LOVI MEMBE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,122
- 183
Idiosyncrasy
nilifikiri huyu ps wa eac ni daktari wa fani kama uchumi anayeweza kuipeleka eac na wanainchi wake kwenye ukuransa mpya kumbe cv yake ni rebel doctor au war lord, yaani ea nzima kulikuwa hakuna mtu mwenye cv nzuri zaidi!!!!
Tanzania ni muhimu kuliko EAC
1. No to land purchase
2. No to common tourist visa
3. No to free work permit
ukiangalia wanachokitaka ni ivyo vitatu ambavyo kwa TZ sie tutakua tuna loose hatuna cha kugain ktk ivyo vitatu kutoka kwa hawa wenzetu so tuachane nao kabisa tujiunge na tuimaishe sadc kwani hakuna m south africa atayekuja apa aanze kulia lia akiomba auziwe ardhi au atake kuja kufanya kazi bure!!! wanataka lile jeshi la wasio na ajira kule kenya lije hapa!! big Nooooooooooooooooooooo!!!!!
,Na hiyo mia utaipataje kwa uakika under EAC?
Kwanza hao wenzetu wanaonyesha ubabaifu wao wazi vile ambavyo wanaweza fanya wenyewe na vyenye maslahi kwa Mkenya wanaenda na go ahead ya Waganda na Wanyarandwa hila yakija kwenye mambo ambayo hili maslahi yawe mazuri kwao ndio Tanzania inagwaya.
Mbona kwenye maslahi kama ya kwenye ka reli kao uchwara hawajasubiri na wala kulalamika hila kwenye maslahi yetu ndio sisi tunawachelewesha, kama wangekua na nia ya wote wangelazimisha makubaliano kabla kuwahi kilicho kwenye maslahi yao, nyie ngojeeni wewe, Koba na ma traitors wenzako hiko siku tutawatia ababu kwa unafiki wenu.
Kwanza nina masikitiko makubwa sana kwa Idara ya Uhamiaji, RITA ikiwa wewe uitwaye Ruzibiza una-hold tittle ya uraia wa Tanzania. Pia masikitiko yangu yawafikie Kikosi cha Operesheni Kimbunga kama hawajaweza kukufikia na kukurudisha kwenu.
Pili, usitumie Jukwaa hili la JF kuandika chuki, uzandiki na uongo ili kuchafua mamlaka zetu. Ni wapi Mtanzania anapokwenda nchi nyingine za eac anaulizwa "mswali wee" na immigration wa Tanzania na haulizwi maswali hayo kutoka kwa immigration wa Kenya? Kama wewe ni mnyarwanda lazima tukuulize maswali unapotaka kuingia kama fomu yako haina maelezo yanayotosheleza yanayoendana na Mkataba wa Soko la Pamoja.
Tatu, unasema kwa kujua au kuhisia kwamba mfumo wa elimu wa Kenya na Uganda ni mzuri kuliko wa Tanzania? Huoni kama umejichanganya hapa? Mfumo wa Uganda kiasi unafana na wa Tanzania kwamba wana kidato cha sita ule wa Kenya unaishia kidato cha nne kabla ya kuingia chuoni, nini kusudia lako hapa. By the way, Tanzania iko katika "traffic light system" kwa masuala yote na sasa hivi taa inayowaka ni yellow, kwa hiyo wewe na mabwana zako kaeni tayari kuipokea red light itakayowafanya muwe kimya (sidhani kama utakuwa umeelewa hapa). Ungelikuwepo miaka ya tisini, ungejua idadi kubwa ya watanzania waliokuwa wakivuka kwenda Kenya na Ugnada kufuata the so called "international english medium schools", lakini leo hii watanzania wana "International English Medium Schools za kufa mtu; watanzania wanaovuka kwenda Uganda ni wale walifeli Tanzania na wanaenda kufanya-repeatition huko na kuafulu ili wajiunge na vyuo vya huko. Je unajua record ya wahitimu wa vyuo vikuu 10 years back kwa Tanzania ilikuwaje ukilinganisha na nchi za Kenya na Uganda, na sasa hivi hali ikoje? Huu ni mfano mchache wa "yellow light" inayowashwa na Tanzania. Kwa kifupi Tanzania hatuna tatizo kubwa na "mfumo mbaya wa elimu" labda ungelisema usimamizi mbaya wa elimu kidogo ungelieleweka.
