Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

mimi naweka maneno ya hakiba,mana kuna mikono salama.
nitarudi badae
 
Na yuko tayari kuwapa Wanyarwanda access ya IT dept ya nchi!!! Wanaweza kupandikiza chochote kile ili wakusanye siri mbali mbali za nchi.
Hataweza.... HawatamkubaliA
 
Sijui jk anajisikiaje juu ya urafiki wa PK na JPM
By Edo Kumwembe

....Nchi hii bwana....Uadui wa JK na Kagame ulitokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa Taifa letu....na Urafiki wa JPM na Kagame unatokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa taifa letu...na Marais wetu hao wawili wametoka ndani ya Chama kimoja.....Anyway napita, nitarudi. Kwa sasa nasoma kitabu kinaitwa 'KILA MWANADAMU NA AKILI ZAKE'
MAGU hajui nini maana ya neno rafiki
 
Kikwete uongozi wake ulikua lax sana, lakini Kikwete ni smarter na calculating kuliko Magufuli, hasa linapokuja kwenye masuala ya kisiasa na mahusiano, sisemi kuwa uhusiano wake na Kagame ni mbaya ila azingatie kuomba ushauri kwa jamaa tu kwenye haya masuala,
JK ni smart kwa siasa za CCM na Ukawa. Zaidi ya hapo hamna kitu. Siwezi kumfikiria rais asiyejua kwanini nchi yake maskini kama mtu smart. He is just an average guy.
Magufuli ni technocrat, sio diplomat. Kagame na Magufuli wanaendana kwa kuwa wote ni technocrats. Kagame may have an edge as a renowed politician and diplomat.
 
Na yuko tayari kuwapa Wanyarwanda access ya IT dept ya nchi!!! Wanaweza kupandikiza chochote kile ili wakusanye siri mbali mbali za nchi.






Mambo yanayofanyika nchini sasa hivi mara nyingine yanatia hofu hata kuyajadili,Taifa lipo shakani na anayejuwa hatima yetu kama Taifa ni Mungu pekee.Kama mtu huyu aliyetofautiana na "Mkwere" kiasi cha kuzua uhasama wa kidiplomasia kati yetu na jirani yetu,leo amegeuka kuwa "msiri" na mshauri wa serikali ya awamu hii,binafsi nabaki njia panda.

Katikati ya kuzorota kwa ushirikiano wetu kama nchi jirani,mmoja wa maafisa wa jeshi letu aliyesemekana alikuwa akihudumu katika kitengo nyeti cha IT ndani ya jeshi letu,alitorokea Rwanda na kuliachia Taifa letu kizunguzungu,tusijuwe aliondoka na kipi ambacho kingeweza kuuvuruga usalama wetu.

Kujaribu kuyajadili haya yaweza kuwa mwanzo wa mwisho wangu,lakini kama Raia mwema naingiwa na hofu sana juu ya urafiki huu uliozuka gafla wakati mtangulizi wake hakuwa vizuri kidipromasia na jirani huyu.Je,kuna nini kati ya hawa viongozi wetu?

Yupo wapi afisa wetu wa jeshi aliyesemekana kutorokea Rwanda?Kuifahamu kwa undani kadhia hii ingia hapa:

Afisa wa jeshi atorokea Rwanda na siri nzito za jeshi letu.... | MPEKUZI
 
Humu ndani Jk anaweza kuwa hakufanya vema sana ila kwa siasa ya nje alikuwa anaijua sana
 
Wakati wa Jk akina Lizaboni, Jingalao na Lumumba fc walikuwa wanashangilia Jk kutopatana na PK. Na wakati huu PK kaja Tz wale wale wanashangilia.
Yaani hawa vjana sjuh wameshikiwa akili au vipi. Yaani kila kitu wao ni kushangilia ilimradi kimefanywa na yule aliyewashika akili.
Kwa akili za hawa vjana wa Lumumba hatuwezi kupata Tz ya viwanda.
 
hapo ndipo tunaona tofauti kati ya mwanadipromasia na mtendakazi,,,na dipromasia ndio inayojenga mantiki ktk uchumi wa nchi
 
By Edo Kumwembe

....Nchi hii bwana....Uadui wa JK na Kagame ulitokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa Taifa letu....na Urafiki wa JPM na Kagame unatokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa taifa letu...na Marais wetu hao wawili wametoka ndani ya Chama kimoja.....Anyway napita, nitarudi. Kwa sasa nasoma kitabu kinaitwa 'KILA MWANADAMU NA AKILI ZAKE'
Hapo kama unajua mahesabu vzuri unakuta unapata maslahi = 0
 
Back
Top Bottom