Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
- Thread starter
- #361
Mkuu Mchambuzi
Wakati tukisubiri uendelee kuhusu asasi za kirai na kijamii |(civil society) nitumbukize senti moja hapo mstari wa mwisho kuhusu vyombo vya habari.
Sheria ni kweli ina matatizo kwakuzingatia iliwekwa ili kukidhi haja ya mfumo wa wakati huo.
Sheria hiyo imetumika ndivyo sivyo na kuwa mpini wa kuua demokrasia.
Kwa upande mwingine tuna tatizo kubwa sana la waandishi wa habari. Fani ya habari bado ipo nyuma kwa kutoa waandishi ambao nadiriki kusema wengi hawakidhi viwango. Waandishi wamebadilika kutoka katika kiini cha kazi zao ikiwa ni kutafiti, kuhakiki na kutaarifu na sasa wamekuwa reporters.
Nachelea kusema sijui wangapi wanaweza kuona maana halisi ya bandiko kama lako na nini wanaweza kupata kutoka hapo. Fani ya uandishi mara nyingi hutegemea inputs ndipo mambo kama research yanafuata.
Kwamba mwandishi anatakiwa akione kitu halafu akifuatilie mbali na kinavyoonekana (Investigative jouranalism).
Tunatakiwa tuwe na waandishi ambao ni wataalam wa fani na si 'one size fits all'
kwa mantiki hiyo uwezekano wa mtu kueleza nini civil society na role yake katika jamii inaweza kuandikwa na kueleweka.
gfsonwin katika bandiko lako hapo juu kuna kitu kimenigusa. Kuhusu mzozo wa EAC nadhani rais anamchango mkubwa wa kuzorota kwa hali. Simaanishi maamuzi yake ninamaanisha jinsi anavyokabliana na suala hilo.
Kwa mfano, rais JK amefanyakazi kama waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10.
Amefanya kazi na marais 2 na hivyo kuingia katika vikao vikubwa vya maamuzi yakiwemo yaliyohusu EAC.
Rais JK alikuwa mwenyekiti wa jumuiya kwa nyakati fulani. Kwa maneno mengine ana uzoefu wa hali ya juu kuhusu EAC.Sielewi imekuaje hadi imefikia kiwango hicho bila yeye kufahamu au kuwasiliana na umma ili uelewe nini kinatokea.
Kuna uwezekano maamuzi yake yakawa sahihi na pia yaweza kuwa siyo. Hiyo si hoja, hoja kubwa ni kuwa na communication breakdown kati ya serikali na wananchi hivyo kuwafanya wabaki wanahisi hisi na si kuwa na uhakika na hali iliyopo. Hii ni failure kwa uongozi the least to say.
Wakati tukisubiri uendelee kuhusu asasi za kirai na kijamii |(civil society) nitumbukize senti moja hapo mstari wa mwisho kuhusu vyombo vya habari.
Sheria ni kweli ina matatizo kwakuzingatia iliwekwa ili kukidhi haja ya mfumo wa wakati huo.
Sheria hiyo imetumika ndivyo sivyo na kuwa mpini wa kuua demokrasia.
Kwa upande mwingine tuna tatizo kubwa sana la waandishi wa habari. Fani ya habari bado ipo nyuma kwa kutoa waandishi ambao nadiriki kusema wengi hawakidhi viwango. Waandishi wamebadilika kutoka katika kiini cha kazi zao ikiwa ni kutafiti, kuhakiki na kutaarifu na sasa wamekuwa reporters.
Nachelea kusema sijui wangapi wanaweza kuona maana halisi ya bandiko kama lako na nini wanaweza kupata kutoka hapo. Fani ya uandishi mara nyingi hutegemea inputs ndipo mambo kama research yanafuata.
Kwamba mwandishi anatakiwa akione kitu halafu akifuatilie mbali na kinavyoonekana (Investigative jouranalism).
Tunatakiwa tuwe na waandishi ambao ni wataalam wa fani na si 'one size fits all'
kwa mantiki hiyo uwezekano wa mtu kueleza nini civil society na role yake katika jamii inaweza kuandikwa na kueleweka.
gfsonwin katika bandiko lako hapo juu kuna kitu kimenigusa. Kuhusu mzozo wa EAC nadhani rais anamchango mkubwa wa kuzorota kwa hali. Simaanishi maamuzi yake ninamaanisha jinsi anavyokabliana na suala hilo.
Kwa mfano, rais JK amefanyakazi kama waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10.
Amefanya kazi na marais 2 na hivyo kuingia katika vikao vikubwa vya maamuzi yakiwemo yaliyohusu EAC.
Rais JK alikuwa mwenyekiti wa jumuiya kwa nyakati fulani. Kwa maneno mengine ana uzoefu wa hali ya juu kuhusu EAC.Sielewi imekuaje hadi imefikia kiwango hicho bila yeye kufahamu au kuwasiliana na umma ili uelewe nini kinatokea.
Kuna uwezekano maamuzi yake yakawa sahihi na pia yaweza kuwa siyo. Hiyo si hoja, hoja kubwa ni kuwa na communication breakdown kati ya serikali na wananchi hivyo kuwafanya wabaki wanahisi hisi na si kuwa na uhakika na hali iliyopo. Hii ni failure kwa uongozi the least to say.