Sio ushilawadu huu ni uhalisia
Hapana hiyo ndio ilikuwa bajeti halisi Lakini Kilichofanyika ni hicho... Unakumbuka kile kibanda cha ushuru pale Kibaha stand enzi za Jk kilichoandikiwa kuwa kilijengwa kwa M7 au 12 nadhani... Wakati kiuhalisia hakikuzidi hata laki2Kwenye hiyo figure wangepunguza sifuri moja mkuu kidogo kungekuwa na uhalisia
Yupo hapo kwenye msafara anazindua hicho kivukoHivi Mkuu Lizaboni yupo humu JF atupe taarifa kamili
Basi itabidi kupimwa naniliuKwanini mkuu?
Mimi ni raia wa Tanzania toka mikoa ya kati sijapakana na nchi yeyote!
TRA angalieni mnawadai kodi kiasi gani hawa eatv na earadio,takukuru angalieni kama yale mashindano ya yanayoendeshwa na hawa watu kuna harufu ya rushwa,wale watangazaji kina ian diallo waangaliwe na migration kama wana permanent passports.