Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Kuna mama alitoka Mbeya kwa issue za viwanja akaja kwa Mheshimiwa Makonda na Makonda akawapigia na kuwapa maagizo mkuu wa polisi wa mbeya.
Halafu kumbe mama mwenyewe inavyoonekana ni tapeli.
Kumbe mkuu wa mkoa wa dar ni zaidi ya mkuu wa mkoa tu inawezekana ni mkuu wa wakuu wa mkoa