Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,402
- Thread starter
- #341
MKUTANO WA G-20 (Sehemu ya IV)
Mkutano uliomalizika haukuwa na taswira nzuri kwa US. Nchi 19 zilisaini makubaliano kuwa maazimio ya Paris kuhusu climate change hayabadiliki miongoni mwao.
Ilikuwa ni 'kibao' usoni kwa Rais Trump aliyeiondoa US katika maazimio ya Paris.
Ilijibu hoja ya Trump, nchi 19 zinaamini maazimio ya Paris siyo alivyosema Trump Pittsburgh
Nchi za Japan, Ujerumani, India na nyingine zilisaini mikataba ya biashara baina yao
Ni linatokana na sera za 'America first' zinazotishia biashara na nchi hizo hivyo kuangalia namna nyingine ya ushirikiano nje ya US
Kwa mfano, Trump alitoa fursa kwa makampuni ya magari kurudisha utengenezaji US kutoka Mexico. Katika hilo aliacha nje makampuni ya Japan na Ujerumani
Trump alifanya hivyo kuwakomoa Mexico, kurudisha ajira US na kuleta makampuni ya nje
Nchi hizo nazo zimeingia makubaliano na Mexico ili ziweze kutengeneza bidhaa zao karibu na soko la US. Mexico nayo itatoa incentives ili kupata ajira kwa watu wake.
NKOREA:
Inasumbua US kwa sasa. Juzi Rais Trump aliilaumu China kuwa na biashara na Nkorea
Hapa alidhamiria kuweka shinikizo kwa China ili iiewekee vikwazo Nkorea.
Tarehe 29 serikali ya Trump ilidhinisha takribani Bilioni 1.4 za mauzo ya Silaha kwa Taiwan
China inatambua eneo hilo kama jimbo lake, jambo lililoiudhi sana
Mtakumbuka hili tumelijadili mwezi wa kwanza, kwamba Trump hakuelewa siasa za dunia
Kuibana China isaidie Nkorea kuacha silaha za Nyuklia inategemea mahusiano ya kimataifa
China inasema itasimama na UN ya vikwazo ingawa kuna 'negative' zinazojitokeza.
Hapa aliinyooshea US kidole kuwa ikiuza silaha Taiwan, China atamkubatia Nkorea
Korea Peninsulla haihusu China tu, kuna Russia, Iran na mataifa mengine. Vitisho havitoshi
Ingawa alimalumu sana Obama, Trump haonekani kuwa na mkakati kuhusu Nkorea kwa sasa
Kwa ufupi, mkutano wa Ujerumani umemalizika bila 'deal' kwa US. Kwa Rais aliyemsema mtangulizi wake vibaya na akijinafasi kama mfanya 'deal' hali si nzuri kwake hata kidogo
Kikubwa kilichoonekana ni US kupoteza uongozi 'leadership' katika uso wa Dunia.
Chancellor Angel Merkel ndiye anayeoonekana kama kiongozi wa 'free world' kwa sasa
Ushwaishi wa US katika siasa za duni unaanza kupoteza nguvu unless hali ibadilike mbeleni
Tusemezane
Mkutano uliomalizika haukuwa na taswira nzuri kwa US. Nchi 19 zilisaini makubaliano kuwa maazimio ya Paris kuhusu climate change hayabadiliki miongoni mwao.
Ilikuwa ni 'kibao' usoni kwa Rais Trump aliyeiondoa US katika maazimio ya Paris.
Ilijibu hoja ya Trump, nchi 19 zinaamini maazimio ya Paris siyo alivyosema Trump Pittsburgh
Nchi za Japan, Ujerumani, India na nyingine zilisaini mikataba ya biashara baina yao
Ni linatokana na sera za 'America first' zinazotishia biashara na nchi hizo hivyo kuangalia namna nyingine ya ushirikiano nje ya US
Kwa mfano, Trump alitoa fursa kwa makampuni ya magari kurudisha utengenezaji US kutoka Mexico. Katika hilo aliacha nje makampuni ya Japan na Ujerumani
Trump alifanya hivyo kuwakomoa Mexico, kurudisha ajira US na kuleta makampuni ya nje
Nchi hizo nazo zimeingia makubaliano na Mexico ili ziweze kutengeneza bidhaa zao karibu na soko la US. Mexico nayo itatoa incentives ili kupata ajira kwa watu wake.
NKOREA:
Inasumbua US kwa sasa. Juzi Rais Trump aliilaumu China kuwa na biashara na Nkorea
Hapa alidhamiria kuweka shinikizo kwa China ili iiewekee vikwazo Nkorea.
Tarehe 29 serikali ya Trump ilidhinisha takribani Bilioni 1.4 za mauzo ya Silaha kwa Taiwan
China inatambua eneo hilo kama jimbo lake, jambo lililoiudhi sana
Mtakumbuka hili tumelijadili mwezi wa kwanza, kwamba Trump hakuelewa siasa za dunia
Kuibana China isaidie Nkorea kuacha silaha za Nyuklia inategemea mahusiano ya kimataifa
China inasema itasimama na UN ya vikwazo ingawa kuna 'negative' zinazojitokeza.
Hapa aliinyooshea US kidole kuwa ikiuza silaha Taiwan, China atamkubatia Nkorea
Korea Peninsulla haihusu China tu, kuna Russia, Iran na mataifa mengine. Vitisho havitoshi
Ingawa alimalumu sana Obama, Trump haonekani kuwa na mkakati kuhusu Nkorea kwa sasa
Kwa ufupi, mkutano wa Ujerumani umemalizika bila 'deal' kwa US. Kwa Rais aliyemsema mtangulizi wake vibaya na akijinafasi kama mfanya 'deal' hali si nzuri kwake hata kidogo
Kikubwa kilichoonekana ni US kupoteza uongozi 'leadership' katika uso wa Dunia.
Chancellor Angel Merkel ndiye anayeoonekana kama kiongozi wa 'free world' kwa sasa
Ushwaishi wa US katika siasa za duni unaanza kupoteza nguvu unless hali ibadilike mbeleni
Tusemezane