Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,060
- 22,755
What an about turn! Kweli leo tumeshuhudia democracy at work kwa kuwapa nafasi wenye duku duku mioyoni kuzitoa kwa uhuru ili mwisho wa yote umoja upatikane. Convention ya DNC ilipoanza ni wachache walikuwa na tumaini kwamba mambo yangeisha salama lakini hapana, busara badala ya ubabe ikapewa nafasi. Naam, Busara badala ya ubabe! Kwa mbali nakumbuka ya Dodoma mwaka jana. Je kuna chochote Wtanzania tunajifunza hapa?
Kwa sasa Paul Simon anaimba wimbo wa Bridge over troubled water. Wenzetu wako mbali.
Kwa sasa Paul Simon anaimba wimbo wa Bridge over troubled water. Wenzetu wako mbali.