Duru za siasa: Bunge la Katiba, upotoshaji na kiwewe cha kuzinduka Tanganyika

HOJA YA SERIKALI KUU HAINA VYANZO VYA MAPATO

Hoja hii imetumika sana na CCM na wale wasiotaka S3 kwa sababu tu hawataki.
Ukweli unabaki kuwa hoja ni dhaifu na haina miguu ya kuisimika.

Hoja hiyo inapata nguvu baada ya hoja ya gharama za S3 kuzikwa kutokana na kutokuwa na mashiko.
Tumeonyesha jinsi CCM ilivyo na muundo wa S3.
Chama kinachosubiri ruzuku hakingeweza kukubali gharama za muundo wa utatu kama ulivyo sasa.

Ili kukwepa hoja ya gharama inayowarudi CCM na wapambe wao, hoja hiyo imekufa na ni nadra sana kuisikia.
Hoja iliyopo sasa ni Serikali ya shirikisho kutokuwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Hoja hii nayo haina miguu na inatamkwa tu ili kuziba ombwe la hoja na kujazia nyama katika mfupa hata kama zimeoza.
Kwasasa tuna S2 na tumewauliza wanaohusika chanzo cha uhakika cha mapato ni kipi?
Mara zote hakuna majibu kwasababu majibu ni matusi kwa Watanganyika.

Muungano wa sasa umebebwa kwa asilimia zote na Tanganyika.
Tunafahamu mapato ya znz kama alivyosema Ali Salehe yanabaki huko.
Tunajua mikopo inachukuliwa na Tanganyika kama dhamana, na tunafahamu mambo yenye gharama yanabebwa na Tanganyika.

CCM na wenye hoja ya chanzo cha mapato ya uhakika wana maana moja kuwa, chanzo cha sasa cha uhakika ni Tanganyika.

Wanafahamu uwepo wa Tanganyika utawalazimisha wznz wachangie japo walicho nacho.
Hilo hawalitaki kwa kuamini kuwa znz inapaswa kubebwa tuu na kudai hata kisicho chake.

Uwepo wa S3 utawawajibisha wznz katika kuchangia gharama, kuwa na uchungu na muungano na kuuthamini.

Kwasasa wznz wanachukulia kusaidiwa kila kitu kama haki yao.
Na hapo ndipo wasioitakia mema Tanganyika wanapobabaika kuwa ujio wake utakuwa tatizo kwa znz.

Kama znz inataka mamlaka kamili basi mamlaka hayo yaambatane na wajibu.
Wajibu ni kuchangia serikali ya shirikisho na kulea watu wake.

Wajibu si kukimbia wajibu wao wa kuchangia muungano kwa kujificha ndani ya jina la Tanzania.

Mfano, wakati wa tume ya Warioba wznz walikuwa wakali wakitaka 50-50 ya wajumbe ambao ni hawa akina Ali Salehe.
Wakati tume inapeleka bili wazanzibar wakagoma wakisema anayelipa ni JMT.

Kwa uwezo wao mdogo wa kufikiri na kuwaza, hawakuuliza hata nani amelipia gharama hizo. Walichokimbilia ni JMT.

Tunajua kuwa Bilioni 60 ukizigawa ni bilioni 30.
Kiasi hicho cha bIlioni 30 ni sawa na 12% ya mapato yao.

Ili kukwepa gharama hizo wznz wanatumia jina.
Na Mtanganyika anawajibika kulipa kwasababu yeye hana mtu wa kumtetea. Nani atamsemea Mtanganyika?

Rais ni wa JMT
Waziri mkuu ni wa JMT
Spika ni wa JMT
Wabunge ni wa JMT
Serikali ni ya JMT

Maana ya hili ni kuwa Mtanganyika ananyimwa fursa ya kujiamualia mambo yake kwa jina lake.
Analazimishwa kutumia jina la ushirika la Tanzania ili kukamua na kukomba rasilimali zake.

Mali na rasilimali za Watanganyika ndicho chanzo cha uhakika cha mapato ya S2 za Sasa.

Wanaoogopa Utanganyika na kuzinduka kwake wanajua kuwa uwepo wa Tanganyika unaleta sehemu mbili sawa.
Leo Tanganyika isingekubali tume yenye wajumbe sawa ilipe yenyewe
Tanganyika isingekubali kulipia watoto wa nchi jirani na kuacha watoto wake nje ya mfumo wa elimu
Tanganyika isingekubali waznz 4 wakae na kupanga kiwango cha ajira ndani ya nchi yao.

Katika kuendeleza ukupe ndipo hoja dhaifu ya chanzo cha uhakika inapokuja.
Hii ni kuwatukana Watanganyika. Kwamba kodi zao ni chanzo cha uhakika, zile za wazanzibar ni kwa ajili ya ujenzi wa shule na hospitali zao tena wakisema askari wa Tanganyika wanaongeza gharama.

Jamani, hawa watu wameanza kuvunja katiba yetu mchana na sasa wantamba wamevunja katika kwa lazima.

Wamefika mahali wanakuja na kukaa meza moja wznz 4 na kupanga asilimia za ajira za watoto wao kutoka ajira za nchi yetu.

Wanadai tugawane mali zetu 50-50, maana hawana chochote.

Tusipoangalia watu hawa, tutaaachia kizazi chetu tatizo kubwa sana.

Ni lazima Tanganyika izinduke, hakuna namna nyingine.
Wameingiza mizizi yao katika sehemu zote za utawala.

Bila Tanganyika hawa wazanzibar ni tatizo kubwa sana mbeleni.

Watanganyika wake up!
 
ALI SALEHE MZANZIBAR

AOMBA DUA BANDARI YA DAR ES SALAAM ISIFANIKIWE

ASEMA, ZANZIBAR INAJENGA BANDARI HURU

KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 2/5 KONGAMANO NA MAKAMISHNA WA KATIBA MPYA 6/APRIL/2014 - YouTube

Tunarudi katika video zinazohusu muungano. Sehemu ya kwanza ya video hizo za maridhiano six, Ali Salehe ametamka kuwa Watanganyika hawajui muungano ni wajinga. Akasema wazanzibar wanajua muungano.

Tunataka kumfahamisha Ali Salehe kuwa ni kweli Watanganyika wengi hawakujua namna wanavyoibiwa.
Taratibu wanmeanza kubaini hilo ndio maana wanasema sasa basi, njia nyeupee.
Ujinga wa Watanganyika kwa mujibu wa Salehe, ndio utakaoleta Tanganyika. Na ujuvi wa wazanzibar ndio utatoa mamlaka kamili.

Ukiangalia video hiyo hapo juu dakika ya 9 hadi 11, Ali Salehe anasema mradi wa kujenga bandari huru Bagamoyo ana taarifa umeshindwa na anaomba dua ushindwe. Kwamba, kushindwa kwa Tanganyika ni faraja ya wazanzibar.

Asichokielewa Ali Salehe ni kuwa Tanganyika ni soko kubwa la Zanzibar kwa bidhaa na ajira.
Kushindwa kwa uchumi wa Tanganyika kuna madhara makubwa sana kwa Zanzibar.
Hata hiyo bandari huru ya zanzibar inayojengwa, ufanisi wake utategemea soko la Tanganyika.
Kuombea mabaya Tanganyika ni kujiombea mabaya.

Ali Salehe akumbuke kuwa kuna bandari ya Mwambani Tanga inajengwa pia.
Bandari hiyo ni itakuwa ni changamoto kwa Zanzibar.

Lakini pia aelewe kuwa Tanganyika itakapoamua kuzifanya bandari zake huru, kijiografia ina nafasi nzuri sana kuliko Zanzibar.
Ili Zanzibar ilifikie soko la Afrika mashariki na kati lazima itatumia miundo mbinu ya Tanganyika.
Katika hali ya kuomba dua na matusi dhidi ya Tanganyika, Ali Salehe anajenga mazingira magumu kwa Zanzibar siku za usoni.

Ali Salehe akumbuke kuwa bandari ya znz iliondolewa katika muungano siku nyingi.
Nafasi ilitolewa kwa bandari hiyo kufanya kazi hadi bara.

Kilichotokea ni wazanzibar kuingiza bidhaa zao bila kuchukua kodi na kutaka ziingie Tanganyika bure.
Hali hiyo ikalazimu uwepo wa kodi ambazo znz inazilalamikia kuwa ni mbili.

Ali Salehe asisahau kuwa hata Tanganyika ingependa izinduke ili isimamie mambo yake ya uchumi.
Uwepo wa Tanganyika utanufaika sana na bandari huru ya znz kwa jambo moja, Tanganyika haitakuwa na sababu za kuachia bidhaa ziingie nchini bila kodi. Kwa mtaji huo Tanganyika yenye soko itanufaika zaidi.

ALi Salehe alipiga debe znz kujiondoa kutoka chama cha mpira FAT zama hizo.
Tangu znz ijiondoe hakuna manufaa iliyoyapa na hata sasa hivi ligi yake ni moja kati ya mbovu sana dunia kwa mujibu wa kiongozi wa FIFA Mamelod.

Zile shamra shamra za small simba, miembeni ziko wapi?
Tanganyika haijaathirika na kujitoa kwa Zanzibar.

Ali anazungumzia sana wafanyakazi wa muungano kutoka Tanganyika.
Hata sisi tunamuunga mkono, tunahitaji serikali ya Tanganyika kwa ajili ya ajira za Watanganyika.

Wale wznz walioko huku ni wakati wafikirie namna ya kurudi nyumbani znz wakaijenge nchi yao. Hatutaki dhulma ya namna yoyote.

Kinachochanganya ni kuona Ali Salehe akiwasihi watu warudi bungeni.
Masikini hana habari kuwa rasimu aliyoandaa inawea kutunguliwa kama tulivyoona.
Ni ngumu kumuelewa anasimamia wapi.

Anachotakiwa kufanya Ali Salehe si kuilaumu Tanganyika. Ali, anatakiwa awashawishi wazanzibar wasije katika bunge la katiba.
Hadi hapo mamlaka kamili yatapatikana huko visiwani.

Hoja ya tume ya mashirikiano haina maana, sisi tunataka Tanganyika yetu tuachane na lawama zisizo na kichwa wala miguu.

Wazanzibar muungeni mkono Ali Salehe, ana hoja za manufaa kwenu. Huu muungano asioutaka ni wakati muuhitimishe.

Sisi Tanganyika hatuna shaka wala lalamu, tupo radhi kabisa mwende kuijenga znz yenye neema.

Mkishindwa kuvunja muungano, tuambieni ili tuwasaidie ingawa mtalipa gharama kidogo, Ali Salehe atawasaidia kwa hilo.

Tusemezane
 
ALI SALEHE MZANZIBAR

AOMBA DUA BANDARI YA DAR ES SALAAM ISIFANIKIWE

ASEMA, ZANZIBAR INAJENGA BANDARI HURU

KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 2/5 KONGAMANO NA MAKAMISHNA WA KATIBA MPYA 6/APRIL/2014 - YouTube

Tunarudi katika video zinazohusu muungano. Sehemu ya kwanza ya video hizo za maridhiano six, Ali Salehe ametamka kuwa Watanganyika hawajui muungano ni wajinga. Akasema wazanzibar wanajua muungano.

Tunataka kumfahamisha Ali Salehe kuwa ni kweli Watanganyika wengi hawakujua namna wanavyoibiwa.
Taratibu wanmeanza kubaini hilo ndio maana wanasema sasa basi, njia nyeupee.
Ujinga wa Watanganyika kwa mujibu wa Salehe, ndio utakaoleta Tanganyika. Na ujuvi wa wazanzibar ndio utatoa mamlaka kamili.

Ukiangalia video hiyo hapo juu dakika ya 9 hadi 11, Ali Salehe anasema mradi wa kujenga bandari huru Bagamoyo ana taarifa umeshindwa na anaomba dua ushindwe. Kwamba, kushindwa kwa Tanganyika ni faraja ya wazanzibar.

Asichokielewa Ali Salehe ni kuwa Tanganyika ni soko kubwa la Zanzibar kwa bidhaa na ajira.
Kushindwa kwa uchumi wa Tanganyika kuna madhara makubwa sana kwa Zanzibar.
Hata hiyo bandari huru ya zanzibar inayojengwa, ufanisi wake utategemea soko la Tanganyika.
Kuombea mabaya Tanganyika ni kujiombea mabaya.

Ali Salehe akumbuke kuwa kuna bandari ya Mwambani Tanga inajengwa pia.
Bandari hiyo ni itakuwa ni changamoto kwa Zanzibar.

Lakini pia aelewe kuwa Tanganyika itakapoamua kuzifanya bandari zake huru, kijiografia ina nafasi nzuri sana kuliko Zanzibar.
Ili Zanzibar ilifikie soko la Afrika mashariki na kati lazima itatumia miundo mbinu ya Tanganyika.
Katika hali ya kuomba dua na matusi dhidi ya Tanganyika, Ali Salehe anajenga mazingira magumu kwa Zanzibar siku za usoni.

Ali Salehe akumbuke kuwa bandari ya znz iliondolewa katika muungano siku nyingi.
Nafasi ilitolewa kwa bandari hiyo kufanya kazi hadi bara.

Kilichotokea ni wazanzibar kuingiza bidhaa zao bila kuchukua kodi na kutaka ziingie Tanganyika bure.
Hali hiyo ikalazimu uwepo wa kodi ambazo znz inazilalamikia kuwa ni mbili.

Ali Salehe asisahau kuwa hata Tanganyika ingependa izinduke ili isimamie mambo yake ya uchumi.
Uwepo wa Tanganyika utanufaika sana na bandari huru ya znz kwa jambo moja, Tanganyika haitakuwa na sababu za kuachia bidhaa ziingie nchini bila kodi. Kwa mtaji huo Tanganyika yenye soko itanufaika zaidi.

ALi Salehe alipiga debe znz kujiondoa kutoka chama cha mpira FAT zama hizo.
Tangu znz ijiondoe hakuna manufaa iliyoyapa na hata sasa hivi ligi yake ni moja kati ya mbovu sana dunia kwa mujibu wa kiongozi wa FIFA Mamelod.

Zile shamra shamra za small simba, miembeni ziko wapi?
Tanganyika haijaathirika na kujitoa kwa Zanzibar.

Ali anazungumzia sana wafanyakazi wa muungano kutoka Tanganyika.
Hata sisi tunamuunga mkono, tunahitaji serikali ya Tanganyika kwa ajili ya ajira za Watanganyika.

Wale wznz walioko huku ni wakati wafikirie namna ya kurudi nyumbani znz wakaijenge nchi yao. Hatutaki dhulma ya namna yoyote.

Kinachochanganya ni kuona Ali Salehe akiwasihi watu warudi bungeni.
Masikini hana habari kuwa rasimu aliyoandaa inawea kutunguliwa kama tulivyoona.
Ni ngumu kumuelewa anasimamia wapi.

Anachotakiwa kufanya Ali Salehe si kuilaumu Tanganyika. Ali, anatakiwa awashawishi wazanzibar wasije katika bunge la katiba.
Hadi hapo mamlaka kamili yatapatikana huko visiwani.