Well said huyu jamaa kama ni raia, basi uraia wake unatakiwa uwe stripped off . Kwa kweli huwa namshangaa sana. Sijui watu wa system hawaji humu wakamfuatilia huyu jamaa? Maana hapaswi kabisa kuwa mtanzania aidha arudishwe kwao au awe declared stateless. Gazeti la mawio wiki iliyopita lilizungumuza kuhusu watu wenye uraia wa karatasi wa Tanzania wakati wana uraia wa moyoni wa nchi nyingine kama huyu Ruzibiza, Koba and the like. Mtanzania kama unatakiwa kuipigania Tanzania no matter what. Tunatakiwa kuwa very careful na majilani zetu kwani siyo wema kwetu wanachotaka ni ku-root tu .Kwanza nina masikitiko makubwa sana kwa Idara ya Uhamiaji, RITA ikiwa wewe uitwaye Ruzibiza una-hold tittle ya uraia wa Tanzania. Pia masikitiko yangu yawafikie Kikosi cha Operesheni Kimbunga kama hawajaweza kukufikia na kukurudisha kwenu.
Pili, usitumie Jukwaa hili la JF kuandika chuki, uzandiki na uongo ili kuchafua mamlaka zetu. Ni wapi Mtanzania anapokwenda nchi nyingine za eac anaulizwa "mswali wee" na immigration wa Tanzania na haulizwi maswali hayo kutoka kwa immigration wa Kenya? Kama wewe ni mnyarwanda lazima tukuulize maswali unapotaka kuingia kama fomu yako haina maelezo yanayotosheleza yanayoendana na Mkataba wa Soko la Pamoja.
Tatu, unasema kwa kujua au kuhisia kwamba mfumo wa elimu wa Kenya na Uganda ni mzuri kuliko wa Tanzania? Huoni kama umejichanganya hapa? Mfumo wa Uganda kiasi unafana na wa Tanzania kwamba wana kidato cha sita ule wa Kenya unaishia kidato cha nne kabla ya kuingia chuoni, nini kusudia lako hapa. By the way, Tanzania iko katika "traffic light system" kwa masuala yote na sasa hivi taa inayowaka ni yellow, kwa hiyo wewe na mabwana zako kaeni tayari kuipokea red light itakayowafanya muwe kimya (sidhani kama utakuwa umeelewa hapa). Ungelikuwepo miaka ya tisini, ungejua idadi kubwa ya watanzania waliokuwa wakivuka kwenda Kenya na Ugnada kufuata the so called "international english medium schools", lakini leo hii watanzania wana "International English Medium Schools za kufa mtu; watanzania wanaovuka kwenda Uganda ni wale walifeli Tanzania na wanaenda kufanya-repeatition huko na kuafulu ili wajiunge na vyuo vya huko. Je unajua record ya wahitimu wa vyuo vikuu 10 years back kwa Tanzania ilikuwaje ukilinganisha na nchi za Kenya na Uganda, na sasa hivi hali ikoje? Huu ni mfano mchache wa "yellow light" inayowashwa na Tanzania. Kwa kifupi Tanzania hatuna tatizo kubwa na "mfumo mbaya wa elimu" labda ungelisema usimamizi mbaya wa elimu kidogo ungelieleweka.
Well said huyu jamaa kama ni raia, basi uraia wake unatakiwa uwe stripped off . Kwa kweli huwa namshangaa sana. Sijwui watu wa system hawaji humu wakamfuatilia huyu jamaa? Maana hapaswi kabisa kuwa mtanzania aidha arudishwe kwao au awe declared stateless. Gazeti la mawio wiki iliyopita lilizungumuza kuhusu watu wenye uraia wa karatasi wa Tanzania wakati wana uraia wa moyoni wa nchi nyingine kama huyu Ruzibiza, Koba and the like. Mtanzania kama unatakiwa kuipigania Tanzania no matter what. Tunatakiwa kuwa very careful na majilani zetu kwani siyo wema kwetu wanachotaka ni ku-root tu .Kwanza nina masikitiko makubwa sana kwa Idara ya Uhamiaji, RITA ikiwa wewe uitwaye Ruzibiza una-hold tittle ya uraia wa Tanzania. Pia masikitiko yangu yawafikie Kikosi cha Operesheni Kimbunga kama hawajaweza kukufikia na kukurudisha kwenu.
Pili, usitumie Jukwaa hili la JF kuandika chuki, uzandiki na uongo ili kuchafua mamlaka zetu. Ni wapi Mtanzania anapokwenda nchi nyingine za eac anaulizwa "mswali wee" na immigration wa Tanzania na haulizwi maswali hayo kutoka kwa immigration wa Kenya? Kama wewe ni mnyarwanda lazima tukuulize maswali unapotaka kuingia kama fomu yako haina maelezo yanayotosheleza yanayoendana na Mkataba wa Soko la Pamoja.
