Dushelele Lake, Linanitia Hofu...


This issue is very serious.
 
Haya mkatae basi mie nilete barua yangu ya posa MAANA DUSHELELE LANGU LINAPUNGUA KADRI SIKU ZINAVYO YOYOMA .......!:love:

mdau utadharauliwa buuure,,,,binadam hatuna dogo,hakawii kusema,,,kidushelele chako hakimfikishi pwani ya kisiwa songosongo
 
Haya mkatae basi mie nilete barua yangu ya posa MAANA DUSHELELE LANGU LINAPUNGUA KADRI SIKU ZINAVYO YOYOMA .......!:love:
Mpaka pale atakaporudi tena na kutuambia nataka nimuache mume wangu ana kibamia.
 
Haya mkatae basi mie nilete barua yangu ya posa MAANA DUSHELELE LANGU LINAPUNGUA KADRI SIKU ZINAVYO YOYOMA .......!:love:

mdau utadharauliwa buuure,,,,binadam hatuna dogo,hakawii kusema,,,kidushelele chako hakimfikishi pwani ya kisiwa songosongo
 
Dushelele haliwezikuongezeka kiasi hicho labda angekuwa ndo anaanza mapenzi km ndo unaanza huwa linaweza likanenepa au kurefuka lkn likishazoea linabaki constant! Ni wazi kabisa hilo ongezeko atakuwa katumia dawa!


Nina imani hiyo kabisa... ila kwa jinsi anavyo lalamika napata tabu kuamini kuwa kweli katumia dawa..
 

Mtani hebu mpe somo huyu ndugu yetu, hivi hajui kwa nini sisi Wanyaki huwa tunakuja kwenu kutafuta wake...kwa kuwa ninyi ni mabigwa wa huu mchezo...aongee na mashangazi wa du ze nidful atiii

Mtani tafwazali muombe na mimi aniletee lidelele maana nina mpango wa kula nguna mwezi mzima dushelele yangu iongezeke...
 
kwa ushauri fanya kila siku na ya kwako iwe kubwa baadaye utaona kitu cha kawaida ..
alafu kuhusu posa hadi karne hii kuna watu wanaandikiwa barua!!!!!
 
Weka picha...hahahahaa!
Kama unampenda kweli hutoweza kumuacha hata kama ingekuwa kama goti!
With time utaizoea (...Nanii yako huji adjust...) na mtasonga kama kawaida. Je ukimuacha ukaenda kutana na kibamia..(..bby mbona huingii??...kumbe mwenzio anamalizia..) nako utakimbia?

Mapendo ya dhati huvumilia! Na kwa hili nakuhakikishia asilimia mia baada ya muda utazoea! Pia awe anakuandaa vizuri mpaka udenda utoke...u knw wht i mean!
 
Kwani si nasikia hiyo kitu huwa inajivuta kama mpira kwa hiyo hata iwe kubwa namna gani inaingia tu!!
 
Nina imani hiyo kabisa... ila kwa jinsi anavyo lalamika napata tabu kuamini kuwa kweli katumia dawa..


Kwani wakati mnaanza yako ilikuwa kubwa kwake,maybe alikuwa anazama na kutamani aongezewe mamii Grace Komba?!
 

Mtani hebu mpe somo huyu ndugu yetu, hivi hajui kwa nini sisi Wanyaki huwa tunakuja kwenu kutafuta wake...kwa kuwa ninyi ni mabigwa wa huu mchezo...aongee na mashangazi wa du ze nidful atiii

Mtani tafwazali muombe na mimi aniletee lidelele maana nina mpango wa kula nguna mwezi mzima dushelele yangu iongezeke...
 
Hapana... Nakumbuka Mwezi Wa june, Niliipima Size Ya Dushele Lake, Nikarudia tena mwezi july, na nimeipima tena mwezi huu august, huwezi AMINI kila mwezi inaongezeka urefu kati ya 1.3cm na 2cm, upana na unakuwa kwa taratibu kama 0.3 kwa mwezi..

Are you for real?

1.3cm x 12 = 15.6 cm...

Ina maana huyu mtu ndani ya mwaka mzima ongezeko la kifanyio chake ni 15.6cm ( 6 inches).

Mwanaume wa kawaida akisimamisha, uume wake hukadiriwa kufikia 6 inches.

Sasa am tryin to imagine, by the end of the year huyo jamaa when full erect atakuwa na 6inch + 6inch = (30cm) huu ni urefu wa rula zile za HECO...OMG!! Muda si mrefu Tanzania tutatoa competitor wa Mandingo...

 
Hapana... Nakumbuka Mwezi Wa june, Niliipima Size Ya Dushele Lake, Nikarudia tena mwezi july, na nimeipima tena mwezi huu august, huwezi AMINI kila mwezi inaongezeka urefu kati ya 1.3cm na 2cm, upana na unakuwa kwa taratibu kama 0.3 kwa mwezi..

Tatizo ni urefu au unene? Iwe iwavyo we mkubalie mambo mengine ni siri ya mtungi. Wenzako wanaoana mambo yote safi baada ya muda mfupi jogoo hawiki tena, sasa huoni kwamba huna cha kuhofia?
 
Nalihisi Hilo, maana hawa wanaume wamekuwa HAWAJIAMINI kimaumbile ya du.du zao, usikute kashapaka/ kunywa mchina... ila cha ajabu hata yeye, yuko frustrated na hali hiyo
Lazima aonyeshe yuko frustrated ili umhurumie unafikiri atakwambia kuwa ni effect ya mchina?
Baadae atakuwa anavaa misuli tu!
 

Haki ya Mungu nimecheka sana hii ndiyo JF kama kuna nyingine ujue hiyo ni copy.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…