Hoja ya tume ya mashirikiano haina maana, sisi tunataka Tanganyika yetu tuachane na lawama zisizo na kichwa wala miguu.

Wazanzibar muungeni mkono Ali Salehe, ana hoja za manufaa kwenu. Huu muungano asioutaka ni wakati muuhitimishe.

Sisi Tanganyika hatuna shaka wala lalamu, tupo radhi kabisa mwende kuijenga znz yenye neema.

Mkishindwa kuvunja muungano, tuambieni ili tuwasaidie ingawa mtalipa gharama kidogo, Ali Salehe atawasaidia kwa hilo.

Tusemezane


Labda utuwekee wazi bila kificho weka bayana kabisa dhwahir shahr JE TANGANYIKA ANACHANGIA VIPI HUO MUUNGANO WENU kama unavyo jinasibu. Lakin kwa kuwa suala lenyewe limejikita kwenye uchumi zaidi na uchumi siku zote unaongozwa na DATA au figure na SIO MANENO YA WATU. Weka figire na UBAINISHE WANACHANGIA KATIKA AKAUNTI IPI HIZO PESA ZAKE ZA MUUNGANO NA NANI ANAYESIMAMIA HIYO ACCOUNT?.

uKIBAINISHA HAO UTAKUWA UMEWEZA KUTUTOA KATIKA UPOFU WA KUWELEWA HALI YA KIUCHUMI WA NCHI HIZO MBILI ZILIZO HURU.

Kinyume chake wengi tutakuona unazidi kuendeleza ile tarbia yako ya kupenda KUNUNG'UNIKA NUNG'UNIKA TU ambayo haina faida kwa umma unakusoma katika barza hii
 
HOJA YA SERIKALI KUU HAINA VYANZO VYA MAPATO

Hoja hii imetumika sana na CCM na wale wasiotaka S3 kwa sababu tu hawataki.
Ukweli unabaki kuwa hoja ni dhaifu na haina miguu ya kuisimika.

Hoja hiyo inapata nguvu baada ya hoja ya gharama za S3 kuzikwa kutokana na kutokuwa na mashiko.
Tumeonyesha jinsi CCM ilivyo na muundo wa S3.
Chama kinachosubiri ruzuku hakingeweza kukubali gharama za muundo wa utatu kama ulivyo sasa.

Ili kukwepa hoja ya gharama inayowarudi CCM na wapambe wao, hoja hiyo imekufa na ni nadra sana kuisikia.
Hoja iliyopo sasa ni Serikali ya shirikisho kutokuwa na vyanzo vya uhakika vya mapato.

Hoja hii nayo haina miguu na inatamkwa tu ili kuziba ombwe la hoja na kujazia nyama katika mfupa hata kama zimeoza.
Kwasasa tuna S2 na tumewauliza wanaohusika chanzo cha uhakika cha mapato ni kipi?
Mara zote hakuna majibu kwasababu majibu ni matusi kwa Watanganyika.

Muungano wa sasa umebebwa kwa asilimia zote na Tanganyika.
Tunafahamu mapato ya znz kama alivyosema Ali Salehe yanabaki huko.
Tunajua mikopo inachukuliwa na Tanganyika kama dhamana, na tunafahamu mambo yenye gharama yanabebwa na Tanganyika.

CCM na wenye hoja ya chanzo cha mapato ya uhakika wana maana moja kuwa, chanzo cha sasa cha uhakika ni Tanganyika.

Wanafahamu uwepo wa Tanganyika utawalazimisha wznz wachangie japo walicho nacho.
Hilo hawalitaki kwa kuamini kuwa znz inapaswa kubebwa tuu na kudai hata kisicho chake.

Uwepo wa S3 utawawajibisha wznz katika kuchangia gharama, kuwa na uchungu na muungano na kuuthamini.

Kwasasa wznz wanachukulia kusaidiwa kila kitu kama haki yao.
Na hapo ndipo wasioitakia mema Tanganyika wanapobabaika kuwa ujio wake utakuwa tatizo kwa znz.

Kama znz inataka mamlaka kamili basi mamlaka hayo yaambatane na wajibu.
Wajibu ni kuchangia serikali ya shirikisho na kulea watu wake.

Wajibu si kukimbia wajibu wao wa kuchangia muungano kwa kujificha ndani ya jina la Tanzania.

Mfano, wakati wa tume ya Warioba wznz walikuwa wakali wakitaka 50-50 ya wajumbe ambao ni hawa akina Ali Salehe.
Wakati tume inapeleka bili wazanzibar wakagoma wakisema anayelipa ni JMT.

Kwa uwezo wao mdogo wa kufikiri na kuwaza, hawakuuliza hata nani amelipia gharama hizo. Walichokimbilia ni JMT.

Tunajua kuwa Bilioni 60 ukizigawa ni bilioni 30.
Kiasi hicho cha bIlioni 30 ni sawa na 12% ya mapato yao.

Ili kukwepa gharama hizo wznz wanatumia jina.
Na Mtanganyika anawajibika kulipa kwasababu yeye hana mtu wa kumtetea. Nani atamsemea Mtanganyika?

Rais ni wa JMT
Waziri mkuu ni wa JMT
Spika ni wa JMT
Wabunge ni wa JMT
Serikali ni ya JMT

Maana ya hili ni kuwa Mtanganyika ananyimwa fursa ya kujiamualia mambo yake kwa jina lake.
Analazimishwa kutumia jina la ushirika la Tanzania ili kukamua na kukomba rasilimali zake.

Mali na rasilimali za Watanganyika ndicho chanzo cha uhakika cha mapato ya S2 za Sasa.

Wanaoogopa Utanganyika na kuzinduka kwake wanajua kuwa uwepo wa Tanganyika unaleta sehemu mbili sawa.
Leo Tanganyika isingekubali tume yenye wajumbe sawa ilipe yenyewe
Tanganyika isingekubali kulipia watoto wa nchi jirani na kuacha watoto wake nje ya mfumo wa elimu
Tanganyika isingekubali waznz 4 wakae na kupanga kiwango cha ajira ndani ya nchi yao.

Katika kuendeleza ukupe ndipo hoja dhaifu ya chanzo cha uhakika inapokuja.
Hii ni kuwatukana Watanganyika. Kwamba kodi zao ni chanzo cha uhakika, zile za wazanzibar ni kwa ajili ya ujenzi wa shule na hospitali zao tena wakisema askari wa Tanganyika wanaongeza gharama.

Jamani, hawa watu wameanza kuvunja katiba yetu mchana na sasa wantamba wamevunja katika kwa lazima.

Wamefika mahali wanakuja na kukaa meza moja wznz 4 na kupanga asilimia za ajira za watoto wao kutoka ajira za nchi yetu.

Wanadai tugawane mali zetu 50-50, maana hawana chochote.

Tusipoangalia watu hawa, tutaaachia kizazi chetu tatizo kubwa sana.

Ni lazima Tanganyika izinduke, hakuna namna nyingine.
Wameingiza mizizi yao katika sehemu zote za utawala.

Bila Tanganyika hawa wazanzibar ni tatizo kubwa sana mbeleni.

Watanganyika wake up!

Kwa watu tunaojua uchumi kitaaluma siku zote tunaongozwa na DATA na FIGURE.

Binafsi sijapata kuona wala kusoma wala kusikia kuwa Tanganika inachangia muungano hata siku moja zaidi ya kukusoma wewe hapa katika batza hii.

Labda tuweke wazi TGK WANACHANGIA MUUNGANO KATIKA AKAUNTI IPI? NA ANACHANGIA KIASI GANI? NA NANI ANAYESIMAMIA AKAUNTI HIYO?

Lakin suala la ziada hapa JE ZNZ ANAJUA KUWA NAYEYE ANATAKIWA KUCHANGIA MUUNGANO? JE ACHANGIE KIASI GANI? NA ACHANGIE KUPITIA AKAUNTI IPI? JE KUNA MAKUBALIANO YOYOTE YA KUHALALISHA MICHANGO HIYO KWA NCHI WASHIRIKA?..

Naomba ufafanuzi wako hapo kwani tunataka tujadili suala hili au hoha zako kitaalamu zaidi kwani bila DARA na FIGURE kuthibitisha manunguniko yako zitabaki kuwa stori za kijiweni au kwenye Bar tu.

 
Weka figire na UBAINISHE WANACHANGIA KATIKA AKAUNTI IPI HIZO PESA ZAKE ZA MUUNGANO NA NANI ANAYESIMAMIA HIYO ACCOUNT?.uKIBAINISHA HAO UTAKUWA UMEWEZA KUTUTOA KATIKA UPOFU WA KUWELEWA HALI YA KIUCHUMI WA NCHI HIZO MBILI ZILIZO HURU.
Kinyume chake wengi tutakuona unazidi kuendeleza ile tarbia yako ya kupenda KUNUNG'UNIKA NUNG'UNIKA TU ambayo haina faida kwa umma unakusoma katika barza hii
Kwa watu tunaojua uchumi kitaaluma siku zote tunaongozwa na DATA na FIGURE.
Binafsi sijapata kuona wala kusoma wala kusikia kuwa Tanganika inachangia muungano hata siku moja zaidi ya kukusoma wewe hapa katika batza hii.
Labda tuweke wazi TGK WANACHANGIA MUUNGANO KATIKA AKAUNTI IPI? NA ANACHANGIA KIASI GANI? NA NANI ANAYESIMAMIA AKAUNTI HIYO?

Lakin suala la ziada hapa JE ZNZ ANAJUA KUWA NAYEYE ANATAKIWA KUCHANGIA MUUNGANO? JE ACHANGIE KIASI GANI? NA ACHANGIE KUPITIA AKAUNTI IPI? JE KUNA MAKUBALIANO YOYOTE YA KUHALALISHA MICHANGO HIYO KWA NCHI WASHIRIKA?..

Naomba ufafanuzi wako hapo kwani tunataka tujadili suala hili au hoha zako kitaalamu zaidi kwani bila DARA na FIGURE kuthibitisha manunguniko yako zitabaki kuwa stori za kijiweni au kwenye Bar tu.
Niliamua kutokukujibu kwasababu sikuona nijibu nini. Hata hivyo kwa faida ya wana baraza nitakujibu katika kiwango ninachotumaini unakielewa.

1. Unapoongelea Tanganyika, kwa muundo wa sasa ipo wapi? Unaongelea Tanganyika inayoitwa Tanzania ukiacha NIA?

2. Kama ''Tanganyika'' haichangii muungano, ni chombo gani kinaendesha muungano , ikiwa znz haijui ichangie wapi.

3. Si ninyi wzn mnaosema misaada na mikopo inaishia Tanganyika.
Vipi uulize tena Tanganyika inachangia nini wakati unasema misaada na mikopo inaishia huko.

4. Gharama za kuendesha muungano zimeanishwa. Nani au ni chanzo gani cha mapato ya gharama hizo.

5. Zile pesa takribani bilioni 350 zinazokwenda kwenye bajeti ya znz zinatoka account ya hazina ya nchi ipi?

7. Unaposema hakuna account ya pamoja, iweje bill ya tume ya Warioba znz ikatae kuchangia?
Je, kulitakiwa kuwe na account ya gharama hizo? Na kama haipo pesa zimetoka account ipi?

8. Wale wafanyakazi wa muungano wanalipwa kutoka account ya chombo gani?

9. Kama znz inaweza kuchangia, katika mapato ya bilioni 400 ukilinganisha na Trillion 12 za bajeti ya 'Tanganyika' bila mikopo na misaada, znz wanaweza kuchangia kitu gani.

Kumbuka inachukua miaka 30 bila kutoa hata senti tano ndipo znz iweze kufikia bajeti ya 'Tanganyika' kwa mwaka mmoja(bila misaada na mikopo). Leo account unayosema itachangiwa nini na znz.

10. Mwaka huu znz imepewa bilioni 15 kama PAYE. Kiasi hicho kimetoka kwa utaratibu wa account ipi ya pamoja?

11.Mwaka 2013/14 znz ilipewa bilioni 32 kwa maendeleo. Kiasi hicho kimetoka account gani ya pamoja

10. Kama kuna account ya pamoja, znz itachangia kiasi gani bajeti ya ulinzi na usalama ambayo ni trillion 1.2
Itachangia kiasi gani katika wizara ya mambo ya ndani ambayo ni zaidi ya bilioni 700.
Itachagia kiasi gani katika wizara ya mambo ya nje.

Nimalizie kwa kukueleza kuwa kwa uchumi wa znz ni useless kuwa na account ya pamoja.
Huwezi kuwa na bilioni 400 na mwenzako trillioni 12 mkawa na account ya pamoja.

Lakini kikubwa zaidi ni kuwa account hiyo ya pamoja kama znz itapewa ichangie 5% ya ulinzi na usalama, mambo ya nje, mambo ya ndani na muungano haiwezi.

Hakuna malalamiko zipo hoja kuwa hatuna sababu za kuchangia muungano na znz kwasababu uchumi wake ni mdogo.
Tunasaidia znz hakuna muungano wa pamoja. Unaungana vipi na nchi yenye kipato cha bilioni 400?

Tanganyika ndiyo imebeba mzigo wa muungano. Labda mchumi utupe data ni mchango upi wa znz kwa muungano kwasasa kama tungekuwa na account ya pamoja ukijua mapato yake ni bilioni 400.

Ni hivi baru baru, mishahara ya wafanyakazi wa muungano ni bilioni 360 kwa mwezi.
Kwa maana kuwa znz bila kuondoa senti tano ya mapato yake ina uwezo wa kulipa mishahara tu kwa mwezi mmoja.
Haiwezi kuendesha wizara hata moja ya muungano kwa mwaka, hata moja.

Haikuweza kuchangia tume ya Warioba bilioni 60, account ya pamoja ni ya nini.

Subirini Tanganyika izinduke, na ninashangaa kuona August 5 wanakuja Dodoma.

Ustawi wa znz unategemea Tanganyika ndio maana hata wewe unadai account ya pamoja na si kuvunja muungano.
Sisi hatuhitaji account ya pamoja. Ya nini ?

Account ya pamoja ni kati ya meneja wa soko la kariakoo na waziri wa fedha wa znz.

Tumewaambia njia nyeupee, nani amethubutu kujibu! Tumabie nani alitoka mjengoni, nani aliandamana! wameufyata!
 
Niliamua kutokukujibu kwasababu sikuona nijibu nini. Hata hivyo kwa faida ya wana baraza nitakujibu katika kiwango ninachotumaini unakielewa.

1. Unapoongelea Tanganyika, kwa muundo wa sasa ipo wapi? Unaongelea Tanganyika inayoitwa Tanzania ukiacha NIA?KWANINI MNAKATAA KWA NGUVU ZOTE KUUNDA SERIKALI YA TANGANYIKA ILI MCHANGO WENU UWEZE KUJULIKANA KATIKA MUUNGANO?

