EATV Na Joyce Kiria Msitirini huyo binti basi

EATV Na Joyce Kiria Msitirini huyo binti basi

Ndio matatizo ya std 7 haya kuwaweka wafanye vipindi kisa tu wanajuwa "kubwabwaja"

Usomi Bongo? Wapo wapi wasomi? Akina Profesa Shivji akina Kapuya,akina Dr Hamis K mbunge wa Nzega ?ni aina gani ya Wasomi unawataka ? Maana wasomi wengi Tz ni wezi wa kalamu wanatumia Usomi kufanya Ufisadi,wasomi wengi Tz ni Wasomi Feki baada ya kupata vyeti kijanja Janja kwa kuiba Mitihani, kununua Majawabu,Kusoma kwa Kukariri kila somo na Rushwa ya Ngono nk,wengi wanajidai wamesoma lakini kichwani Taaluma hawana, Wasomi Tz wengi hawana Msaada kwa Nchi wapo kwa ajili ya Mtumbo Yao Binafsi, bora huyo darasa la 7 anayejitahidi kufichua Uovu waziwazi kuliko Msomi anayelea na kuhifadhi Maovu.
 
Mwandishi elimu std 7 unategemea nini?

Tz Usomi si Kigezo cha Uadilifu Ebe mcheki Profesa Juma Kapuya,prof Shevji,na Dr Hamis K mbunge wa nzega ni Wasomi lakini angalia Matendo Yao ! Hapa Tz kuna wasomi Feki wengi sana wanasoma kijanja janja kwa kuiba mitihani,kununua Majawabu, kusoma kwa kukariri kila Somo,Rushwa ya Ngono nk,Wasomi wengi wa Tz Ndio mafisadi wapo kwa ajili ya Nafsi zao hawaisaudii Nchi , bora hao std 7 wanathubutu kufichua Maovu kuliko hao wasomi bila Taaluma kichwani kuficha Uovu.
 
Tz Usomi si Kigezo cha Uadilifu Ebe mcheki Profesa Juma Kapuya,prof Shevji,na Dr Hamis K mbunge wa nzega ni Wasomi lakini angalia Matendo Yao ! Hapa Tz kuna wasomi Feki wengi sana wanasoma kijanja janja kwa kuiba mitihani,kununua Majawabu, kusoma kwa kukariri kila Somo,Rushwa ya Ngono nk,Wasomi wengi wa Tz Ndio mafisadi wapo kwa ajili ya Nafsi zao hawaisaudii Nchi , bora hao std 7 wanathubutu kufichua Maovu kuliko hao wasomi bila Taaluma kichwani kuficha Uovu.


Nakubaliana na wewe lakini kwa sababu wasomi kadhaa ambao hawatumii elimu zao vizuri haiondoi umuhimu wa elimu.

Kuna show yake moja alikuwa anamhoji Mange Kimambi na Devotha(Kama sikosei ni mjane wa Dandu), kuna wakati Mange akaongelea umuhimu wa elimu, alichosema Joyce ndio kilinistua. I dont remember the exact words, but she seemed to imply that elimu kitu gani, wengine tumeishia darasa la saba na tunafanya vizuri.

Sikuipenda ile kauli, ukiwa ni public figure lazima uwe makini na kitu gani unawakilisha. Huwezi ku-take education for granted just because you didnt get it and you are doing okay.
 
Siko hapa kujisifu, I have made my point. Hana elimu ya uandishi wa habari na kama anayo basi hajaelimika. Kwenye journalism kuna ethics especially on how to handle people who have been abused. Huwezi kumuanika mtu namna ile, je anamsaidia au anamdhalilisha?

Watu waliopitia mambo kama haya kuna umuhimu wa kuwalinda, to some extent, I view this a exploitation of ones misfortune. Sijui wanapewa msaada wakitoka hapo au percentage kiasi gani ya show sponsors money.
Nilitegemea maelezo kama haya kutoka kwa msomi na sio kama vile ulivyo fanya mwanzo kiongozi.bravo!!
 
Kwani kuingiliwa kinyume ndo aletwe hapo?
 
Nacheki EATV now,kuna under18 anahojiwa hapa.

Anaelezea jinsi alivyokuwa anaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume kwenye danguro linalomilikiwa na mmama mmoja wa O/BAY.

Mngemficha hata sura tu kwani ameshakuwa sexually abused huyo,ataaibika sana
na ameshapata fistula haja ndogo na bleed inatokea nyuma. ni story inayosikitisha kupita zote nilizowahi kusikia. Mungu amsaidie yule mtoto. hilo jumba lilishasemwa sana hata kwenye magazeti, ni jumba lililoko oysterbay sijui masaki sijui wapi. kuna watoto wengine walishapitia hapo wakaenda hadi congo kwenye madini kustarehesha wenye madini congo, wakatoroka kurudi na malori ya kitz. tumtajeni humu ndani huyo mwenye jumba ni nani? wateja wengine najua watakuwa humuhumu, mtajeni basi mwenye duka wenu, na Mungu atawalipa yote mliyowafanyia watoto wa wenzenu.
 
