EATV Na Joyce Kiria Msitirini huyo binti basi

EATV Na Joyce Kiria Msitirini huyo binti basi

Hata hao wakubwa wa EATV hawalijui hili? Mimi niliangalia nikawa siamini macho yangu"........ Huyu binti ana tofauti gani na wale wanaobakwa? Besides Yule binti alitoa siri kubwa sana ambayo inagusa maisha ya Watu...... Biashara ya madanguro haina tofauti na ile ya madawa ya kulevya.....Ina mikono mizito nyuma yake so ni rahisi kwa binti huyo kudhurika Kamahakuna ulinzi wowote.
 
Tatizo washauri kazi yao ni kusifia hata ukokesea wanakupamba tu ili uwafurahie, Bi dada shule less, ethecs za journalism hazifaham uzuri, Anaamini sana akili na ufaham wake mdogo katika kuendesha kipindi, Ila jopo lake hususan directors na producers and editors hawapo makini like seriously...
 
Imagine hata yule plane wheel stowaway wa juzi kati hapa wa majuu wanamlinda identity kweli kweli hata picha yake ya kuonesha sura huioni kabisaa kwenye mitandao. Nanukuu :
Department of Human Services said its child welfare unit will not disclose any information on the release of Yahya because of privacy concerns and confidentiality.
Yahya survived a five and a half-hour flight from San Jose
, California, to Maui after scaling an airport fence and climbing into the wheel well of a...... Mwisho wa kunukuu Source: World News | Worldwide News Headlines | Global News Reports from Ireland - Independent.ie

na hiyo sio issue ya sex wala nini lakini bado mhusika analindwa kwa kua ni Under 18. Jamani baadhi ya waandishi jifunzeni maadili. siku hizi internet bei poa kabisa kuanzia mia tano unapata kifurushi, ingieni kwenye mtandao muone wenzenu wanafanya nini.
 
Itakuwa kuna washiriki wengi wa uchafu huu humu, badala ya kutafakari namna ya kumsaidia kiafya na kuokoa wengine~"0 IQ"
 
Namkongo kweli unafikiri kama jina lako, watu wanajadili how come u disclose identity of the.......
 
Huyu Kiria awe mwangalifu, anatafuta umaarufu kilazima
 
Mwandishi elimu std 7 unategemea nini?

Haya wewe wenye PhD umelifanyia nini taifa lako?? Sasabu bora hata yeye kwa darasa la saba lake jamii inamtambua na ndio maana inamtafuta ili awasaidie kwenye matatizo yao, hayantuambie wewe basi umelifanyia nini taifa lako na jamii ikakutambua mchango wako???? Ukijibu hilo tu basi naweza nikakuelewa unacho maanisha.
 
Huyo mdada na makengeza yake mimi huwa ananiudhi sana na hicho kipindi chake! Hivi ana taaluma ya uandishi wa habari huyu mbulumunda huyu? Mradi tu anajua kupanua hilo domo lake ndo anaona kila kitu ni sawa tu She.nzy type kabisa!!! Mtoto mwenyewe yuko under 18, hivi siyo kwanza alitakiwa awe na mtu wa karibu wa kumsindikiza kwenye hayo mahojiano? Hebu huyu macho kum-chuzi awe na aibu aisee!!
hujafa hujaumbika,ana kengeza sawa mungu ndie alivyomuumba,na mungu huyo huyo anaweza kukufanya ww kipofu nyoooh!
 
Lazima tukumbuke historia alioitoa huyu binti, na bado anakiu ya kusikia siku moja huyu mama anatiwa hatiani. Na hili ni miongoni mwa mengi yanayoumiza jamii kila siku, mimi nina laani sana wote waliolaumu kuweka wazi na ikumbukwe kuwa haya yote amesha simulia watu wengi na inafahamika wewe ulitaka wafiche nini >ameumizwa>ameambukizwa HIV>ametimuliwa na ndugu zake>pia anakumbuka namna wezake wanavyoendelea kuumizwa kule kwa mama mnyongaji.
Nimekesha nikiomba hawa wote waliochukulia jambo hili kiutani na kajeli zisizo na kichwa ije watokea watoto wao au ndugu kuchanwa sirin kwao kingono na wao wawe wauguzi, wakati wasababishaji wanakunywa chai mtaani watajua "KWA NINI WATU WAMEAMUA KUANIKA." Na bado siamini kama watu hawaijui nyumba hii na huyo mama, huu ni mwanzo wa kumeza mabomu inatia hasira, na hizo haki za kumlinda zinafanya kazi kwenye jamii ya kistarabu sio hii ya wahuni.Angalia kundi ambalo limemuingilia ni la walafedha tupu polic,docters & watu wenye nafas kifedha (JAMII SERIKARI TUMSAIDIE KWANZA )
 