2. Kama ''Tanganyika'' haichangii muungano, ni chombo gani kinaendesha muungano , ikiwa znz haijui ichangie wapi.HICHO NI KIZUNGUMKUTI KINGINE KWANI HAKUNA SHARIA YOYOTE YA FEDHA INAYOSEMA BAYANA TANGANYIKA ACHANGIE KIASI GANI NA KTK ACCOUNT GANI YA MUUNGANO NA VILE VILE ZNZ WACHANGIE KIASI GANI KWA ACCOUNT IPI? KIFUPI HAKUNA ACCOUNT YA PAMOJA YA MUUNGANO AMBAZO NCHI ZOTE ZILIZOUNGANA ZINATAKIWA ZICHANGIE HAPO.

3. Si ninyi wzn mnaosema misaada na mikopo inaishia Tanganyika.
Vipi uulize tena Tanganyika inachangia nini wakati unasema misaada na mikopo inaishia huko.HICHO NDIO KIZUNGUMKUTI KILICHOPO NA DHULMA KWA ZNZ. KWANI TGK INAKOPA KWA MAMBO YASIYO YA MUUNGANO KAMA KUTENGENEZA BARABARA, AFYA, KILIMO KWA JINA LA TANZANIA NA HILO DENI LINAKUWA MZIGO KWA ZNZ PIA BILA WAO KUPATA HATA SENTI MOJA

4. Gharama za kuendesha muungano zimeanishwa. Nani au ni chanzo gani cha mapato ya gharama hizo. GHARAMA HIZO ZA KUENDESHA MUUNGANO ZIMEANISHWA NA CHOMBO GANI? NA VIPI UTEKELEZAJE WAKE UMEKUWAJE?

5. Zile pesa takribani bilioni 350 zinazokwenda kwenye bajeti ya znz zinatoka account ya hazina ya nchi ipi?BAJETI KUU YA ZNZ 2014/15 NI 700 BIL, MAKUSANYO YAO NI 400 BIL, NA MATUMIZI YAO YA KAWAIDA NI 380 BIL. SASA LABDA UTUDADAVULIE HIZO 350 BIL UNAZODAI TGK INAIPA ZNZ KWA AJILI YA JAMBO GANI? KUMBUKA BAJETI KUU YA TGK 2014/15 NI 19.6 TRIL, MAKUSANYO YAKE NI 12 TRIL, MATUMIZI YA KAWAIDA 13.6 TRIL, DENI LA TGK KUFIKIA 30th APRIL 2014 LILIKUWA ZAIDI YA 38 TRL.

7. Unaposema hakuna account ya pamoja, iweje bill ya tume ya Warioba znz ikatae kuchangia?
Je, kulitakiwa kuwe na account ya gharama hizo? Na kama haipo pesa zimetoka account ipi? HAIWEZEKANI UPANDE MMOJA UANDAE BAJETI YA TUME HIYO KISHA IWALAZIMISHE UPANDE MWINGINE ILIPIE. JIULIZE JE ZNZ WALISHIRIKISHWA KATIKA KUANDAA BAJETI HIYO? NA KULIKUWA NA MAKUBALIANO YOYOTE YA KUONYESHA KILA UPANDE ULITAKIWA KUCHANGIA KIASI GANI NA PESA HIZO ZINGERATIBIWA NA NANI?

8. Wale wafanyakazi wa muungano wanalipwa kutoka account ya chombo gani? JE UNAWEZA KUNIELEZA ZNZ INA WAFANYAKAZI WANGAPI KWENYE MUUNGANO. NA JE KUNA MAKUBALIANO YOYOTE YANAYOWEKA WAZI ZNZ WACHANGIE KULIPA WAFANYAKAZI HAO? JE WALIPIE WAPI PESA HIZO? JE TGK ANALIPIA WAPI PESA HIZO? NA NANI ANAYERATIBU UTARATIBU ZA FEDHWA ZA WAFANYAKAZI WA MUUNGANO?.

9. Kama znz inaweza kuchangia, katika mapato ya bilioni 400 ukilinganisha na Trillion 12 za bajeti ya 'Tanganyika' bila mikopo na misaada, znz wanaweza kuchangia kitu gani. TGK MPAKA KUFIKIA 30 APRIL 2014 WALIKUWA WANADAIWA DENI LA NJE LILILOZIDI 38 TRL (MARA MBILI ZAIDI YA BAJETI YAKE KUU) NA ZNZ WALIKUWA WANADAIWA TAKRIBAN 200 BIL DENI LA NJE.SASA NANI MWENYE UWEZO MKUBWA HAPO IWE WA KUCHANGIA HATA KUKOPA

Kumbuka inachukua miaka 30 bila kutoa hata senti tano ndipo znz iweze kufikia bajeti ya 'Tanganyika' kwa mwaka mmoja(bila misaada na mikopo). Leo account unayosema itachangiwa nini na znz. TGK INA WATU ZAIDI YA 45 MIL NA ZNZ INA WATU CHINI YA 1.5 MIL. JE KUHUDUMIA WATU 1.5 MIL INAWEZA KUWA SAWA NA KUHUDUMIA WATU ZAIDI YA 45 MIL?. TUMIA AKILI KIDOGO HAPA.

10. Mwaka huu znz imepewa bilioni 15 kama PAYE. Kiasi hicho kimetoka kwa utaratibu wa account ipi ya pamoja?HIZO NI PESA ZA WAFANYAKAZI WAZNZ NA ZILITOLEWA SIO KWA IHSANI BALI ZILITAKIWA KUIMARISHA KULE WAFANYAKAZI HAO WALIPOTOKA KAMA AMBAVYO TGK INAVYOZICHUA ZA WAFANYAKAZI WAKE.

11.Mwaka 2013/14 znz ilipewa bilioni 32 kwa maendeleo. Kiasi hicho kimetoka account gani ya pamoja. HAPA NASHANGAA KWANI KWA MIAKA ZAIDI YA 10 TGK HAIWEZI KUWEKA HATA PESA ZA MAENDELEO. NA ZAIDI YA 85% YA PASA ZA MAENDELEO YA TGK ZINATEGEMEA MIKOPO NA MISAADA. iWEJE ITOE PESA ZA MAENDELEO KWA ZNZ WAKTI YENYEWE HATA PESA NA MATUMIZI YA KAWAIDA WANASHINDWA KUWA NAZO. PITIA BAJETI 2014/15 VIZURI UONE PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA ZA TGK NI 13.6 TRL NA MAKUSANYO YAKE NI 12 TRIL. MNATEGEMEA KUKOPA 1.6 TRL KWA AJILI YA MATUMIZI YA KAWAIDA

10. Kama kuna account ya pamoja, znz itachangia kiasi gani bajeti ya ulinzi na usalama ambayo ni trillion 1.2
Itachangia kiasi gani katika wizara ya mambo ya ndani ambayo ni zaidi ya bilioni 700.
Itachagia kiasi gani katika wizara ya mambo ya nje. HILI LIPO WAZI KWANI HATA TGK HAIJULIKANI INACHANGIA KIASI GANI NA WAPI NA ZNZ HAIJULIKANI ICHANGIE KIASI GANI NA WAPI? LAKIN KUBWA ACCOUNT WATAKAYOCHANGIA ITARATIBIWA NA NANI? NANI ANATAKIWA KUTOA MCHANGANUO ELEKEZI KILA NCHI ICHANGIE KIASI GANI?

Nimalizie kwa kukueleza kuwa kwa uchumi wa znz ni useless kuwa na account ya pamoja.
Huwezi kuwa na bilioni 400 na mwenzako trillioni 12 mkawa na account ya pamoja. LAKIN VILE VILE KUMBUKA KUWA WATU 1.5 MIL HAWAWEZI KUWA SAWA NA WATU ZAIDI YA 45 MIL.

Lakini kikubwa zaidi ni kuwa account hiyo ya pamoja kama znz itapewa ichangie 5% ya ulinzi na usalama, mambo ya nje, mambo ya ndani na muungano haiwezi. JE HIYO 5% UMEIPATA KWA VIGEZO GANI? NA WACHANGIE KATIKA ACCOUNT IPI? NANI ATARATIBU MATUMIZI YA ACCOUNT HIYO?

Hakuna malalamiko zipo hoja kuwa hatuna sababu za kuchangia muungano na znz kwasababu uchumi wake ni mdogo.
Tunasaidia znz hakuna muungano wa pamoja. Unaungana vipi na nchi yenye kipato cha bilioni 400? VIPI KUHUSU MAPUNGUFU YA PESA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA ( YAANI YA MISHAHARA, POSHO, SEMINA NA UENDESHAJI WA AFISI) WA 1.6 TRL KWA MWAKA NA KUTEGEMEA KUZIBA PENGO HILO KWA KUKOPA NA KUTEMBEZA BAKULI KWA WAHISANI WENU? JE HILO UNALITAZAMA KWA JICHO GANI NALO?

Tanganyika ndiyo imebeba mzigo wa muungano. Labda mchumi utupe data ni mchango upi wa znz kwa muungano kwasasa kama tungekuwa na account ya pamoja ukijua mapato yake ni bilioni 400.MIMI NASEMA WAZI KUWA ZNZ INADHURUMIWA KATIKA MUUNGANO NA NDIO MAANA TGK WANAKUWA WAGUMU KUTEKELEZA SHARIA YAKE IBARA YA 133 YA AKAUNTI YA PAMOJA ILI KILA NCHI IJULIKANE WAZI INACHANGIA KIASI GANI KATIKA MUUNGANO? JIULIZE KWANINI WANAFANYA SIRI? IKI NAMNA HAPO? LAKIN HAKUNA DHULMA YENYE KUDUMU.

Ni hivi baru baru, mishahara ya wafanyakazi wa muungano ni bilioni 360 kwa mwezi.
Kwa maana kuwa znz bila kuondoa senti tano ya mapato yake ina uwezo wa kulipa mishahara tu kwa mwezi mmoja.
Haiwezi kuendesha wizara hata moja ya muungano kwa mwaka, hata moja. JE UNAJUWA KUWA KUNA WAZNZ WANGAPI WANAOFANYA KAZI KATIKA MUUNGANO? NA HIZO 360 BL ZINARATIBIWA NA NANI?

Haikuweza kuchangia tume ya Warioba bilioni 60, account ya pamoja ni ya nini.

Subirini Tanganyika izinduke, na ninashangaa kuona August 5 wanakuja Dodoma.ITAZINDUKA LINI WAKTI KILA KUKICHA NDIO WANAZIDI KUWA MANDONDOCHA NA KUKATAA KUUNDWA KWA SERIKALI YENU YA TGK? KUMBUKA KUWA BUNGE LA KATIBA LINAKWAMA KUTOKANA NA KUKOSEKEKANA KWA 2/3 YA KURA YA MAAMUZI KUTOKA ZNZ NA SIO TGK. HATA UKAWA WOTE KUTOKA TGK WAENDELEE KUSUSIA NA WALE WA ZNZ WAKIINGIA BUNGE LITAPETA BILA SHIDA. UKAWA WANAJIGAMBA KWA NGUVU KUBWA KUTOKA ZNZ AU HUJUI HILO?

Ustawi wa znz unategemea Tanganyika ndio maana hata wewe unadai account ya pamoja na si kuvunja muungano.
Sisi hatuhitaji account ya pamoja. Ya nini ?KAMA NI KWELI KWANINI MNAKATAA KUANZISHWA KWA SERIKALI YENU YA TGK?

Account ya pamoja ni kati ya meneja wa soko la kariakoo na waziri wa fedha wa znz.

Tumewaambia njia nyeupee, nani amethubutu kujibu! Tumabie nani alitoka mjengoni, nani aliandamana! wameufyata! CHA MJINGA SIKU ZOTE HULIWA NA MJANJA. WAACHE ZNZ WAJINAFASI KWA FEDHWA ZA WAJINGA

Nguruvi3,
Nime BOLD na BLUE hapo juu kufafanua masuala yako na kukujibu kila ulipotatizika. Tafadhwali pitia

Kuna utaratibu ambao ummeshamiri sana kwa upande wa Tanganyika wa kuchangia Harusi kwa njia ya kuweka vikao na kuunda kamati za ufuatiliaji na utekelezaji katika kufanikisha sherehe za harusi husika.

Katika utaratibu huo wa harusi za wa Tgk utaona Kunakuwa na mweka hazina ambaye anakusanya mchango wa kila mtu kuanzia Bwana harusi mwenyewe, wazazi , ndugu wa karibu akiwemo kaka, dada, wajomba n.k lakin pia marafiki, majirani na jamaa mbalimbali. Na kikubwa nilichotaka KUKUBAINISHIA HAPA MICHANGO YAO HUWA INAANDIKWA KATIKA TAARIFA ZA MAPATO NA kila panapokuwa na kikao basi taarifa ya makusanyo ya fedhwa inawekwa hadhwarani.

Sasa kwa sisi wachumi hicho ndio tunachouliza. Je Tanganyika anachangia wapi? na anachangia kiasi gani? na nani anayesimamia nidhamu ya matumizi ya hicho anachochangia? Lakin kubwa hapa ni kujua Znz anatakiwa kuchangia kiasi gani? aweke pesa zake katika account gani ya huo Muungano? NA nani anayeratibu account hiyo?

 
Shukran, nitakujibu Pc yangu ikifanya kazi iliingiliwa wakati naandika ikazima ghafla,nikasafisha imerudia tena safari hii screen haioneshi ni kiza kitupu japo iko on!
 
Nne, Kama unakubali kuwa znz inatakiwa iwe na mamlaka kamili, basi lazima Tanganyika izinduke. Huwezi kuwa na Zanzibar na JMT. Nitakuwekea video inayoonyesha wznz wanavyopigania jina la NIA.
Hivyo huwezi kuwa na Zanzibar halafu ukasema eti ichangie 10% na Tanganyika isiyokuwepo 10%

Kibaya zaidi unataka 90% ya Tanganyika uifanye 100% ya Tanzania. Tunajua kuwa 10% ya mapato ya znz ni bilioni 40.
10% ya mapato ya Tanganyika ni 1.2 Trilioni. Ukisema Znz ichangie 10 ya pato lake una maana bilioni 40 na Tanganyika Trilioni 1.5. Halafu unachukua 90% ya Tanganyika unaifanya Tanzania ili kugawana na znz isiyo na lolote katika 90%.
Kwanza nakuomba unisome vizuri na kunielewa katika hili, mfano huo hapo juu wa serikali ya visiwani na bara kuchukua moja kwa moja mchango wa asilimia 10 haina maana kuna asilimia 90 inayokwenda serikali kuu - HAPANA. Malipo ya kodi yanakuwa kama ifuatavyo:- Wananchi watalipishwa kodi ya tuseme asilimia 19. Asilimia 10 ni ya nchi na asilimia 9 ni ya Taifa hivyo mwenye kuchukua asilimia 81 ni raia mwananchi alouza mali. Hivyo kinachokwenda ktk serikali kuu ni asilimia 9 tu na sio 90 ambayo unaifanya tena 100 ili wagawane!

