Hana nguvu mbele ya Magu hiyo ndio shidaRemember, we have our Maiga on the floor! everything is under control. Don't worry!!
Hana nguvu mbele ya Magu hiyo ndio shidaRemember, we have our Maiga on the floor! everything is under control. Don't worry!!
Huwa nasikia Waisraeli ndo wataalamu wakutamainiwa Marekani? Au hizi huwa ni stori tu za vijiweni!!!Pia nasikia wataalamu wengi waliopo Rwanda walisoma Tanzania labda mheshimiwa anataka kuwarudisha baada ya kufundishwa nidhamuNa yuko tayari kuwapa Wanyarwanda access ya IT dept ya nchi!!! Wanaweza kupandikiza chochote kile ili wakusanye siri mbali mbali za nchi.
Nadhani sisi kama nci ni wajinga! Dr.Dre alisema ukipata cha mjinga kula mpaka mwisho.By Edo Kumwembe
....Nchi hii bwana....Uadui wa JK na Kagame ulitokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa Taifa letu....na Urafiki wa JPM na Kagame unatokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa taifa letu...na Marais wetu hao wawili wametoka ndani ya Chama kimoja.....Anyway napita, nitarudi. Kwa sasa nasoma kitabu kinaitwa 'KILA MWANADAMU NA AKILI ZAKE'
Na hivi CoICT-UDSM, DIT na CIVE- UDOM huwa wanafundisha nn mpaka tunakosa system designers, programmers na system analyst?Na yuko tayari kuwapa Wanyarwanda access ya IT dept ya nchi!!! Wanaweza kupandikiza chochote kile ili wakusanye siri mbali mbali za nchi.
100%Kikwete uongozi wake ulikua lax sana, lakini Kikwete ni smarter na calculating kuliko Magufuli, hasa linapokuja kwenye masuala ya kisiasa na mahusiano, sisemi kuwa uhusiano wake na Kagame ni mbaya ila azingatie kuomba ushauri kwa jamaa tu kwenye haya masuala,

Nadhani hata kitengo hakimshauri vizuri. Sijui kama mkuu wetu ana morning briefing kuhusu mambo ya usalama kila siku. Nadhani kuna tatizo. Au ujuaji mwingi? Make wenye PhD nao bwana wana Mbwembwe. Mhhhh Tena kitengo cha ukusanyaji mapato? jirani ajue wewe chungu chako kina nini? Au Mkulu hajui kuwa developers wanabaki na source code ya hiyo program waliyomtengenezea? au Mkuu hajui kuwa wanaweza kuifanya isifanyekazi kwa kubadiline line moja ya code? Au Mkuu wetu hajui kuwa wanaweza kupata taarifa zote za nchi kupitia mfumo huo kwa kutengeneza malicious program wanayoweza kuituma kama updates? Wataalamu wa mambo ya IT wa nchi mshaurini Baba yetu. NAkujua kitengo kina kila field, siamini kama watu wa IT watashindwa kumshauri baba kuhusu usalama wa hili analotaka kulifanya.Wengine tusiseme sana tukakosa kibarua na kushtakiwa kwa uhaini dhidi ya nchi
Acha kulinganisha urafiki na mambo haya ya msingi. Hili tamko la kuwahusishwa Warwanda ktk ICT si ajabu mkuu lilimjia akiwa pale anahutubia ikabidi aliseme.Wewe marafiki zako nani alikuchagulia?
mkuu tofautisha.hatuzungumzii urafiki binafsi. hao ni viongozi wa nchi ambao matendo yao yanawagusa wananchi wote.Wewe marafiki zako nani alikuchagulia?
Usiogope sema kile chenye ushahid nakisichona ushahid achana nachoWengine tusiseme sana tukakosa kibarua na kushtakiwa kwa uhaini dhidi ya nchi
Nimecheka kidogo hapo..............Sijui jk anajisikiaje juu ya urafiki wa PK na JPM