Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

Eddo Kumwembe: Hii inanitia shaka hata mimi

PK RWANDA NCHI YAKE ILE KAJIKABIDHISHA TZ JE???????? napitaaaaaaa tu mimi peoplessssssssss popote kambi la kibabe
 
Usilazimishe kuwachorea wenzako mpaka wa ukomo wa kufikiri kama ccm ilivyofanya kwa wabunge wake,matokeo yake wakapitisha kwa mbwembwe bajeti "inayomnyonya damu mwananchi", wewe unayechangia katika jukwaa hili la siasa tuambie ulisomea wapi masuala ya siasa hadi ujione kuwa na sifa za kipekee za kuchangia mada hapa jukwaani?

Hii nchi ni ya Watanzania wote,kujiona kuwa una haki zaidi ya mwenzake ni ulevi wa kiitikadi unaotukuzwa na ccm na serikali yake.Ndiyo maana leo hii tumefikia hatua ya kubaguana mbele ya sheria,sheria ileile inakuwa na Tafsiri tofauti kulingana na itikadi yako kisiasa.Mfano wa haya ni kile kinachoitwa intelijensia ya policcm inayokataza shughuli za kisiasa kwa washindani wa serikali,huku ikitoa baraka kwa ccm na serikali yake.

Kwa kukubali kutumika kisiasa,jeshi la polisi limekuwa Taasisi ya hovyo kabisa,katika jamii ya wapenda Demokrasia,polisi anachukuliwa kama adui namba moja wa ustawi wa Demokrasia nchini.
. Hahahaas,kama nakuona umeviiimba!!!
Ukipenda kukosoa upende pia kukosolewa,yeye kamkosoa mkuu namimi nimemkosoa yeye kwa maelezo ya kimpira kwenyekazi za serikali SASA presha zanini? Nawe umenikosoa Ni hakiyako but usipanic utapata kiungulia buuure...naamini hatuna uadui na Rwanda na tunaweza kupata mambo zuri toka kwao
 
Mpaka muda huu alietoa post tushamshughulikia na yupo katika *_mikonosalama_*
 
Let tuned and watch until the end of the Series of Movies................
 
Top secrets zinaathari kubwa sana kwa nchi husika, maadui Wako wanaeza kuzitumia sababu wanajua na kufahamu vizuri strength na weakness zako.

Dunia imefahamu USA anafanya spying kwa mfano na uhusiano wa kidiplomasia na washirika wake ukadhorota mpaka hivi sasa hawamwamini tena.
Na yule jamaa Snowden anasiri nyingi tu zaidi anasubiri kuzieka wazi katika mda husika.
Tazama regime change aliyoipanga kwa kipindi cha mda fulani inavyopingwa, watu wameelewa na wanalaani vitendo vyake vilokuwa ni siri na sasa viko wazi.

Ingekuwa siri hazina madhara majasusi wasingekuwa wanauawa wanapokamatwa.
Binafsi nimekuelewa sana kuhusu "siri" japo huyu jamaa unaemfafanulia mambo haya bado analazimisha ubishi na ushindani..

Mimi wasiwasi wangu ni kwamba je hivi nchi hii tized hizo siri zipo kweli??
Ukute data base haina siri hata moja.
Labda siri ya vifo vya akina ....****....ambayo haina madhara kwa PK
Au ukute siri kubwa ni namna makomandoo (sio jay dee na hamza kalala jnr) wanavyoweza kupasua kwa kichwa tofali za block.
 
Binafsi nimekuelewa sana kuhusu "siri" japo huyu jamaa unaemfafanulia mambo haya bado analazimisha ubishi na ushindani..

Mimi wasiwasi wangu ni kwamba je hivi nchi hii tized hizo siri zipo kweli??
Ukute data base haina siri hata moja.
Labda siri ya vifo vya akina ....****....ambayo haina madhara kwa PK
Au ukute siri kubwa ni namna makomandoo (sio jay dee na hamza kalala jnr) wanavyoweza kupasua kwa kichwa tofali za block.

Hiyo ni shida kubwa humu jamvini mijadala mingi hupoteza umakini na maana kwa ushabiki tuu na ubishi usio na maana.
Ukitafuta msingi mkuu wa hoja hata huezi pata basi unabaki kustaajabu tuu. Lakini tutafika tu sababu mtu hata kama anashupaa kwenye ubishi mie naamini ukienda nae taratibu kwa hoja anajifunza hata kama anaonekana kukita katika ubishi.

Kuhusu siri kila taifa lina siri zake, hata TZ zipo tena yafaa zitunzwe kwa umakini sana ndio mana mdau nimekuwa nikijaribu kumuonyesha umuhimu wa siri za taifa.
Mfano JWTZ haipaswi ifahamike kuna silaha zipi, uwezo wa hizo silaha, mbinu za jeshi za kivita, kambi za jeshi ziko maeneo yapi, amali za silaha ziko wapi nk.
Hizo ni baadhi tu ya siri, ndio maana inakuwa vigumu sana kwa civilian kujua mfano JWTZ kuna fighter jets ngapi mfano, au bomber hizo ni siri.
 
Sijui jk anajisikiaje juu ya urafiki wa PK na JPM
Jk yeye hana time na mtu anazidi kulimbikiziwa tu vyeo tena vya kimataifa huku akijua urafiki wa PK na JPM mwisho wake mbaya.
 
Na mtuache na urafiki wetu,hapa tuna mpango wa kummegea nchi upande wa rusumo PK ili apate ardhi kidogo ya kulima msijali wadanganyika
Ukiitwa kuhojiwa unaweza kuthibitisha hii hoja yako?
 
Hivi kumbe nji hii ina tatizo kubwa la wataalamu wa IT?! Sasa kama wao Rwanda wanatusaidia wataalamu wa IT sisi tunawasaidia nini?
 
Back
Top Bottom