa linapokuja kwenye masuala ya kisiasa na mahusiano, sisemi kuwa uhusiano wake na Kagame ni mbaya ila azingatie kuomba ushauri kwa jamaa tu kwenye haya masuala,
USA waliathirikaje na wanaendelea kuathirikaje mpaka sasa. Hivi vitu vipo tu vinatokea na vitaendelea kutokea. Hakuna cha kuwahofisha wananchi utafikiri nchi ipo hatarini sana.
Wengine tusiseme sana tukakosa kibarua na kushtakiwa kwa uhaini dhidi ya nchi
Hayo huwa matokeo ya kutazamiwa na inapotokea mpango wa pili huchukuliwa.Top secrets zinaathari kubwa sana kwa nchi husika, maadui Wako wanaeza kuzitumia sababu wanajua na kufahamu vizuri strength na weakness zako.
Dunia imefahamu USA anafanya spying kwa mfano na uhusiano wa kidiplomasia na washirika wake ukadhorota mpaka hivi sasa hawamwamini tena.
Na yule jamaa Snowden anasiri nyingi tu zaidi anasubiri kuzieka wazi katika mda husika.
Tazama regime change aliyoipanga kwa kipindi cha mda fulani inavyopingwa, watu wameelewa na wanalaani vitendo vyake vilokuwa ni siri na sasa viko wazi.
Ingekuwa siri hazina madhara majasusi wasingekuwa wanauawa wanapokamatwa.
Ha ha ha ha ha dah nimecheka sanaKibaya zaidi hawa watu wanatofautiana u-smart,PK yuko smart mpaka inaogopesha ila huyu wetu mmmh hata anavoongea ni dhahiri kuna mambo huwa hayajui.
Ndio akili itakaa sawaNa yuko tayari kuwapa Wanyarwanda access ya IT dept ya nchi!!! Wanaweza kupandikiza chochote kile ili wakusanye siri mbali mbali za nchi.
Tatizo lenu watanzania hampendi kusoma. Sidhani hata kama habari katika vituo vya habari vya kimataifa huwa mnafutalia!!!!!!Siri nzito akaenazo mtu mmoja? Yaani jeshi zima litegemee mtu mmoja. Mpaka jeshi linaweka siri hizo kwa mtu lazima ziweke mpango mbadala wa iwapo huyo msiri atakufa au atastaafu.
Kiusalama, ufunguo mmoja ukipotea, nunua kufuli jipya na funguo zake. Jeshi linajua namna ya kuzifanya hizo siri kuwa si lolote.
Hapa nimejibu hoja kuonesha udhaifu wa fikra zako kuhusi siri za jeshi. Siamini taarifa yako wala chanzo ulichokitumia.
Skuizi wachambuzi wa Mpira wanachambua utendaji wa serikali?? Kwani kutofautiana ndiyo bifu la maisha? Ama tuvutane na Rwanda kama Simba na Yanga? Mbona China na USA wanabishana lakini wanashirikiana katika mengi. Tuzielekeze akili zetu kiusahihi,waweza kuwanazo Sana lakini ukazielekeza kusikoeleweka
Hayo huwa matokeo ya kutazamiwa na inapotokea mpango wa pili huchukuliwa.
kumbe kikwete alifanya beef binafsi kuwa ni ishu ya kitaifa?Skuizi wachambuzi wa Mpira wanachambua utendaji wa serikali?? Kwani kutofautiana ndiyo bifu la maisha? Ama tuvutane na Rwanda kama Simba na Yanga? Mbona China na USA wanabishana lakini wanashirikiana katika mengi. Tuzielekeze akili zetu kiusahihi,waweza kuwanazo Sana lakini ukazielekeza kusikoeleweka