Pili,
Fedha yoyote inayoingia mfuko wa serikali iwe ya nchi ama ya Taifa haigawanywi bali hupangiwa matumizi yake ktk ujenzi wa nchi ama taifa hilo, na sidhani pale bungeni hutokea mgawanyo wa fedha za matumizi ya serikali kwa nchi ama wizara bali hupangwa mkakati ya kukidhi mahitaji ya wananchi na gharama zake. Fedha nyingi inaweza kuwekeshwa Mtwara kwenye gas kwa mategemeo kwamba gas hiyo itatumika taifa zima na hata ikiuzwa, taifa zima litafaidika na Gas hiyo. Hivyo uwekezaji sio kugawana hata kama inawekezwa Visiwani ijulikane ni kwa faida ya taifa maana bado bara itafaidika na ile asilimia 9 ya makusanyo ya mauzo japo Zanzibar watachukua asilimia 10. Huu ni mfano tu maana najua kodi zetu zipo zaidi ya asilimia 20 leo hii.

Tatu,
Bado unatumia mifano ya wateja kuonyesha Utajiri ama mafanikio ya kiuchumi kutokana na mfumo mbovu tulokuwa nao, ilihali mimi nachokielewa ni kwamba. Kule mali inakozalishwa ndio kwenye Utajiri. Hivyo kodi inayokusanywa bara kwa mauzo makubwa haina maana sisi tuna maendeleo zaidi, hapana sisi ni Mateja kama tunavyonunua mali za China na kuwa soko lao wakati wenye kutajirika ni serikali ya China kutokana na wao kuuza kwetu. kama soko la mali za China litakufa basi wanaoathirika kiuchumi ni China sio Tanzania. Maskini wa watu Mtwara ndio wazalishaji wa gas na hawafaidiki kabisa na gas hiyo kutokana na mfumo mbovu tulokuwa nao nchi za kiafrika kama tunavyoyaona huko Nigeria, Ivory Coast na Sudan.

Mfano mwingine, Norway ina watu kama millioni 5 tu lakini wao ni matajiri kutokana na kuuza mafuta yao nje na sii kwa kununua, sijui population ama ukusanyaji wa kodi za ndani haihusu. Na hata hapa Canada, nchi ya Alberta leo ndio matajiri kuliko nchi zote za Jumuiya ya Canada, wamefaidika zaidi kutokana na kodi za uuzaji mafuta hayo na sio ununua na ukusanyaji wa kodi za ndani kwani Marekani wenye population kubwa ndio wateja wao wakubwa. Kwa hiyo Marekani hawezi kusema kutokana na Population yake kubwa wao ndio matajiri wenye kuibeba Canada au Alberta. Hutajiriki kwa kuwa teja hata siku moja bali unakidhi mahitaji yako na hivyo kodi unazokusanya ni kulipia deni la ununuzi wa mali.

Hivyo basi, napozungumzia mambo yote yawe ya Muungano ina maana kwamba ktk kila kodi inayotozwa nchini iwe asilimia 20 au 40 kuwe na mfumo bora wa ukusanyaji kodi ili kutenganisha kodi za nchi zetu na kodi ya Taifa. Hii itaondoa dhana ya kwamba kodi zao zote zinakwenda bara na wao kurudishiwa 4.5% ya 100%. Halafu pato la taifa sii la kugawanywa bali hutumika kuendesha miradi ya maendeleo ya Taifa. Miradi hii ni kuiwezesha Taifa zima kuondokana na matatizo yake na kukuza uchumi wetu hivyo haijalishi mradi unawekwa wapi kila nchi itafaidika na mradi huo kwa njia moja ama nyingine. Hakuna hii hadithi ya kugawana maana kila pato la serikali mwaka huu ni mtaji wa mwaka kesho iwe ktk maliasili ama rasilimali na ndio maana tunakazania rasilimali WATU kupewa elimu na Afya kama mtaji (human capital) wa kesho. Sisi hatufikirii kuwekeza bali kila mtu anatazama kwake, kuporana na utapeli ndio asili ya mtu mweusi, tunaishi kiujanja janja.

Mwisho, swala la kina nani hawatakubali ni dhana tu kwa sababu hawajaona mfumo huu ukifanya kazi na zaidi ya hapo hawa sio wachumi maana wachumi wa Zanzibar wanacholilia na kusema Tanganyika imevaa koti la muungano ni kutokana na fedha za MIKOPO ama misaada ambazo serikali ya Jamhuri inakwenda kukopa nje lakini kwa miradi ambayo sii ya Muungano. Kwa hiyo mapato ya kodi za miradi hii Zanzibar wanakuwa hawana mkono ndani maana sii ya muungano! hapa ndipo tunapokwaruzana. Sasa ikiwa mambo yote ni ya Muungano, mkopo ukitolewa ktk uchumbaji wa makaa ya mawe sijui huko Iringa, Wazanzibar nao wanahusika na hivyo watatazama faida zake kama viongozi wa bara kutokana na ile asilimia inayoingia mfuko wa Taifa na Mkoa wa Iringa watautazama mradi huu kama Utajiri kwao kutokana na fungu lao (asilimia) watakalo pewa, ajira na kadhalika.

Kwa hiyo tusikatae tu kwamba hatujalivaa koti la Muungano wakati tumekwenda kuchukua misaada kujenga miradi kibao ambayo haimo ktk ushirika wetu, halafu wao wanawekwa nje tukidai mkopo tunalipa sisi ilihali mikopo hailipwi kwa Tsh bali kutoka serikali kuu (federal revenue) kupitia benki kuu ambayo ni mali ya Taifa sii ya bara. Kwa hiyo nadhani mjadala huu utakuwa na maana tu ikiwa tutajadili hoja iliyopo mezani na sio kuwasikiliza kina Ali Salahe wanasema nini. Kuna ukweli sisi kuchukua mikopo nje kwa miradi isokuwa na Muungano na kwa faida ya bara wakati wao Zanzibar hawaruhusiwi kuchukua mikopo hiyo kwa jina la Tanzania wala hawatapewa kwa sababu Zanzibar ni nchi ndani ya Taifa letu hivyo haina dhamana ya UN wala madhamini wakubwa, lakini tukiyafanya mambo yote kuwa ya Muungano Znz na bara sote tutafaidika na miradi hii na hapatakuwa na kero maana tumeweza kutatua Mapungufu ya mfumo uliopo.
 
Mkuu nakurudisha nyuma kidogo japo umekuwa ktk mjadala mkali na barubaru naomba tu ya kwamba nikufahamishe vitu ambavyo wewe umechanganya hapa pasipo aidha kujua ama kwa makusudi umeamuwa kupotosha.

Kwanza inaonyesha wazi kuhukunielew aama huelewi mfumo wa Utawala unavyofanya kazi kama huyo Ali salehe na hivyo unapomfukuza kichaa kama yule ukiwa uchi basi nawe waonekana kichaa vile vile. Hivyo jaribu kujirudi kwanza fanya aibu jifunike hata kwa viganja vya mikono.

1.Kwanza nakuomba unisome vizuri na kunielewa katika hili, mfabo huo hapo juu wa serikali ya visiwani na bara kuchukua moja kwa moja mchango wa asilimia 10 haina maana kuna asilimia 90 inayokwenda serikali kuu - HAPANA. Malipo ya kodi yanakuwa kama ifuatavyo, wananchi wanalipishwa kodi ya tuseme asilimia 19. Asilimia 10 ni ya nchi na asilimia 9 ni ya Taifa hivyo mwenye kuchukua asilimia 81 ni raia mwananchi alouza ama kununua mali. Hivyo kinachokwenda ktk serikali kuu ni asilimia 9 tu na sio 90 ambayo unaifanya tena 100 ili wagawane!

Pili,
Fedha yoyote inayoingia mfuko wa serikali iwe ya nchi ama ya Taifa haigawanywi bali hupoangiwa matumizi yake ktk ujenzi wa nchi amataifa hilo. na sidhani pale bungeni hutokea mgawanyo wa frsha za matumizi ya serikali bali hupangwa miakakati ya kukidhi mahitaji ya wananchi. Fedha nyingi inaweza kuwekeshwa Mtwara kwenye gas kwa mategemeo kwamba gas hiyo itatumika taifa zima na hata ikiuzwa taifa zima litafaidika na Gas hiyo. Hivyo uwekezaji sio kugawana hata kama inawekezwa Visiwani ijulikane ni nkwa faida ya taifa maana bado bara itafaidika na ile asilimia 9 na makusanyo ya mauzo japo Zanzibar watachukua asilimia 10. Huu ni mfano tu maaa najua kodi zetu zipo zaidi ya asilimia 20 leo hii.

Tatu,
Bado unatumia mifano ya wateja kuonyesha Utajiri ama mafanikio ya kiuchumi kutokana na mfumo mbovu tulokuwa nao, ilihali mimi nachokielewa ni kule mali inakozalishwa ndio wenye Utajiri. Hivyo kido inayokusanywa bara kwa mauzo makubwa haina maana sisi tuna maendeleo zaidi, hapana sisi ni Mateja kama tunavyonunua mali za China na kuwa soko lao wakati wenye kutajirika ni serikali ya China kutokana na wao kuuza kwetu. kama soko la mali za China litakufa basi wanaoathirika kiuchumi ni China sio Tanzania. Maskini wa watu Mtwara ndio wazalishaji wa gas na hawafaidiki kabisa na gas hiyo kutokana na mfumo mbovu tulokuwa nao nchi za kiafrika kama tunavyoyaona huko Nigeria. Ivory Coast na Sudan.

Mfano mwingine, Norway ina watu kama millioni 5 tu lakini wao ni matajiri kutokana na kuuza mafuta yao nje na sii kwa kununua, sijui population ama ukusanyaji wa kodi za ndani. Na hata hapa Canada, nchi ya Alberta leo ndio matajiri ktk nchi zote za Jumuiya ya Canada, wamefaidika zaidi kutokana na kodi za uuzaji mafuta hayo na sio ununua na ukusanyaji wa kodi ndani kwani Marekani kwenye populationa kubwa ndio wateja wakubwa. Kwa hiyo Marekani hawezi kusema kutokana na Population yake kubwa wao ndio matajiri wenye kuibeba Canada au Alberta. Hutajiriki kwa kuwa teja hata siku moja bali unakidhi mahitaji yako na hivyo kodi unazokusanya ni kulipia deni la ununuzi wa mali.

Hivyo basi, napozungumzia mambo yote yawe ya Muungano ina maana kwamba ktk kila kodi inayotozwa nchini iwe asilimia 20 au 40 kuwe na mfumo bota wa ukusanyaji kodi hivyo kwa kutenganisha kodi za nchi zetu na kodi ya Taifa. Hii itaondoa dhana ya kwamba kodi zao zote zinakwenda bara na wao kurudishiwa 4.5% ya 100%. Halafu pato la taifa sii la kugawanywa bali hutumika kuendesha miradi ya maendeleo ya Taifa. Miradi hii ni kuiwezesha Taifa zima kuondokana na matatizo yake na kukuza uchumi wetu hivyo haijalishi mradi unawekwa wapi kila nchi itafaidika na mdari huo kwa njia moja ama nyingine. Hakuna hii hadithi ya kugawana maana kila pato la serikali mwaka huu ni mtaji wa mwaka kesho iwe ktk maliasili ama rasilimali na ndio maana tunakazania rasilimali WATU kupewa elimu na Afya kama mtaji (human capital) wa kesho. Sisi hatufikirii kuwekeza bali kila mtu anatazama kwake, kuporana na utapeli ndio asili ya mtu mweusi, tunaishi kiujanja janja.

Mwisho, swala la kina nani hawatakubali ni dhana tu kwa sababu hawajaona mfumo huu ukifanya kazi na zaidi ya hapo hawa sio wachumi maana wachumi wa Zanzibar wanacholilia na kusema Tanganyika imevaa koti la muungano ni kutokana na fedha za MIKOPO ama misaada ambazo serikali ya jamhuri inakwenda kukopa nje lakini kwa miradi ambayo sii ya Muungano. Kwa hiyo mapato ya kodi za miradi hii Zanzibar wanakuwa hawana mkono ndani maana sii ya muungano! hapa ndipo tunapokwaruzana. Sasa ikiwa mambo yote ni ya Muungano, mkopo ukitolewa ktk uchumbaji wa makaa ya mawe sijui huko Iringa, Wazanzibar nao wanahusika na hivyo watatazama faida zake kama viongozi wa bara kutokana na ile asilimia inayoingia mfuko wa Taifa na Mkoa wa Iringa watautazanma mradi huu kama Utajiri kwao kutokana na fungu lao (asilimia) watakalo pewa, ajira na kadhalika.

Kwa hiyo tusikatae tu kwmaba hatujalivaa kodi la Muungano wakati tumekwenda kuchukua msaada kujenga miradi kibao ambayo haimo ktk ushirika wetu halafu wao wanawekwa nje, tukidai mkopo tunalipa sisi ilihali mikopo hailipwi kwa Tsh bali kutoka serikali kuu (federal revenue) kupitia benki kuu ambayo ni mali ya Taifa sii ya bara. Kwa hiyo nadhani mjadala huu utakuwa na maana tu ikiwa tutajadili hoja iliyopo mezani a sio kuwasikiliza kina Ali salahe wanasema nini. Kuna ukweli sisi kuchukua mikopo nje kwa miraid isokuwa na Muungano na kwa faida ya bara wakati wao zanzibar hawaruhusiwi kuchukua mikopo hiyo kwa jina la Tanzania wala hawatapewa kwa sababu Zanzibar ni nchi ndani ya Taifa letu hivyo haina dhamana ya UN wala madhamini wakubwa, lakini tukiyafanya mambo yote kuwa ya Muungano Znz na bara sote tutafaidika na miradi hii na hapatakuwa na kero maana tumeweza kutatua Mapungufu ya mfumo uliopo.

Nilipo Bold,
Hakika nimependa sana hitimisho lako kwani ndio chanzo cha mgongano wooote baina ya Tgk na Znz, kwani bottom line la jambo lolote lile ni ustawi wa uchumi na sio Siasa.

Sasa ahali yetu nguruvi3 anapenda sana kujadili mambo haya kisiasa tu na kujenga hoja zake kwa KUNUNG'UNIKA bila kuwa na mantiki.

Unajua kama umepembua kiuhalisia kabisa DENI LA TANZANIA ambalo kufikia 30th April 2014 lilikuwa zaidi ya 38 Trillion utagundua katika deni hilo mambo ya muungano hayazidi 26.43% lakin lingine loooote limekopwa kwa mambo yasiyo ya muungano.

Kiuhalisia deni hilo ni deni la nchi zote washirika japo znz katika huo mkopo wamenufaika kidogo sana.

Nafikiri nitarudi baadayn kidogo kukupa data kamili kuhusu hili ili uone picha halisi baada ya kugundua chanzo. kwani ukigundua chanzo basi kupata suluhu au tiba ni rahisi sana

Nikutakie kila lenye kheir

 
Nilipo Bold,
Hakika nimependa sana hitimisho lako kwani ndio chanzo cha mgongano wooote baina ya Tgk na Znz, kwani bottom line la jambo lolote lile ni ustawi wa uchumi na sio Siasa.