Tatizo washauri kazi yao ni kusifia hata ukokesea wanakupamba tu ili uwafurahie, Bi dada shule less, ethecs za journalism hazifaham uzuri, Anaamini sana akili na ufaham wake mdogo katika kuendesha kipindi, Ila jopo lake hususan directors na producers and editors hawapo makini like seriously...

wewe mwenye hiyo shule umesaidia nini jamii yako? au unajifanya mkosoaji wakati hujawahi kusaidia jamii yako hata siku moja, wabongo tuache ujuaji mwingi na ukosoaji usiyo kuwa wa maana, nani asiyejua kuwa kuna ukimwi?siri gani ulitaka ifichwe? nani asiyejua kuna wasichana wanajiuza?ulitaka sura ifichwe ili iweje?

Nani asiyejua kuwa wanaojiuza wanatoa Tigo?ulitaka sura ifichwe kwakuwa ulienda nae nyumbani ukasema ni nduguyo kesho yake ukazuga umemsafirisha kurudi nyumbani ile hali ushamaliza haja yako.

acheni kuendelea kupumbaza watu hakuna cha kuficha maradhi dawa ya maradhi ni kuyatibu kwa kuweka ukweli bayana,tena dada joy anayekuja kwenye kipindi na kutaka kufichwa sura tupa kule maana hana shida huyo,mficha maradhi kifo humuumbua, nina uhakika huyo dada atakuwa amepata msaada wa hospital. hizi kelele za wabongo wanaoshinda kwenye mitandao zisikurudishe nyuma piga kazi, wanawakelive ndiyo show inayojieleza kwa kumkomboa mwanamke hizi zingine hazina msaada wowote kwa jamii zaidi ya kuuza sura na kutafuta pakujishika huku kazi zao tukiwa tunazifahamu kwenye mahotel makubwa, tunashangaa sana hata hivyo vituo kuwapa wauza nya.pu.si waongoze vipindi.
 
Nakubaliana na wewe lakini kwa sababu wasomi kadhaa ambao hawatumii elimu zao vizuri haiondoi umuhimu wa elimu.

Kuna show yake moja alikuwa anamhoji Mange Kimambi na Devotha(Kama sikosei ni mjane wa Dandu), kuna wakati Mange akaongelea umuhimu wa elimu, alichosema Joyce ndio kilinistua. I dont remember the exact words, but she seemed to imply that elimu kitu gani, wengine tumeishia darasa la saba na tunafanya vizuri.

Sikuipenda ile kauli, ukiwa ni public figure lazima uwe makini na kitu gani unawakilisha. Huwezi ku-take education for granted just because you didnt get it and you are doing okay.

kwani elimu kwako unaitafsiri vipi? Tambua kunakusoma na kuelimika, unaweza ukawa umesoma ukawa hujaelimika, na kama hujaelimika usomi wako ni bure kabisa. Tusiwakatishe tamaa wanaofanya vizuri kwa hoja dhaifu ya usomi.

Wasomi wengi ni mambumbumbu ndiyo wanaorudisha taifa hili nyuma kwa kila kitu kwakuwa wamekubali usomi wao kushikiliwa kwa shibe zao.
 
kwani elimu kwako unaitafsiri vipi? Tambua kunakusoma na kuelimika, unaweza ukawa umesoma ukawa hujaelimika, na kama hujaelimika usomi wako ni bure kabisa. Tusiwakatishe tamaa wanaofanya vizuri kwa hoja dhaifu ya usomi.

Wasomi wengi ni mambumbumbu ndiyo wanaorudisha taifa hili nyuma kwa kila kitu kwakuwa wamekubali usomi wao kushikiliwa kwa shibe zao.

Hapo kwenye bold uko sahihi kabisa, I concur with you. As I said, matatizo ya hao wanaojiita wasomi yasigeuzwe kama kigezo cha kupuuza elimu. Utangazaji ni kipaji. Lakini kuna umuhimu wa mtu kupanua mawazo yake kupitia elimu.

Ndio maana wenzetu uandishi wa habari sio kusoma tu teleprompter. Ni lazima uelewe subject yenyewe. Unaweza kutangaza habari za biashara kama maisha yako yote hujawahi hata kujua Commerce ni nini? kweli unaweza kumhoji governer Prof. Ndulu wakati huna hata uelewa na mambo gani anashughulikia!!

Angalia talk show za asubuhi au hata za jioni. Watangazaji wanaropoka tu, wao wataalamu wa uchumi, saikolojia ndio matabibu wenyewe, it's just sickening. Me nilikuwa na-enjoy kuangalia show za kama Facets ya Maria Sarungi, you see well researched content presented in a proper manner.

Waandishi waende shule waelewe nini hasa wanaongelea.
 
binti pole sana ! joyce usikate tamaa nxt tyme uwe nakini ili kipindi kisipate haya yaliyojitokeza
 
Ni wewe mwenyewe nini? Angekuwa kipofu wala nisingemsema, maana najua upofu ni ugonjwa hata mimi wakati wowote unaweza nipata!! Sasa huyu????
hata kengeza laweza kua chongo babu eeee
namkubali sana huyu dada,mengine mtajiju!!
 
Kama ni kweli hiyo imevuka mipaka! Sijui huyu Mwanamke huwa anawaza nini kichwani, lazima ulinde ubinadamu wa Mtu hata kama amekubali kupigwa picha!

Anachowaza na kutengeneza pesa tu. Pia ana kauli mbofu mbofu sana, anajitia mwana saikolojia.
 
Back
Top Bottom