Tatu, unasema kwa kujua au kuhisia kwamba mfumo wa elimu wa Kenya na Uganda ni mzuri kuliko wa Tanzania? Huoni kama umejichanganya hapa? Mfumo wa Uganda kiasi unafana na wa Tanzania kwamba wana kidato cha sita ule wa Kenya unaishia kidato cha nne kabla ya kuingia chuoni, nini kusudia lako hapa. By the way, Tanzania iko katika "traffic light system" kwa masuala yote na sasa hivi taa inayowaka ni yellow, kwa hiyo wewe na mabwana zako kaeni tayari kuipokea red light itakayowafanya muwe kimya (sidhani kama utakuwa umeelewa hapa). Ungelikuwepo miaka ya tisini, ungejua idadi kubwa ya watanzania waliokuwa wakivuka kwenda Kenya na Ugnada kufuata the so called "international english medium schools", lakini leo hii watanzania wana "International English Medium Schools za kufa mtu; watanzania wanaovuka kwenda Uganda ni wale walifeli Tanzania na wanaenda kufanya-repeatition huko na kuafulu ili wajiunge na vyuo vya huko. Je unajua record ya wahitimu wa vyuo vikuu 10 years back kwa Tanzania ilikuwaje ukilinganisha na nchi za Kenya na Uganda, na sasa hivi hali ikoje? Huu ni mfano mchache wa "yellow light" inayowashwa na Tanzania. Kwa kifupi Tanzania hatuna tatizo kubwa na "mfumo mbaya wa elimu" labda ungelisema usimamizi mbaya wa elimu kidogo ungelieleweka.
mara zote nimekuwa nikisema wacha hoja zenyewe zichuane na siyo hoja vs individual.....nimetoa hoja kama huna hoja ya kushindana na ya kwangu usikimbilie kuni-weaken kwa kunipachika uaraia mwingine.....huo ndo uvivu ninaoupigia kelele kila siku....so unanitishia na operation ili iweje?ili nisiseme ninachofahamu?kwanini mnakuwa na mawazo mgando?hapa ndugu yangu umekosea tunashindanisha hoja na si individuals kama huna hoja huna haki ya kudandia mada....sipendi kufananisha kitendo cha wewe kunivua utz kwa hoja zangu na mkasa wa Generali Ulimwengu,Dr.ulimboka au hata gazeti la mwana halisi na kubenea wake....siamini kama hii ndo asili yetu watz ya kutumia nguvu (physique} pale nguvu hoja inaposhindwa,ni bad elements wachache kama wewe na wenzako.....walimu wanaofundisha hizo english medium wakenya na waganda ni wangapi?je walimu wangapi wakenya wamejaa vyuo vya tz?inachekesha sana hasa pale department ya kiswahili inapojaa wakenya...ni aibu...where is comperative advantage....ni mfumo gani unatoa wanafunzi wanaofaulu kuingia kidato cha kwanza ilihali hawajui kusoma wala kuandika?juzi matokeo yamekuwa cooked ili kuwafurahisha watu kama wewe,ni mambo mengi ....wewe kaa na hizo traffic lights usipobadilika in terms of attitude dont expect much....
NITAKE RADHI
..I don't think Tanzania should have her own national airline carrier.
..It would make more sense to me kama tukiwa na kampuni kubwa ya taifa ya kuchimba dhahabu yetu, chuma chetu, makaa yetu, etc. That is the direction I think Tanzania should take.
..Kwenye sekta ya usafirishaji ungekuwa na hoja zaidi kuuliza kwanini Tanzania Railways Corporation, na Tazara, hazifanyi kazi.
..Kwa kifupi Tanzania tuna uongozi mbaya. Rwanda mkipata uongozi kama wetu u will be worse than Somalia.
NB:
..wanaotuangusha ni ndugu zetu wanaoendelea kuichagua CCM. siyo kwamba wanaiangusha Tanzania tu, ila hata eneo zima la Afrika Mashariki na maziwa makuu.
Hongera, kumbe nawe pia ni mmiliki wa hizo ndege zinazosemekana kuwa ni za Rwanda. Una hisa ngapi? Ushapata gawio la kiasi gani hadi sasa kutoka kwenye hizo ndege "zenu"?
Mkuu mngejiuliza nyie kwanza mbona hamna MELI wala TRAIN?. Halafu unauliza ndege kwa mwenzio! Ha ha ha!
Mkuu umemaliza kila kitu! Kuna vichaka vingine wanajificha lakini lengo kuu ni hapo. Nani asiyejua? Na ni kwanini walianza vikao vyao visivyo na utaratibu? Walitaka tz isipeleke jeshi drc? Tulikataa toka mwanzo haya mambo ya federation, viongozi wakalazimisha. Hivi mbôna sadcc hawakomalii mambo haya? Kwamba tuwe na federation? Waende kwao na wahamiaji haramu wao!
Nilimwuliza Sezibera Kuhusu matamshi yake tata, Na haya ndio Majibu yake.
Akili ndogo kweli wewe. Hata naona nikikujibu nitakuwa sijajitendea haki.
Commitment ya Tanzania ni kwa watu wa Tanzania na sio kwa EAC.
EAC is just a social community, haipaswi kutuumiza kichwa...