Sasa ahali yetu nguruvi3 anapenda sana kujadili mambo haya kisiasa tu na kujenga hoja zake kwa KUNUNG'UNIKA bila kuwa na mantiki.

Unajua kama umepembua kiuhalisia kabisa DENI LA TANZANIA ambalo kufikia 30th April 2014 lilikuwa zaidi ya 38 Trillion utagundua katika deni hilo mambo ya muungano hayazidi 26.43% lakin lingine loooote limekopwa kwa mambo yasiyo ya muungano.

Kiuhalisia deni hilo ni deni la nchi zote washirika japo znz katika huo mkopo wamenufaika kidogo sana.

Nafikiri nitarudi baadayn kidogo kukupa data kamili kuhusu hili ili uone picha halisi baada ya kugundua chanzo. kwani ukigundua chanzo basi kupata suluhu au tiba ni rahisi sana

Nikutakie kila lenye kheir

Mkuu wangu tatizo letu sisi ni kutokubali makosa yetu haswa pale mtu anapofaidika na fedha za haramu. Toka mwanzo inajulikana wazi hoja kubwa ilikuwa ni fedha za mikopo na misaada kutoka nje kwa ajili ya Miradi ya Taifa ambayo tunaambiwa ni asilimia 40 ya bajeti ya Taifa. Kama zinakopeshwa kwa jina la nchi hizi mbili ambazo zina mambo mengi yasokuwa ya Muungano ndipo baadhi wakadai basi zigawanywe kati kila mtu ashughulikie mambo yake yasokuwa ya Muungano. Kwa mfano Ujarumani hutuma mabilioni kwa ajili ya maendeleo ya Elimu nchini. fedha hizo zilileta mzozo weee ikafikia wamekubaliana ktk kuweka elimu ya Juu tu kuwa mambo ya Muungano lakini bara wanadai tunawabeba Wazanzibar. Unawabeba vipi na hela za mkopo, kama sii akili mbovu.

Na ndipo miye napingana na hata nyie mnaotaka serikali 3 kwa sababu, bado serikali kuu itakuwa ndiye mdhamini wetu kwa mikopo ya nje na sisi wananchi hatuwezi kuruhusu kila nchi iwe na uhuru wa kukopesha nje, Bunge la JMT litakuwa halina nguvu ya kujadili mambo haya, hii itakuwa sii utawala bora bali vurumai la ukopaji pasipo kuwajibika. Sijaona kabisa mfumo huu mahala popote duniani na haiwezekani kabisa nchi ikope fedha halafu isiwajibike kwa sababu sio wao walokopa fedha kimaandishi bali ni serikali kuu.

Kwa hiyo kuna njia mbili tu za kuondokana na mfumo huu mbovu nazo ni aidha:-

1, Kuweka mambo yote yawe ya Muungano ili sote tufaidike na miradi hiyo na pia sote tuwajibike ktk kupanga na kuchagua uwekezaji wa fedha hizo nchini maana sote tunawajibika na sote tunategemea kufaidika na miradi hiyo. Hii ndio njia nchi zote zilizoungana kuunda Jamhuri zao Ulaya na Marekani ya kaskazini wameitumia kuondosha mapungufu ya Kiutawala na wamekuwa wamoja kwa karne.

2. Na njia ya Pili ni kuvunja Muungano ili kila nchi ipate kusimamia mambo yake, iwe na uhuru wa kukopesha baada ya kutambuliwa UN kama nchi huru yenye Utawala halali. Na kama wanavyodai wenyewe kwa uchu wao ya kwamba ni bora tuvunje Jahazi ili tugawane mbao katikati ya bahari, sijui kama hizo mbao watagawana kwa malengo ya kuokoana au wafamaji kugombania maboya ya mbao za kuelea! Hii akili ya kusema - "Kama sio vyangu basi tukose wote ni akili mbovu kabisa!" ni suicide.
Hii ndio njia ambayo nchi nyingi za maskini za Kiafrika, Asia na Ulaya ya mashariki wamefanya kugawana mbao na hadi leo wanapigania maisha yao juu ya mbao baharini maana wameisha vunja jahazi, na sii safari tena ila wanapigania Uhai wao ktk bahari chafu yenye mipapa na kadhalika (Miafrika ndivyo Tulivyo).
 
Mkandara

Kwa sehemu kubwa sana mnaunga mkono uwepo wa serikali 3. Kinachowatatiza ni kutamka Tanganyika.
Hamkubali uwepo wa Tanganyika kwa kuelewa kuwa hilo litaziba mianya na mmoja kujificha ficha katika kubeba muungano.

Nina Video ya Salimin Awad wa zanzibar katika kongamo SUZA. Salimin ni mjumbe wa BLW na mwenyekiti wa fedha wa kamati ya fedha ya BLW. Katika hoja zake, Salimin amesema wazi kuwa kwa sasa znz ikikubali S3 itapoteza.
Akaonyesha kuwa ndani ya S3 italazimika kuchangia muungano jambo ambalo yeye kama mwenyekiti na mnadhimu mkuu wa CCM ndani ya BLW ankiri hawaja changia. Akasema, hata wakiambiwa bilioni 100 watakuwa wameoteza kwasababu sasa hivi hawalipi hata senti tano achilia mbali ku-afford.

Wajumbe wengi katika kongamano hilo walisema wanataka muungano kwasababu za ulinzi. Na wamebainisha wazi gharama za ulinzi ni kubwa sana hivyo lazima 'wawe na kaka''

Hoja yangu hapa ni kuwa kusema Tanganyika imejificha ndani ya koti ni sawa, lakini znz imejificha katika mfuko wa koti .
Na pia, kama Tanganyika imejificha katika koti hakuna namna nyingine bali kuitoa, na kuitoa si kutoa zaidi bali kuifanya ionekane ikitoa na kupokea kama ambavyo znz inapokea.

Suala la misaada na mikopo naliangalia kama hoja isiyo na mantik. Ni hoja inayotumika kuwalaghai watu wasio na uwezo wa kufikiri. Huwezi kukaa chini ukifikiria misaada hata siku moja. Misaada ni ndege aliye mtini, nilidhani watu wa kiwango fulani wangeacha kuongelea hilo ili tuongelee uhalisia wa kile tulicho nacho.

Hoja hiyo inatumiwa na ili ionekane znz inaonewa zaidi na kuficha ukweli mwingine. Nimeeleza kuwa Salim Awad wa CCM na BLW na mjumbe wa kamati ya fedha ya BLW amesema znz haina mchango katika muungano. Hivi hamuoni kuwa lazima kuwe na source ya pesa za muungano ambazo basically ni Tanganyika. Iwe ni mikopo au misaada lazima tukubaliane kuwa source hiyo haipo znz ila Tanganyika. Hamuangalii mambo mengine ya ndani ambayo znz pekee isinge afford.

Well hakuna tatizo la mikopo na misaada kuonekana wazi. Njia rahisi ni kila mmoja apate nafasi ya kwenda kukopa na kuomba kama hilo ni jambo la fahari. Njia hiyo ni kutenga serikali za nchi hizi, kila mmoja njia yake.
Hilo Mknadara hukubaliani nalo kwasababu unafahamu wazi uwezo wa uchumi wa znz na matatizo yaliyopo mbelenii.
Unataka tukakope kwa jina la Tanzania, halafu unarudi kusema Tanganyika imejificha. Hatutaki kujificha, tunaitaka Tanganyika ionekane ikijitetea kwa rasilimali zake, mikopo na misaada bila kificho.

Kuhusu mambo yote kuwa ya muungano kwa kupitia kodi, Mkandara , ulichokieleza kina mantiki kwa watu wenye akili.
Kwabahati mbaya hukumbuki kuwa ni hao wazanzibar walikimbiza gesi na mafuta kutoka muungano. Wameondoa bandari na kila wanachokitaka katika spirit ya uzanzibar iliyojaa ignorance, narcissism, ego ang the likes.
Leo utatoza kodi ya taifa wapi ikiwa mafuta na gesi wanayosema wameshaondoa.

Utatoza kodi wapi ikiwa bandari na viwanja vya ndege wameshaondoa na wamekataa kurudisha. Utatoza kodi wapi ikiwa maliasili na utalii wameshakataa kuwa muungano. Utatoza kodi wapi ikiwa wznz hawataki kodi zao zivuke bara.

Salimin Awadhi kasema, kodi za TRA na ZRA zinabaki huko na mwaka 2013/14 zilikuwa bilioni 27 kwa ujumla.
Wakati huo huo Ali Salehe anasema wanataka kodi zibaki huko kwasababu kuna Watanganyika wanaishi Zanzibar na kutumia huduma za jamii.

Wazanzibar hao hawajui kuwa kuna nusu ya taifa la znz linaishi Tanganyika. Kama hoja ni kuongeza constrains katika social service nani anayebeba mzigo mkubwa? Kwanini wao wawe na haki ya kutoza kodi kwasababu kuna Watanganyika na si vinginevyo kwa upande wetu.

Ukiangalia yote hayo utabaini kuwa katiba ya sasa inawalinda na kuwaficha wzn katika gharama. Na ili kupeuka Tanganyika kuvaa koti la muungano na lawama tunahitaji iwepo na ifanye kazi yenyewe.

Tena Mkandara unaunga mkono unaposema 'mambo yasiyo ya muungano'' . Ili tuweze kuwa na mambo yasiyo ya muungano lazima tuwe na chombo cha kuayasimamia ambacho ni Tanganyika na znz. Yale ya muungano yatasimamiwa na Muungano. Sasa sikuelewi unapotaka tuwe na mambo yasiyo ya muungano bila kuyaweka bayana na nani anashughulikia.

Nisichokuelewa Mkandara ni kwanini unaogopa kuwa na koti la muungano, halafu tukaweka shati la Tanganyika pembeni na tai ya znz pembeni? Kwanini unataka kuwe na Tanganyika isyoonekana na unataka znz inayoonekana.
Hebu tueleze wana jamvi hofu yako kubwa kwa S3 ni nini hasa. Nina uhakika una hoja, funguka mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,
Mkuu wangu bado unatumia majina ya watu wasiofahamu tunazungumzia nini hapa. na kila wakati unarudia swala la serikali 3 ambalo halihusiani kabisa na Hoja ya - Tanganyika kuvaa koti la Muungano. Tumekueleza maana ya madai haya lakini wewe unachotaka ni kuunda serikali 3 zenye mambo 7 tu ya muungano ili iweje hutoi jibu. Sikuelewi kabisa unachokazania hapa kwani serikali kuu itaweza vipi kudhamini Mambo yasokuwa ya muungano ikiwa haina mamlaka nayo? I mean, kweli wewe unaweza kuniwekea dhamana mimi ktk swala lolote ambalo wewe hutakuwa na sauti nalo? Nikope miye udaiwe wewe wakati wewe mwenyewe huna vyanzo tosha vya kuendesha maisha yako mwenyewe!. Hii kweli akili? yaani kila siku tunarudi kubishana haya haya nenda rudi... Usichoelewa kipi haswa!

Mimi niko very clear ya kwamba sikubaliani na serikali 3 kutokana na sababu kama nne nilisha kupa zote na mojawapo ni hii ya Mambo yote kutokuwa ya Muungano hai solve matatizo yetu, na wala huo Muungano wa Mkataba kuunda Jumuiya kama ya EAC sio solution ni kuuvunja Muungano uliopo. Hatuwezi kuuvunja muungano huu kwa sababu ya madai ambayo hata tukiuvunja bado Tanganyika itaendelea kuliwa fedha zake na watawala wale wale. Tanganyika kujificha haina mantiki kwani viongozi wenyewe wamejificha nyuma ya mikataba ya siri kutokana na mambo yasokuwa ya Muungano. Mbona mimi naitwa Mkandara jina la Ubin na sijapoteza utu wangu sikujificha au kufichwa na mtu! I am who am kwa jina lolote lile maisha yangu yanaendelea.

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba Indirectly, Zanzibar inatushtua kwamba tunaibiwa fedha za kigeni, wao wanajieleza kwa ushahidi wao wanataka kujikata na utawala dhalimu na sisi tutazame ushahidi wetu badala ya kuwa mashahidi wa serikali inayotuibia sote. Hivyo kuwajengea kivuli na hema Utawala huu kwa kutaka serikali 3 tunabishana weee katiba isipatikane na ndivyo wanavyotaka iwe ni kutoelewa kwamba CCM walipanga kupingana nanyi ili mfumo uliopo uendelee kuwepo na 2015 katiba mpya haitapatikana na wao wataendelea Kutumaliza. Ubishi uwe 2+2 equals 4 au 22 haisaidii kitu kama umeshaibiwa kwa usiri huo. Hivyo mambo yote yataendelea kuwa sii ya Muungano na humo ndimo wanamo tumaliza kwa sababu mikataba yake ni siri ya Serikali.
 
Mkuu wangu tatizo letu sisi ni kutokubali makosa yetu haswa pale mtu anapofaidika na fedha za haramu. Toka mwanzo inajulikana wazi hoja kubwa ilikuwa ni fedha za mikopo na misaada kutoka nje kwa ajili ya Miradi ya Taifa ambayo tunaambiwa ni asilimia 40 ya bajeti ya Taifa. Kama zinakopeshwa kwa jina la nchi hizi mbili ambazo zina mambo mengi yasokuwa ya Muungano ndipo baadhi wakadai basi zigawanywe kati kila mtu ashughulikie mambo yake yasokuwa ya Muungano. Kwa mfano Ujarumani hutuma mabilioni kwa ajili ya maendeleo ya Elimu nchini. fedha hizo zilileta mzozo weee ikafikia wamekubaliana ktk kuweka elimu ya Juu tu kuwa mambo ya Muungano lakini bara wanadai tunawabeba Wazanzibar. Unawabeba vipi na hela za mkopo, kama sii akili mbovu.

Na ndipo miye napingana na hata nyie mnaotaka serikali 3 kwa sababu, bado serikali kuu itakuwa ndiye mdhamini wetu kwa mikopo ya nje na sisi wananchi hatuwezi kuruhusu kila nchi iwe na uhuru wa kukopesha nje, Bunge la JMT litakuwa halina nguvu ya kujadili mambo haya, hii itakuwa sii utawala bora bali vurumai la ukopaji pasipo kuwajibika. Sijaona kabisa mfumo huu mahala popote duniani na haiwezekani kabisa nchi ikope fedha halafu isiwajibike kwa sababu sio wao walokopa fedha kimaandishi bali ni serikali kuu.

Kwa hiyo kuna njia mbili tu za kuondokana na mfumo huu mbovu nazo ni aidha:-

1, Kuweka mambo yote yawe ya Muungano ili sote tufaidike na miradi hiyo na pia sote tuwajibike ktk kupanga na kuchagua uwekezaji wa fedha hizo nchini maana sote tunawajibika na sote tunategemea kufaidika na miradi hiyo. Hii ndio njia nchi zote zilizoungana kuunda Jamhuri zao Ulaya na Marekani ya kaskazini wameitumia kuondosha mapungufu ya Kiutawala na wamekuwa wamoja kwa karne.

