Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

Kwani urafiki umeanza lini? Hata kenya si ana Rafiki yuko upande gani?
 
By Edo Kumwembe

....Nchi hii bwana....Uadui wa JK na Kagame ulitokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa Taifa letu....na Urafiki wa JPM na Kagame unatokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa taifa letu...na Marais wetu hao wawili wametoka ndani ya Chama kimoja.....Anyway napita, nitarudi. Kwa sasa nasoma kitabu kinaitwa 'KILA MWANADAMU NA AKILI ZAKE'
Baadhi ya watz walidiriki kusema tumpe PK bandari Salama atuoneshe namna ya kuukuza uchumi. Hiyo ilikuwa enzi ya JK.. Leo JPM anasutwa kumkaribisha PK kutumia bandari Salama. Watoto hawa wa Nyerere ni kama Waingereza Eddo.
 
Magu anahitaji mshauri makini,utawapaje wanyarwanda access ya IT ktk TRA??? Tz hakuna wasomi?? Napita tu
 
Hakuna vita mbaya kama ya Uchumi ,ukisharuhusu jirani akutizame una salio kiasi gani ni rahisi sana yeye kujua ajiimarishe vipi kwa kutumia njia yeyote ile..Tunahitaji marafiki lakini sio wa kushea nao mpaka siri za chumbani...
 
Tatizo lenu watanzania hampendi kusoma. Sidhani hata kama habari katika vituo vya habari vya kimataifa huwa mnafutalia!!!!!!

Ulishawahi msikia mtu anaitwa Edward Snowden. Embu kasome amewafanya nini wamarekani ndo uje hapa ku'comment mdogo wangu....
Marekani ipo kwenye hatari gani kwa sasa kwa ajili ya Snowden wenu huyo. Hizo ni siri nyepesi tu.
 
Kuna watu wanaamini Rwanda amna matatizo hapo tu naishia kuchecka
 
Smart people daima huzuia matatizo ambayo hueza kuepukika, sio mpaka yatokee watu waumie useme mpango wa pili unachukuliwa.
Huko ni kucheza na maisha ya watu.
Moyo wa mtu kichaka si rahisi kujua kila kitu alichonacho nacho moyoni. Makamanda wa ulinzi na usalama wa nchi hii wanalijua hilo. Hivyo si rahisi kuweka mayai yote ndani ya kapu moja. Kaondoka na siri nyepesi zisizo na madhara na zinazorekebishika kwa urahisi na madhara hayawezi kutokea.
 
Kikwete uongozi wake ulikua lax sana, lakini Kikwete ni smarter na calculating kuliko Magufuli, hasa linapokuja kwenye masuala ya kisiasa na mahusiano, sisemi kuwa uhusiano wake na Kagame ni mbaya ila azingatie kuomba ushauri kwa jamaa tu kwenye haya masuala,

I hear you...
 
Moyo wa mtu kichaka si rahisi kujua kila kitu alichonacho nacho moyoni. Makamanda wa ulinzi na usalama wa nchi hii wanalijua hilo. Hivyo si rahisi kuweka mayai yote ndani ya kapu moja. Kaondoka na siri nyepesi zisizo na madhara na zinazorekebishika kwa urahisi na madhara hayawezi kutokea.

Siri ni siri tuu na hulindwa kwa tahadhari ya juu sana.
Ndio mana USA wanamsaka yule jasusi wa NSA ikiwezekana wamnyonge.
Sio huyo tu yeyote anayekuwa na siri za taifa lolote lile kama sio Usalama wa taifa basi hutafutwa na ukipatikana utasahaulika.
 
Hivi ni like comment yako itaonekana na mimi nakusapoti??

Sheria za mtandao zinasemaje maana nataka ni like...!!
tunataarifa za kiintelijensia kuwa akili yako imelike huu uzi jiandae tunakuja kukufuata na washawasha hat kama uko peke yako
 
Siri ni siri tuu na hulindwa kwa tahadhari ya juu sana.
Ndio mana USA wanamsaka yule jasusi wa NSA ikiwezekana wamnyonge.
Sio huyo tu yeyote anayekuwa na siri za taifa lolote lile kama sio Usalama wa taifa basi hutafutwa na ukipatikana utasahaulika.
Unaadhibiwa kwa mujibu wa sheria tu na si kwasababu taifa lipo hatarini sana.
 
Ni bora ukaomba huu msaada kwa mmarekani,mrussi au mchina kuliko kuomba misaada hii kwa majirani wanaokuzunguka. Kesho akija Rais mwingine mwenye mtazamo mwingine na wakatofautiana na PK unafikiri nini kitafuata kama sio kupigwa mchana kweupe hapa au kuhujumiwa kila mahali.
As the nation, Lets be serious on this..
 
By Edo Kumwembe

....Nchi hii bwana....Uadui wa JK na Kagame ulitokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa Taifa letu....na Urafiki wa JPM na Kagame unatokana na kinachodaiwa kuwa maslahi kwa taifa letu...na Marais wetu hao wawili wametoka ndani ya Chama kimoja.....Anyway napita, nitarudi. Kwa sasa nasoma kitabu kinaitwa 'KILA MWANADAMU NA AKILI ZAKE'

Naona wengi waliochangia hoja hii wanatoa hoja zilizo nje ya mjadala kusudiwa! Kwa maneno mengine ni kwamba chama kinachotoa hawa watawala hakina sera/tafsiri ya kueleweka ya "maslahi ya Taifa"!! Matokeo yake matakwa/maonjo/maamuzi/mahusiano binafsi ya kiongozi aliyeko madarakani yanapachikwa ka sifa ka "maslahi ya Taifa"! Hamna sera ya chama kwa viongozi wake?
 
Back
Top Bottom