CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Butimba Mazoez Pr...tulikuwa tunawah namba saa 11 asubui..tunaweka mawe na mlinzi af tunapanda milimani kwenda kutafuta sungwi na upuru wa kuuza....tumeanza ujasilia kitambo..wacha tujiajili tu dah
Ha ha ha ha, ukipata ngh'oroto na makamirwa niletee.
Na yale matunda ya sanyenge.
Shulea ya Msingi Sabasaba... Nakumbuka siku moja tulilala chini wanafunzi wote kisha kila mwalimu anapita anatuchapa fimbo moja moja, afu walimu wwenye walikwua zaidi ya 20. acha kabisa!
C.C. platozoom
Lakini wewe kwenu ilikuwa karibu kabisa na shule, kwa nini ulikuwa unachelewa?
Aga Khan Primary School Kigoma, enzi hizo nawakumbuka akina Mwamvita Makamba na ndugu zake eti sasa Mwamvita eti yuko Vodacom makao makuu South Africa kweli, yule mdada niliemfundisha hesabu na siku zingine ananiomba daftari langu anakili ili apate vema kweli,haya ngoja na mimi nipambane niwe mwanasiasa ili watoto wangu nao wapate vyeo vya bure.Mbaya zaidi hata hanikumbuki kama niliwahi kumpatia madaftari yangu aangalizie
Dah...Mtumishi umeongea kwa uchungu hadi :A S cry:...ila na wewe si ungepiga chata kabisa....angekukumbuka
Hahaha ndugu yangu mimi nilikuli kwenye familia ya kitumishi sasa nikawa kama zoba(nilikuwa ukinitajia mwanamke sijui kufanya matusi nakupeleka moja kwa moja kwa mwalimu hahahaha) ingawa namshukuru Mungu uzoba wangu umenisaidia kufika hapa nilipo, hata kama siyo mbali ila ntafika tu maana sikati tamaa hata kidogo.Ntafika kwa nguvu zangu mwenyewe na kwa uweza wa Mungu
Kumbukumbu p/s, si unajua mambo ya kuwahi namba. Njia ya kufika shule kutoka home lazima upite kiwanja cha biafra, watu walikuwa wanasema uwanjani kuna majini ile asubuhi asubuhi na kweli tukipita tunaona nazi zimevunjwa na lugha iliyoandikwa ni kiarabu na shillingi shillingi. Msela wangu mmoja alikuwa anaokota nazi anaila na shillingi anazichukua tunaenda kuzitumia kwenye mihogo na kachori.
school mate and jf mateGangilonga primary school.....
Butimba Mazoez Pr...tulikuwa tunawah namba saa 11 asubui..tunaweka mawe na mlinzi af tunapanda milimani kwenda kutafuta sungwi na upuru wa kuuza....tumeanza ujasilia kitambo..wacha tujiajili tu dah