2. Na njia ya Pili ni kuvunja Muungano ili kila nchi ipate kusimamia mambo yake, iwe na uhuru wa kukopesha baada ya kutambuliwa UN kama nchi huru yenye Utawala halali. Na kama wanavyodai wenyewe kwa uchu wao ya kwamba ni bora tuvunje Jahazi ili tugawane mbao katikati ya bahari, sijui kama hizo mbao watagawana kwa malengo ya kuokoana au wafamaji kugombania maboya ya mbao za kuelea! Hii akili ya kusema - "Kama sio vyangu basi tukose wote ni akili mbovu kabisa!" ni suicide.
Hii ndio njia ambayo nchi nyingi za maskini za Kiafrika, Asia na Ulaya ya mashariki wamefanya kugawana mbao na hadi leo wanapigania maisha yao juu ya mbao baharini maana wameisha vunja jahazi, na sii safari tena ila wanapigania Uhai wao ktk bahari chafu yenye mipapa na kadhalika (Miafrika ndivyo Tulivyo).

Mkandara,

Mimi naona kuna mjadala mpana sana kuhusu hiyo mifumo unayojadili au kupendekeza hapa. Kwani unaposema kuwa kila jambo liwe la muungano kuna mengi sana ya kujadili katika kuchambua faida zake na khasara zake kwa nchi hizo mbili huru zilizoamua kuungana.

Mjadala huo utajikita zaidi katika nyanja hizi:
1. Kiuchumi
2. Kijamii
3. Kisiasa
4. Kiutawala

Sasa mimi ushauri wangu kwako NI KUWA TUWEKE UZI MAALUM WA KUJADILI HOJA YAKO YA KILA KITU KIWE MAMBO YA MUUNGANO ili tupate muda na nafasi pana katika kujadili katika mada husika kuliko hapa katika uzi huu.
Kwani kwa kufanya hivyo nafikiri wengi sana watanufaika na kufaidia na mada hiyo. Na nataraji itakuwa ni moja ya mada bora sana katika barza hii kuhusu muungano kama watu wote watakaochangia watapunguza jazba, chuki na kuweka kando ushabiki na kujikita katika kutengeneza FACTS na hoja zenye mashiko
.

Upande wangu insh'Allah japo nipo Ziara ya ibada hapa Madinat munawar lakin nitatafuta muda kuweka uzoefu na maoni yangu kuhusu utaratibu huo insh'Allah.

hayo ni maoni na ushauri wangu kuhusu hilo kwa nia ile ile ya kuilimishana na kuhabarishana ikiwemo kupeana mawazo na uzoefu mbalimbali kwa faida yetu sote.

Nikutakia siku njema.

 
Mkandara

Kwa sehemu kubwa sana mnaunga mkono uwepo wa serikali 3. Kinachowatatiza ni kutamka Tanganyika.
Hamkubali uwepo wa Tanganyika kwa kuelewa kuwa hilo litaziba mianya na mmoja kujificha ficha katika kubeba muungano.

Nina Video ya Salimin Awad wa zanzibar katika kongamo SUZA. Salimin ni mjumbe wa BLW na mwenyekiti wa fedha wa kamati ya fedha ya BLW. Katika hoja zake, Salimin amesema wazi kuwa kwa sasa znz ikikubali S3 itapoteza.
Akaonyesha kuwa ndani ya S3 italazimika kuchangia muungano jambo ambalo yeye kama mwenyekiti na mnadhimu mkuu wa CCM ndani ya BLW ankiri hawaja changia. Akasema, hata wakiambiwa bilioni 100 watakuwa wameoteza kwasababu sasa hivi hawalipi hata senti tano achilia mbali ku-afford.

Wajumbe wengi katika kongamano hilo walisema wanataka muungano kwasababu za ulinzi. Na wamebainisha wazi gharama za ulinzi ni kubwa sana hivyo lazima 'wawe na kaka''

Hoja yangu hapa ni kuwa kusema Tanganyika imejificha ndani ya koti ni sawa, lakini znz imejificha katika mfuko wa koti .
Na pia, kama Tanganyika imejificha katika koti hakuna namna nyingine bali kuitoa, na kuitoa si kutoa zaidi bali kuifanya ionekane ikitoa na kupokea kama ambavyo znz inapokea.

Suala la misaada na mikopo naliangalia kama hoja isiyo na mantik. Ni hoja inayotumika kuwalaghai watu wasio na uwezo wa kufikiri. Huwezi kukaa chini ukifikiria misaada hata siku moja. Misaada ni ndege aliye mtini, nilidhani watu wa kiwango fulani wangeacha kuongelea hilo ili tuongelee uhalisia wa kile tulicho nacho.

Hoja hiyo inatumiwa na ili ionekane znz inaonewa zaidi na kuficha ukweli mwingine. Nimeeleza kuwa Salim Awad wa CCM na BLW na mjumbe wa kamati ya fedha ya BLW amesema znz haina mchango katika muungano. Hivi hamuoni kuwa lazima kuwe na source ya pesa za muungano ambazo basically ni Tanganyika. Iwe ni mikopo au misaada lazima tukubaliane kuwa source hiyo haipo znz ila Tanganyika. Hamuangalii mambo mengine ya ndani ambayo znz pekee isinge afford.

Well hakuna tatizo la mikopo na misaada kuonekana wazi. Njia rahisi ni kila mmoja apate nafasi ya kwenda kukopa na kuomba kama hilo ni jambo la fahari. Njia hiyo ni kutenga serikali za nchi hizi, kila mmoja njia yake.
Hilo Mknadara hukubaliani nalo kwasababu unafahamu wazi uwezo wa uchumi wa znz na matatizo yaliyopo mbelenii.
Unataka tukakope kwa jina la Tanzania, halafu unarudi kusema Tanganyika imejificha. Hatutaki kujificha, tunaitaka Tanganyika ionekane ikijitetea kwa rasilimali zake, mikopo na misaada bila kificho.

Kuhusu mambo yote kuwa ya muungano kwa kupitia kodi, Mkandara , ulichokieleza kina mantiki kwa watu wenye akili.
Kwabahati mbaya hukumbuki kuwa ni hao wazanzibar walikimbiza gesi na mafuta kutoka muungano. Wameondoa bandari na kila wanachokitaka katika spirit ya uzanzibar iliyojaa ignorance, narcissism, ego ang the likes.
Leo utatoza kodi ya taifa wapi ikiwa mafuta na gesi wanayosema wameshaondoa.

Utatoza kodi wapi ikiwa bandari na viwanja vya ndege wameshaondoa na wamekataa kurudisha. Utatoza kodi wapi ikiwa maliasili na utalii wameshakataa kuwa muungano. Utatoza kodi wapi ikiwa wznz hawataki kodi zao zivuke bara.

Salimin Awadhi kasema, kodi za TRA na ZRA zinabaki huko na mwaka 2013/14 zilikuwa bilioni 27 kwa ujumla.
Wakati huo huo Ali Salehe anasema wanataka kodi zibaki huko kwasababu kuna Watanganyika wanaishi Zanzibar na kutumia huduma za jamii.

Wazanzibar hao hawajui kuwa kuna nusu ya taifa la znz linaishi Tanganyika. Kama hoja ni kuongeza constrains katika social service nani anayebeba mzigo mkubwa? Kwanini wao wawe na haki ya kutoza kodi kwasababu kuna Watanganyika na si vinginevyo kwa upande wetu.

Ukiangalia yote hayo utabaini kuwa katiba ya sasa inawalinda na kuwaficha wzn katika gharama. Na ili kupeuka Tanganyika kuvaa koti la muungano na lawama tunahitaji iwepo na ifanye kazi yenyewe.

Tena Mkandara unaunga mkono unaposema 'mambo yasiyo ya muungano'' . Ili tuweze kuwa na mambo yasiyo ya muungano lazima tuwe na chombo cha kuayasimamia ambacho ni Tanganyika na znz. Yale ya muungano yatasimamiwa na Muungano. Sasa sikuelewi unapotaka tuwe na mambo yasiyo ya muungano bila kuyaweka bayana na nani anashughulikia.

Nisichokuelewa Mkandara ni kwanini unaogopa kuwa na koti la muungano, halafu tukaweka shati la Tanganyika pembeni na tai ya znz pembeni? Kwanini unataka kuwe na Tanganyika isyoonekana na unataka znz inayoonekana.
Hebu tueleze wana jamvi hofu yako kubwa kwa S3 ni nini hasa. Nina uhakika una hoja, funguka mkuu.

Nguruvi3,

Umeandika mengi sana hapa lakin mimi ningependa nikusaidie katika mambo mawili tu.

Mosi, siku zote jitahidi na jitahidi sana katika kusoma mambo kutoka katika source sahihi (especially kama unataka kujua mas'ala ya uchumi pitia ripoti mbalimbali za uchambuzi za kiuchumi lakin kusoma na kuzielewa bajeti zitakusaidia sana. KUTUMIA MAJINA AU UCHAMBUZI WA WATU HUSUSAN UNAOJENGWA KISIASA UTAKUPOTEZEA SANA MUDA NA KUJIONYESHA MBUMBUMBU NA MVIVU WA KUTAFUTA UKWELI. Kwani wanasiasa siku zote wanachukua baadhwi ya mambo katika uchumi na kuyajengea hoja ili kuhalalisha matakwa yao wakti kama ukisoma mwenyewe utajua mengi sana.

Llakin la Pili ni kukurudisha katika DATA halisi. Ukirejea kitabu cha cha utekelezaji wa Bajeti kuu ya JMTz ya mwaka 2013/2014 utaona HAKUNA HATA WIZARA MOJA ILIYOPATA ZAIDI YA 37% YA PESA WALIZOTENGEWA NA KUIDHINISHIWA NA BUNGE KATIKA BAJETI ZAO.

Sasa kwa utaratibu huo utaona HAKUNA HATA WIZARA MOJA ILIYOTUMIA ZAIDI YA 3% YA PESA WALIZOPEWA NA HAZINA KWA 2013/14 KWA SHUGHULI ZA MAENDELEO bali alost zote ya pesa walizopewa walizitumia kwa matumizi ya kawaida kama mishahara, semina, warsha, chai, kununua vifaa mbalimbali vya uendeshaji afisi ikiwemo magari, samani na mengineyo ikiwemo fuel nk.

Sasa nilichotaka kukujuza hapa ni kuwa BAJETI ya Tz kijumla inategemea wahisani na mikopo kwa fedhwa za Maendeleo kwa 86%. Lakin vile vile kama umepitia Bajeti kuu ya JMTz ipo wazi kabisa kuwa makadirio yake ni 19.2 Trl, lakin makusanyo yote ikiwemo pamoja na maduhuri yanakadiriwa kufikia 12 Trl, lakin matumizi ya kawaida yanakadiriwa kufikia 13.6 Trl. Sasa hapo hizo 1.6 Trl za matumizi ya kawaida zinategemewa kupatikana kwa njia ya kutembeza bakuli na mikopo.

sasa suala la mikopo na misaada ni suala la muhimu sana katika ustawi wa Tz kwa sababu hizo nilizo bainisha na kuzitoa katika bajeti zenu

Nilitaka nikupe mwanga mpana sana wa uhalisia wa bajeti yenu ili ikuongoze unapojadili mambo ya kiuchumi.

Nilichokupa hakuna uchawi wala ustaa bali nimepitia katika vitabu vya bajeti. sasa na wewe jikite katika kusoma na kisha jenga hoja huku ukiweka Ref kuliko kubaki KUNUNG'UNIKA bila data na kutumia watu kama REF badala ya Bejeti na ripoti za uchumi za kitaaluma kutoka Serikalini au taasisi mbalimbali za uchumi na mashirika mbalimbali..

Pole sana
 
Barubaru, jaribu kubaki katika content and context za mjadala.
Mara nyingi unaingizia mambo very irrelevant kwa hoja unayoweza kuieleza kwa mstari mmoja.

Hukuwa na sababu za kueleza mambo yote, hoja yako ni kuwa mikopo na misaada ina maana katika muungano. Concise and pricise,itatufanya tuvutike kujibu hoja zako badala ya ku-ignore.

Ni hivi, muungano haukuundwa katika misingi ya misaada na mikopo. Ni akili finyu watu wanapozungumzia misaada na mikopo badala ya kufikiri namna ya kutumia rasilimali zao kujikwamu.

Popote pale sisi wengine tunajisikia aibu sana kutamka misaada na mikopo, tunaona dhalili. Kama kuna mtu amekaa darsani bado anadhani mikopo na misaada ndio msingi wa muungano, inasikitisha.

Mikopo na misaada si mali yako, ni ndege kumi mtini.
Huko nyuma tumenyimwa, na mwaka jana imeonekana hivyo.

Taasisi kama mambo ya ndani, jeshi, wizara ya mambo ya nje, elimu ya juu n.k. zimeendelea kutoa huduma kwa mchango wa mapato ya Tanganyika.

Nimenukuu Salim Awad kama chanzo cha uhakika kwasababu alitoa data, hakuna aliyesimama kukanusha.
Tumefuatilia na kuona alichosema ni kweli.

Mwaka 2013/14 mapato ya znz yalikuwa ni bilioni 400. Bajeti ya znz ni bilioni 710.
Hakuna mahali katika bajeti imeonyehswa pengo la bilioni 320 linazibwa na nini. Hakuna mahali katika bajeti ya znz inaonyeshwa gharama za wizara kama ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, zinahudumiwa vipi, zinachangiwa vipi au zinapata misaada ipi.

Makusanyo ya znz kwa mwaka 2013/14 ni bilioni 12 TRA na bilioni 15 ZRA ambazo zote ni bilioni 27 zilizobaki znz.
Hakuna mahali imeonyeshwa kuwa kodi hizo zimeingia katika muungano.

Hoja ya msingi hapa ni kuwa, kama znz haipati mikopo na misaada moja kwa moja kutoka Washington,misaada ya ndani inazidi kiasi mapato ya znz. Mfano, 4.5% wanayopata ni ya pato la taifa.
Pato hilo si la znz ni la Tanganyika. Ni bora kwa kugawana mtaji wa BoT kwasababu Tanganyika inalipa zaidi kwa sasa.

Leo ZNZ ingekuwa na benki kuu yake, haiwezi, narudia haiwezi kutengeneza 4.5% ya Trilion 12.
In other words, anayeumia hapa ni Mtanganyika.

Watu wanapoacha kuongelea deni la ndani ambalo ni kubwa zaidi ya mapato ya znz,,inashangaza.

Miezi sita iliyopita, znz imetekeleza bajeti yake kwa 46% na katika kiasi hicho ipo 4% ya wahisani.
Kati ya hizo, 80% ni mishahara ya wafanyakazi wa SMZ.

Kwa kuangalia pesa na utakelezaji na matumizi, lazima mtu ajiulize,hizo za maendeleo zimetoka wapi.

Mwaka huu January znz imepata 10 bilioni kutoka JMT. Nani anasema kuhusu hilo?
10 bilioni ni 1 y a 40 ya mapato ya znz.Kuna 15 bilioni kwa PAYE. Kwamba tunapunguza unemployment na kuadhaibiwa na znz.
Je wale wznz 500,000 wanoishi Tanganyika wanalipiwa na nani huduma za hospitali na shule.