Lazima tukumbuke historia alioitoa huyu binti, na bado anakiu ya kusikia siku moja huyu mama anatiwa hatiani. Na hili ni miongoni mwa mengi yanayoumiza jamii kila siku, mimi nina laani sana wote waliolaumu kuweka wazi na ikumbukwe kuwa haya yote amesha simulia watu wengi na inafahamika wewe ulitaka wafiche nini >ameumizwa>ameambukizwa HIV>ametimuliwa na ndugu zake>pia anakumbuka namna wezake wanavyoendelea kuumizwa kule kwa mama mnyongaji.
Nimekesha nikiomba hawa wote waliochukulia jambo hili kiutani na kajeli zisizo na kichwa ije watokea watoto wao au ndugu kuchanwa sirin kwao kingono na wao wawe wauguzi, wakati wasababishaji wanakunywa chai mtaani watajua "KWA NINI WATU WAMEAMUA KUANIKA." Na bado siamini kama watu hawaijui nyumba hii na huyo mama, huu ni mwanzo wa kumeza mabomu inatia hasira, na hizo haki za kumlinda zinafanya kazi kwenye jamii ya kistarabu sio hii ya wahuni.Angalia kundi ambalo limemuingilia ni la walafedha tupu polic,docters & watu wenye nafas kifedha (JAMII SERIKARI TUMSAIDIE KWANZA )
kama Mungu wako huwa anajibu maombi yenye chuki na roho mbaya hivi binafsi sina haja nae.
 
hujafa hujaumbika,ana kengeza sawa mungu ndie alivyomuumba,na mungu huyo huyo anaweza kukufanya ww kipofu nyoooh!

Ni wewe mwenyewe nini? Angekuwa kipofu wala nisingemsema, maana najua upofu ni ugonjwa hata mimi wakati wowote unaweza nipata!! Sasa huyu????
 
Huyo mdada na makengeza yake mimi huwa ananiudhi sana na hicho kipindi chake! Hivi ana taaluma ya uandishi wa habari huyu mbulumunda huyu? Mradi tu anajua kupanua hilo domo lake ndo anaona kila kitu ni sawa tu She.nzy type
kabisa!!! Mtoto mwenyewe yuko under 18, hivi
siyo kwanza alitakiwa awe na mtu wa karibu wa
kumsindikiza kwenye hayo mahojiano? Hebu
huyu macho kum-chuzi awe na aibu aisee!![/
QUOTE]matusi ya nini bosi Wang?
 
Haya wewe wenye PhD umelifanyia nini taifa lako?? Sasabu bora hata yeye kwa darasa la saba lake jamii inamtambua na ndio maana inamtafuta ili awasaidie kwenye matatizo yao, hayantuambie wewe basi umelifanyia nini taifa lako na jamii ikakutambua mchango wako???? Ukijibu hilo tu basi naweza nikakuelewa unacho maanisha.

Siko hapa kujisifu, I have made my point. Hana elimu ya uandishi wa habari na kama anayo basi hajaelimika. Kwenye journalism kuna ethics especially on how to handle people who have been abused. Huwezi kumuanika mtu namna ile, je anamsaidia au anamdhalilisha?

Watu waliopitia mambo kama haya kuna umuhimu wa kuwalinda, to some extent, I view this a exploitation of ones misfortune. Sijui wanapewa msaada wakitoka hapo au percentage kiasi gani ya show sponsors money.
 
Personally I consider Joyce as an immoral, unprofessional actor who bread in ignorant audience. She is irritating because she is portraying her ignorance in TV.
 
Hapo nilipopigia mstari cjui maana yake pia nimewauliza zaidi ya watu 3 nao hawajui,cjui maana yake nini...?:A S 13:
Na mimi pia sijayaelewa hayo maneno niliyo yakoleza
 
Ngoja tuone kama ataomba radhi kwa hili maana nimemwandikia hili pia kwenye ukurasa wake wa twitter, kama ni muungwana atajitafakari and do the needful
 
mtasema yote but hamuwezi kubadilisha kitu, unapoianza safari utatiwa moyo unapoonyesha mafanikio vikwAzo lazima viibuke, nani asiyewajua watanzania hawanaga zuri tofauti na nchi nyingine watanzania wengi wamejaa chuki, husda, unafiki na roho mbaya, hakuna mtu amelazimisha kuangalia kipindi chake kama hajasoma au hana ethics za uandishi wa habari muacheni na shughuli zake why dont u mind ur own business?
 
Back
Top Bottom