EATV Sio Kwa Ushilawadu Huu!

EATV Sio Kwa Ushilawadu Huu!

Hahaha yaani wame enda kuzindua kabisa hawana hata aibu. ..aise bora ukose Mali upate akili
 
hahaha
unakuta BOQ inaonyesha gogo moja kukatwa bure na kuwekwa juu ya daraja ni Tsh milioni na laki moja.

hahahah wonder shall never end. JPM anaweza kutumbua nchi nzima akabaki peke yake maana hii kama kweli ni balaa
 
Back
Top Bottom