Kwa mtu mwenye akili atatambua mlipa kodi anapaswa kupata huduma pale anapolipa kodi.
Watanganyika waliopo znz wanafanya manunuzi, wanalipia huduma n.k. kama wznz walioko bara.

Hakuna sababu za kusema PAYE ya wazanzibar ni muhimu kuliko ya Watanganyika.
Kwa vile wznz ni watu wa kutaka wamejenga hoja hovyo na ya kipuuzi ili kupata PAYE, wamepewa

SMZ imekopa mishahara bila kurudisha mara zaidi ya 8 kutoka hazina Dar es Salaam.
Wananjua wakina Seif na Vuai.Hiyo si misaada ni pesa za bure maana hazina riba.

Unaweza kuona haraka haraka huduma wanazopata ni zaidi ya misaada.

Ali Swalehe Alberto kasema WATANGANYIKA NI WAPUMBAVU hawajui muungano.

Tunasema hatuhitaji kuwa na muungano unaotegemea misaada na mikopo.

Tunataka Tanganyika ili tukakkope na kuhemea misaada.
Zaznibar nao wapewe fursa ya kwenda IMF,WB na kwngine kupata pesa za mikopo, waende Oman kupata kupata misaada.

Hatuhitaji kuinyonya znz kwa jambo lolote na wala hakuna sababu za kuwa na muungano unaosubiri kipato cha Washington kama wasomi uchwara wanavyoamini. Tunaweza kuvunja jahazi na kugawana mbao.

Nawe pia baada ya kukupa data, nakuuliza swali ninalomuuliza mkandara
1. Tanganyika inapoteza nini muungano ukivunjika
2. Tanganyika inaiba nini znz kwa kuzingatia takwimu za uchumi
3. Kuna tatizo gani wewe na wznz mkazanie muungano unaowanyonya.

Na mwisho,narudia tena jenga hoja za maana na zenye mantiki.
Hatupend kukupuuza lakini ikibidi tutafanya hivyo.
Lau kuna ugumu, basi tunakuomba usome au suisome uendelee na shughuli zako.
 
ALI SWALEHE APINGANA NA WENZAKE KIMANTIKI

Katika mjadala uliofanyika SUZA, yule mzanzibar kindaki ndaki Ali Swalehe amerudia si mara moja kuhusu zanzibar kugawana sawa na Tanganyika. Ametolea mfano wa mashirika ya umma na kusema mapato yake yanapaswa kugawanywa kwa 50-50 au 50%.

Katika mjadala huo huo, linakuja suala la gharama. Mwanasheria mashuhuri bwana Awad Said amaye ni mjumbe wa tume ya Warioba amesema kuwa gharama za muungano zinapaswa kugawanwa kwa kuangalia ukubwa na population.

Mjadala huo pia ulichangiwa na bwana Salimin A ambaye ni mnadhimu wa CCM ndani ya baraza la wawakilishi.
Yeye alisema, znz kutaka kuchangia ni kupoteza. Hata katika mfumo wa shirikisho, znz ikiambiwa kuchangia bilioni 100 tu katika trilioni 1.2 itakuwa na hasara kwa kuzingatia kuwa sasa hivi haichangii kitu.

Mjumbe wa tume ya Warioba bwana Humphrey pole polenaye alitoa mchango na ufafanuzi kuwa gharama zitaangalia eneo na watu.

Kwanza tuseme kuwa gharama za muungano haziwezi kuwekwa katika thamani ya pesa tu. Kuna mambo kama huduma za jamii. Kwasasa znz inalalamika kuwa Watanganyika walioko kule wanaongeza gharama za afya na shule
Hakuna mznz anayesema Tanganyika inapata wakati gani kuhudumia nusu ya wznz walioko Tanganyika.

Bwana Saidi A alisema kwa viwango vya kimataifa znz inahitaji askari 2500 wakati Tanganyika inahitaji 130,000.
Humphrey akasema znz ina vituo 4 vya uhamiaji wakati Tanganyika ni zaidi ya 10.

Hoja inayojitokeza hapa ni kuwa endapo znz wanatambua kuwa udogo na uchache wao wanapaswa kuchangia kidogo, je ile formula ya ajira asilimia 21 wanaipata kutoka wapi.

Pili, hili ni jambo zuri la kuwazindua Watanganyika kuwa gharama za muungano lazima zichangiwe na sehemu husika.
Hao Polisi 2500 anaosema bwana Said wanalipiwa na JMT. Hao askari wanalipwa na JMT. Kwa mujibu wa mwakilishi wa BLW znz haichangii chochote kwa sasa na ushahidi kuwa Tanganyika ndio imebeba mzigo huo.

Wapo watakaokimbilia katika misaada na mikopo. Well, jibu rahisi ni kuwa katika muundo wa shirikisho mambo hayo yameshatengwa. Zanzibar itakuwa na nafasi za kukopa na misaada na kisha kuchangia katika JMT.
Kwa mfano, SMZ iwajibike kulipia wabunge wake wa muungano, sehemu ya gharama za askari wake n.k. hata kama ni mtu mmoja au wawili katika serikali ya muungano.

Pengine kwa kutambua kuwa Watanganyika hawaoni jinsi wanavyobeba gharama, Ali Swalehe Alberto amediriki kuwaita Wapumbavu. Na ni kwa kutumia upumbuva wa Watanganyika anaosema, sasa anatmba kuwa wameondoa mambo ya mitihani, viwango na bandari katika muungano. Ali Swalehe pia anatamba kuwa znz haijavunja katiba ya JMT akijua fika Watanganyika watakaa kimya kwasababu ni wapumbavu kama anavyosema.

Tukirudi katika mashirika, hakuna sababu za kulaumiana. Wazanzibar wapewe mashirika yao ili wanedeshe kulingana na soko lao. Walikuwa na Zantel, na sasa ni wakati mashirika mengine wapewe.

Ukimsikiliza Ali Salehe, hoja anazojenga ni za jabu zinazokinzana na wenzake. Wanatume wanasema kuwepo na vigezo vya kuchangia muungano, Ali anasema iwe nusu kwa nusu.

Ali anasema hayo akijua kuwa atawatia hasira wazanzibar kwa kuwapumbaza. Sisi tunasema hakuna sababu za kusema uongoa, Ali awaambie watu wake ukweli. Hauna sababu za kuiba kwa kutumia mashirika ya znz na hivyo yaondolewe katika muungano.

Na mwisho, Watanganyika waelewe kuwa Ali Salehe anapowaita wapumbavu si kwa bahati mbaya. Anafahamu laiti wangelijua basi hali isingekuwa kama ilivyo. Watanganyika ni wakati wawaulize wawakilishi wao hali hii hadi lini na kwanini tusiwe na Tanganyika yenye fiscal autonomy yake bila kubeba alawama kwa faa
 
Barubaru, jaribu kubaki katika content and context za mjadala.
Mara nyingi unaingizia mambo very irrelevant kwa hoja unayoweza kuieleza kwa mstari mmoja.

Hukuwa na sababu za kueleza mambo yote, hoja yako ni kuwa mikopo na misaada ina maana katika muungano. Concise and pricise,itatufanya tuvutike kujibu hoja zako badala ya ku-ignore.

Ni hivi, muungano haukuundwa katika misingi ya misaada na mikopo. Ni akili finyu watu wanapozungumzia misaada na mikopo badala ya kufikiri namna ya kutumia rasilimali zao kujikwamu. HILI NI SUALA LA KUJIULIZA SANA KWANI BAJETI KUU YA TANZANIA YA 2013/2014 INATEGEMEA MISAADA NA MIKOPO KWA ZAIDI YA 56% AU WEWE ULIJUI HILO? PAMOJA NA RASILIMALI MLIZONAZO MNATEMBEZA BAKULI HATA KWA MATUMIZI YA KAWAIDA YA SERIKALI IKIWEMO MISHAHARA.

Popote pale sisi wengine tunajisikia aibu sana kutamka misaada na mikopo, tunaona dhalili. Kama kuna mtu amekaa darsani bado anadhani mikopo na misaada ndio msingi wa muungano, inasikitisha.

Mikopo na misaada si mali yako, ni ndege kumi mtini.
Huko nyuma tumenyimwa, na mwaka jana imeonekana hivyo.NI JAMBO LA AIBU SANA WATU KUTEGEMEA MIKOPO NA MISAADA LAKIN TANZANIA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA KWANI BAJETI IPO WAZI KABISA MAKADIRIO 19.2 TRIL NA MAPATO YENU 12 TRIL WAKTI MATUMIZI YA KAWAIDA NI 13.6 TRIL KWA MWAKA AU UJAPITIA KWA KINA BAJETI KUU YA JMTZ YA 2013/2014?

Taasisi kama mambo ya ndani, jeshi, wizara ya mambo ya nje, elimu ya juu n.k. zimeendelea kutoa huduma kwa mchango wa mapato ya Tanganyika.KAMA UMEPITIA UTEKELEZAJI WA BAJETI ILIOIDHINISHWA NA BUNGE LA JMTZ YA 2012/2013 UTAONA HAKUNA HATA WIZARA MOJA ILIYOPATA ZAIDI YA 36% YA MAKADIRIO YAO. LAKIN KUBWA HAPA HAKUNA HATA WIZARA MOJA ILIYOTUMIA ZAIDI 3% YA PESA HIZO KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO. WALITUMIA PESA ZOTE KULIPANA MISHAHARA, POSHO, SEMINA NA CHAI TU. AU UJAPEMBUA KITABU CHA UTEKELEZAJI WA BAJETI CHA 2012/13?

Nimenukuu Salim Awad kama chanzo cha uhakika kwasababu alitoa data, hakuna aliyesimama kukanusha.
Tumefuatilia na kuona alichosema ni kweli.WASOMI TUNAAMINI DATA NA SIO MTU. KUNA WANASIASA WENGI SANA WANATOA DATA , HATA KIKWETE ALITOA DATA KATIKA BUNGE LA KATIBA ILI KUONYESHA KUWA SERIKALI TATU HAIWEZEKANI MBONA WEWE NAMPINGA AU KIKWETE AAMINIKI ILA SALIM AWADH NDIE UNAYEMWAMINI? NILIKUBAINISHIA DATA ZA UCHUMI ZIPO WAZI KABISA PITIA RIPOTI MBALIMBALI ZA UCHUMI KUTOKA KATIKA TAASISI , MASHIRIKA NA WIZARA MBALIMBALI IKIWEMO BAJETI ZA SERIKALI KAMA UTAZICHAMBUA KWA KINA UNAWEZA KUJENGA HOJA YENYE MASHIKO NA KUTAMBULIWA NA WACHUMI

Mwaka 2013/14 mapato ya znz yalikuwa ni bilioni 400. Bajeti ya znz ni bilioni 710.
Hakuna mahali katika bajeti imeonyehswa pengo la bilioni 320 linazibwa na nini. Hakuna mahali katika bajeti ya znz inaonyeshwa gharama za wizara kama ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, zinahudumiwa vipi, zinachangiwa vipi au zinapata misaada ipi.HAPA NAOMBA NIKUSAIDIE KIDOGO. BAJETI YA ZNZ 2013/14 ILIKUWA 710 BIL NA MAPATO YAPATO YAO UKIJUMUISHA NA MADUHURI YALIKUWA NI 400 MIL NA MATUMIZI YAO YA KAWAIDA ILIKUWA NI 380 MIL NA DENI LAO LA NDANI NI 200 MIL.
LAKIN UKIANGALIA UPANDE WA WENZAO TGK BAJETI YAO NI 19.2 TRIL NA MAKUSANYO YAO KWA MWAKA NI 12 TRIL LAKIN MATUMIZI YAO KWA MWAKA NI 13.6 TRIL. KUBWA LA KUELEWA HAPA NI KUWA DENI LAO KUFIKIA 30 APRIL 2014 ILIKUWA ZAIDI YA 38 TRL (MARA MBILI YA MAKADIRIO A BAJETI KUU YAKE) NAFIKIRI MWAONGOZO HUU UTAKUPA UKWELI HALISI NA KUJIONA MUONGO WA HICHO ULICHOBAINISHA HAPO


Makusanyo ya znz kwa mwaka 2013/14 ni bilioni 12 TRA na bilioni 15 ZRA ambazo zote ni bilioni 27 zilizobaki znz.
Hakuna mahali imeonyeshwa kuwa kodi hizo zimeingia katika muungano.MAKUSANYO YA ZNZ KWA MUJIBU WA BAJETI YA 2013/2014 NI 400 MIL KAMA ULIVYOBAINISHA HAPO JUU. LAKIN UKIPITIA BAJETI ZOTE ZA JMTZ NA ILE YA ZNZ HAKUNA SEHEMU HATA MOJA INAYOONYESHA TGK AMECHANGIA MUUNGANO KIASI GANI NA KWENYE ACCOUNT GANI NA ZNZ HALIKADHALIKA. LABDA WEWE UNIWEKE WAZI TGK WALICHANGIA KATIKA ACCOUNT IPI YA MUUNGANO NA WALICHNGIA KIASI GANI KWA MWAKA 2012/13 AU HATA 2013/14?

Hoja ya msingi hapa ni kuwa, kama znz haipati mikopo na misaada moja kwa moja kutoka Washington,misaada ya ndani inazidi kiasi mapato ya znz. Mfano, 4.5% wanayopata ni ya pato la taifa.
Pato hilo si la znz ni la Tanganyika. Ni bora kwa kugawana mtaji wa BoT kwasababu Tanganyika inalipa zaidi kwa sasa.

Leo ZNZ ingekuwa na benki kuu yake, haiwezi, narudia haiwezi kutengeneza 4.5% ya Trilion 12.
In other words, anayeumia hapa ni Mtanganyika.HAYO NI MAWAZO YAKO LAKIN KWA KUKUSAIDIA WEWE PITIA BAJETI KUU NA PITIA RIPOTI YA JOINT FINANCE COMMISSION YA 2012/13 NA 2013/14 UTAJIFUNZA MENGI SANA. KWANI UCHUMI UNAONGOZWA NA DATA NA SIO BLA BLA ZA KWENYE MA BAR

Watu wanapoacha kuongelea deni la ndani ambalo ni kubwa zaidi ya
mapato ya znz,,inashangaza. DENI LA NDANI LA ZNZ NI 200 BIL NA MAPATO YAO KWA MWAKA NI 400 BIL.. LAKIN UKIJA KWA TGK UTAONA DENI LAO NI 38 TRL NA MAPATO AO KWA MWAKA NI 12 TRIL. JIULIZE NANI FUKARA HAPO NA NANI MASIKINI HAPO?

Miezi sita iliyopita, znz imetekeleza bajeti yake kwa 46% na katika kiasi hicho ipo 4% ya wahisani.
Kati ya hizo, 80% ni mishahara ya wafanyakazi wa SMZ.JMTZ 2013/2014 IMETEKELEZA BAJETI YAKE ILIYOIDHINISHWA NA BUNGE LAKE KWA WIZARA ZOTE CHINI YA 36% AU UJUI HILO?

Kwa kuangalia pesa na utakelezaji na matumizi, lazima mtu ajiulize,hizo za maendeleo zimetoka wapi.JMTZ KWA BAJETI YA 2013/14 WATATEMBEZA BAKULI HATA KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KWANI MAKADIRIO A MAPATO YAKE 2014/15 NI 12 TRL NA MATUIZI YAKE YA KAWAIDA NI 13.6 TRL. HIVYO UTAONA MPAKA PESA ZA MISHAHARA MTATEMBEZA BAKULI WAKTI ZANZIBAR WAMEJITOSHELEZA KWALO .

Mwaka huu January znz imepata 10 bilioni kutoka JMT. Nani anasema kuhusu hilo?
10 bilioni ni 1 y a 40 ya mapato ya znz.Kuna 15 bilioni kwa PAYE. Kwamba tunapunguza unemployment na kuadhaibiwa na znz.NAFIKIRI ULIKUWA HUJI KWANINI WANAPEWA HII NI HISABU ILIYOFANYWA NA WATAALAMU WA UCHUMI WA NCHI HIZO MBILI YAANI ZNZ NA TGK CHINI YA MWAMVULI WA JOINT FINANCE COMMISSION NA KUJA NA FORMULA HIYO, HIVYO HIYO SIO IHSANI BALI NI HAKI YAO WALIYOKUWA WANADHULUMIWA KWA MIAKA ZAIDI YA 38 YA MUUNGANO WENU.
Je wale wznz 500,000 wanoishi Tanganyika wanalipiwa na nani huduma za hospitali na shule. WANALIPA KODI ZOTE ZA MWANANCHI WA KAWAIDA HIVYO WANASTAHILI HUDUMA HIZO KAMA RAIA WA KAWAIDA

Kwa mtu mwenye akili atatambua mlipa kodi anapaswa kupata huduma pale anapolipa kodi.
Watanganyika waliopo znz wanafanya manunuzi, wanalipia huduma n.k. kama wznz walioko bara. HILI LIPO WAZI KABISA KUMBE UNATAMBUA EEH

Hakuna sababu za kusema PAYE ya wazanzibar ni muhimu kuliko ya Watanganyika.
Kwa vile wznz ni watu wa kutaka wamejenga hoja hovyo na ya kipuuzi ili kupata PAYE, wamepewa SIO HOJA BALI NI MAELEKEZO TOKA KWA WATAALAMU WENU WA UCHUMI CHINI YA JFC

SMZ imekopa mishahara bila kurudisha mara zaidi ya 8 kutoka hazina Dar es Salaam.
Wananjua wakina Seif na Vuai.Hiyo si misaada ni pesa za bure maana hazina riba.NI PESA GANI AMBAZO FUKARA ANAWEZA KUMKOPESHA MASIKINI? MBONA HIYO NI AJABU YA KWANZA KUISIKIA. PITIA UCHUMI WA NCHI HIZO UTAONA TGK NI FUKARA NA ZNZ NI MASIKINI. HAIYUMKINIKI FUKARA KUMKOPESHA MASIKINI HATA SIKU MOJA

Unaweza kuona haraka haraka huduma wanazopata ni zaidi ya misaada.

Ali Swalehe Alberto kasema WATANGANYIKA NI WAPUMBAVU hawajui muungano.NAMI NAKUBALIANA NAYE KABISA NA KUONGEZA HAPO NI WANAFIKI WAKIWA KATKA BUNGE LA KATIBA WANAIKANA SERIKALI YA TGK LAKIN WAKIWA NJE YA BUNGE MIDOMO JUU KUDAI SERIKALI YAO.
HUO NI UNAFIKI MKUBWA.
Tunasema hatuhitaji kuwa na muungano unaotegemea misaada na mikopo.

Tunataka Tanganyika ili tukakkope na kuhemea misaada.
Zaznibar nao wapewe fursa ya kwenda IMF,WB na kwngine kupata pesa za mikopo, waende Oman kupata kupata misaada.

Hatuhitaji kuinyonya znz kwa jambo lolote na wala hakuna sababu za kuwa na muungano unaosubiri kipato cha Washington kama wasomi uchwara wanavyoamini. Tunaweza kuvunja jahazi na kugawana mbao.HAYA NI MANUNG'UNIKO YAKO YA KAWAIDA AMBAYO TUMEYAZOWEA HATUNA CHA KUKUSAIDIA ZAIDI YA KUWAAMBIA WENZAKO WAENDE DODOMA KUDAI TANGANYIKA YENU. JF TUTAISHIA KUKUCHEKA TU

Nawe pia baada ya kukupa data, nakuuliza swali ninalomuuliza mkandara
1. Tanganyika inapoteza nini muungano ukivunjika.KUNA MENGI SANA WATAPOTEZA IKIWA WAPO TAARI MBONA WAO NDIO VINARA WA KUULINDA MUUNGANO HUO KWA NGUVU NYINGI

2. Tanganyika inaiba nini znz kwa kuzingatia takwimu za uchumi KAMA UTAPITIA DENI LA TGK AMBALO NI 38 TRIL UTAONA WIZARA ZA MUUNGANO ZIMEKOPA CHINI YA 36% NYINGINE ZOTE ZIMEKOPWA KWA AJILI YA AFYA, ILMU, NISHATI, BARABARA NA UJENZI NA USAFIRISHAJI MMBO AMBAYO SIO YA MUUNGANO. LAKIN MWISHO WA SIKU DENI HILO LITAANGUKIA KWA PANDE ZOTE MBILI AMBAPO ZNZ HAJANUFAIKA NALO.

3. Kuna tatizo gani wewe na wznz mkazanie muungano unaowanyonya.
NANI ANAYEKUMBATIA MUUNGANO? ZNZ AU TGK?
Na mwisho,narudia tena jenga hoja za maana na zenye mantiki.
Hatupend kukupuuza lakini ikibidi tutafanya hivyo.
Lau kuna ugumu, basi tunakuomba usome au suisome uendelee na shughuli zako MANENO HAYA NIMEYAZOWEA SANA KUTOKA KWAKO KWANI NI DALILI YA KUKOSA MWELEKEO KUTOKANA NA MAPIGO NINAYOKUPA KILA KONA YA UCHUMI.POLE SANA

Nguruvi3,

unajuwa unanipa taabu sana kujibu hoja zako ambazo unaandika kwa mtindo wa kunung'unika bila kupangilia maneno na kuwa na kuwa na flow mzuri ya mawazo. Imenilazimu nijibu moja kwa moja katika bandiko lako na ku BLUE ili niweze kujibu hoja kwa hoja.

Lakin nililobaini ni kuwa wewe unapenda sana kutumia watu kama reference badala ya kuongozwa na DATA na RIPOTI mbalimbali za kiuchumi zinazotolewa na Serikali mashirika na taasisi mbalimbali za kiuchumi ikiwemo kupitia bajeti za nchi zenu.

Nakupa pole kwa hilo kwani uchumi unaongozwa na DATA na sio bla bla

Pole sana

 
Nguruvi3,

unajuwa unanipa taabu sana kujibu hoja zako ambazo unaandika kwa mtindo wa kunung'unika bila kupangilia maneno na kuwa na kuwa na flow mzuri ya mawazo. Imenilazimu nijibu moja kwa moja katika bandiko lako na ku BLUE ili niweze kujibu hoja kwa hoja.

Lakin nililobaini ni kuwa wewe unapenda sana kutumia watu kama reference badala ya kuongozwa na DATA na RIPOTI mbalimbali za kiuchumi zinazotolewa na Serikali mashirika na taasisi mbalimbali za kiuchumi ikiwemo kupitia bajeti za nchi zenu.

Nakupa pole kwa hilo kwani uchumi unaongozwa na DATA na sio bla bla

Pole san
OK tumekusikia, tafadhali sana usichafue uzi. Hoja zako hazilingani na uzi achilia mbali msomi wa kiwango unachosema. Rejea mzalendo.net kwa wenzako, hapa umekosea. Tafadhali sana tuache endelea na shughuli zako.

Jasusi alishaniasa na nafuata ushauri wake sasa.
 
OK tumekusikia, tafadhali sana usichafue uzi. Hoja zako hazilingani na uzi achilia mbali msomi wa kiwango unachosema. Rejea mzalendo.net kwa wenzako, hapa umekosea. Tafadhali sana tuache endelea na shughuli zako.

Jasusi alishaniasa na nafuata ushauri wake sasa.

Nguruvi3,

Mimi sijaandika chochote hapo zaidi ya kujibu hoja zako mstari kwa mstari na kutoa bayana yake na kukupa DATA sahihi na kukusaidia wapi unaweza kupata maelezo sahihi.

Hakika nami nimedhamilia sana KUWEKA DATA KAMILI ILI KUONDOA DHANA YAKO NA MANENO YAKO YA KWENYE ULEVI UNAYOIPAKAZIA ZNZ BILA KUWA NA DATA SAHIHI. nA UKITAKA TUKUACHE KUKUPA BAYANA ZAKO basi achana kabisa na mambo ya Znz na waZnz wewe jikite katika MANUNG'UNIKO yako kwa viongozi wenu na wananchi wenzako wa Tanganyika.

KWANI TUNAAMINI UONGO UKIACHWA UJIRUDIE UNAGEUKA KUWA UKWELI KWA jamii.

Nakuhasa kama ujui uchumi wa Tanganyika au ule wa Znz, jifunze kuuliza na sisi wataalamu tutakudarsisha lakin SIO KUCHUKUA MAMBO YA KWENYE ULEVI NA KUANZA KUWAPAKAZIA WAZNZ HAPA.

Kumbuka kuwa Znz ni nchi huru na sasa ipo kwenye kasi kubwa sana ya kutaka kuachwa huru na kuwa na mamlaka kamili kiutawala wa kiuchumi.

Usifikiri kuwa kila anayevaa JOHO JEUPE NI DAKTATI kwani HATA MAMA NTILIE wana vaa hivyo pia.

WAACHWE ZNZ WAPUMUE!

Pole sana.

 
KIWEWE CHA KUZINDUKA TANGANYIKA, HOFU INAZIDI

RAIA WA 'NCHI JIRANI YA ZNZ' ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA TANGANYIKA

NI KATIKA KUONYESHA S2 ZINAFANYA KAZI.

Vyombo vya habari(IPP na Habari leo) vina taarifa ya makamu wa pili wa nchi ya Zanzibar, mh Seif Idd amefungua semina ya wakuu wa mikoa na makatibu tawala Tanganyika akiwaagiza kuacha misuguano.
Katika semina hiyo alikuwepo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (Tamisemi) mh Hawa ghasia

Hizi ni jitihada za kuonyesha kuwa znz inashirikishwa katika mambo ya muungano.
Jitihada hizo zinafuatia makamu huyo wa Rais kufungua maonyesho ya biashara ya Dar es Salaam mwezi huu.

Makamu wa pili wa Rais wa zanzibar anatokana na utaratibu wa GNU ambao bila kujali katiba ya JMT uliweka makamu 2

Katiba ya JMT bado inamtambua waziri kiongozi kwa upande wa zanzibar.
Yote hayo ya kuweka nafasi hizo yalifanyika bila mawasiliano au heshima kwa katiba ya JMT.

Hivyo ni kweli na haki kusema kuwa, makamu wa Rais wa znz awe wa kwanza au wa pili hawatambuliwi na JMT.

Ni kwa msingi huo waandaji wa semina hiyo, Taasisi ya uongozi pengine waliona haja ya kumwalika Raia huyo wa nchi jirani ya Zanzibar ili aje kutoa uzoefu wake.

Kituko ni pale makamu huyo wa Rais asiyetambuliwa Tanganyika alipotoa maagizo kwa viongozi na watendaji hao.

Suala la tawala za mikoa na serikali za mitaa si la muungano. Waziri Ghasia katika semina hiyo alikuwa na hadhi kubwa kuliko mgeni huyo kutoka Unguja.

Ghasia anafanya kazi chini ya ofisi ya waziri mkuu ambaye hatambuliki Zanzibar.
Hapa ni kizungumkuti kwasababu Pinda atakapotaka kutoa maagizo, basi maagizo ya ghasia yana maana, mantiki na kisheria kuliko ya balozi Seif Idd.

Balozi alikuja kama Raia wa Kenya au Uganda. Ni sawa na alivyokuja Amos Wako wa Kenya katika bunge la katiba.

Kwa kutokujua, makamu wa Rais wa Unguja na Pemba alijikuta akitoa maagizo ambayo kimsingi ni kama kuimba kwaya.
Hakuna sheria inayomruhusu yeye kutoa maagizo kwa watendaji na viongozi wa Tanganyika.

Tamisemi si sehemu ya muungano, Seif hana hadhi katika katiba ya muungano achilia mbali kumtambua.

Lakini pia Zanzibar ni nchi kwa mujibu wa katiba ya 2010 na Rais wake anaruhusiwa kuigawa katika mikoa na wilaya. Hayo tu yanatosha kueleza kuwa balozi Idd Seif alikuwa in a wrong place at the wrong time discussing wrong things.

Balozi Seif Idd ni miongoni mwa wasaliti waliokaa BLW na kupitisha katiba ya znz ya 2010.
Katiba hiyo iliyoua muungano kimantiki ndiyo inamkataza kufanya shughuli zake Tanganyika.

Balozi alipaswa aangalie kwanza uhuni alioshiriki mwaka 2010 wa kuidharau katiba ya JMT, ndipo afikirie kuja Dar es Salaam.

Katika kiwango cha nyadhifa na elimu, hatukutegemea balozi angeshindwa kuliona hilo.

Kwa wengine uwepo wa balozi seif ni kutia kichefu chefu kwasababu anaongeza gharama za ulinzi asiopaswa kuwa nao kwasababu yeye akiwa Tanganyika ni raia tu.

Na kwamba, alishiriki kuhujumu katiba ya JMT na sidhani kama ni kosa kusema ni msaliti.
Hawa watu wenye sura za kubadilika hawana nafasi Tanganyika. Umakamu mwisho chumbe.

Muungano haujengwi kwa kuwapa viongozi semina na makongamano ya kufungua.

Muungano wa kisiasa ulishakamilika, sasa hivi ni muungano wa kiuchumi.
Hilo ndilo linatupeleka Watanganyika tutake fiscal autonomy yetu.
Lini Pinda ambaye katiba ya JMT 1977 inamtambua kama waziri mkuu wa JMT aliwahi kwenda znz kufanya shughuli?

Hizi harakati za kugawa peremende kwa wazanzibar hazitaleta utangamano maana wenye muungano wapo mitaani.
Ipo siku wataamua hatima ya muungano mitaani na wala si kwenye semina.

Kwa wenzetu wa znz, ninyi ni taifa, nchi na kila chombo cha serikali na umma mnacho.
Mumelalamika miaka mingi kuonewa.

Tunadhani ni wakati mtoe nafasi kwa Tanganyika kupanga na kuamua hatima yake.

Tusemezane
 
Back
Top Bottom