Dunia sio duara!

But of course that is a basic Machiavellian rule.

One ought not overexpose oneself unduly.

I am not going to overtax my cycles on the finer points of zero government with a country bumpkin.

Just a moment,...big bang theory.....1995.......impromptu lecture. Unajua mtu kuongelea kitu kama hicho kwa kawaida bila ya kua umejiandaa kimpangilio na katika mfumo rasmi inaonekana ulikua na uelewa wa hilo jambo. Hongera kwa kupenda kujisomea.

Umenifurahisha kwenye hiyo story yako, ni kama ulikua unaongea vitu vya kusadikika na watu wakasubiri mwalimu akukosoe ndio iwe pona yao kujiridhisha kwamba umeongea pumba, wakastaajabishwa na ukimya wa mwalimu kutokana na ukweli kwamba hata yeye hakua anajua hilo jambo achilia mbali kusikia.

Wengi hatuna utamaduni/utaratibu wa kupenda kujisomea na kutumia fursa mbalimbali za vyanzo vya habari.
Kwa ufupi, nimejifunza vitu vingi kutoka kwako kwa njia moja ama nyingine.
 
The shape of our earth is called 'OBLIQUE SPHEROID'
 
hapo kwenye red nilieleewa ndo maana nikakuuliza vipi khusu mungu?. yaani vyote mungu na intaneti havionekani lakini kwa nini intaneti iwepo na mungu asiwepo?. hapa nazungumzia mungu muumbaji wa vitu vyote vikiwemo jua, mwezi, watu na kila kitu.
 
hapo kwenye red nilieleewa ndo maana nikakuuliza vipi khusu mungu?. yaani vyote mungu na intaneti havionekani lakini kwa nini intaneti iwepo na mungu asiwepo?. hapa nazungumzia mungu muumbaji wa vitu vyote vikiwemo jua, mwezi, watu na kila kitu.

Kwa sababu intaneti inaelezeka kwa protocols za TCP/IP, kuna predictions kwamba ukinunua computer au simu ukawa na hardware na software fulani, ukawa na connection fulani, utaweza kujiunga na mtandao wa internet.

Mungu unayemuongelea anawezaje kuwa tested in a way that will conclusive point to the existwnce of god and god only as the cause of the results?
 
Very funny!!! Mungu gani? How many are they BELIEVER OF NO GOD?

Sijajua unashangaa kitu gani, Kiranga anauliza Mungu gani kwa sabau Mungu ni kitu tofauti kwa watu tofauti. Kila mmoja ana tafsiri yake ya Mungu. Kuna kosa yeye kutaka kujua unamuongelea Mungu gani? Kama wote tunaongelea Mungu mmoja tungekua tunavutana kila leo kuhusu Mungu? Si wote tungekua tunamjua?
Kwa hilo sijaona kustaajabishwa na hilo swali.
 
Last edited by a moderator:

hapo kwenye red sio straight forward kama ilivyo kwenye intaneti lakini kuna some clues ambazo zinaonyesha kwamba kuna aliyeumba vitu hi.
1.vitu vipo complex sana. ukiangalia water cycle, ukiangalia ecosystem ni vigumu kutoamini kama havikuumbwa. huwa nasomasoma ishu za immunology zipo complex kiasi naona kutakuwa na superbeing amehusika kuumba.

2..biblia pia imetaja uwepo wa mungu (kama kitabu cha historia). watu wengi kama pontio pilato, nubukadneza na wengi waliotajwa kwenye biblia hutajwa pia kwenye vitabu vingine. pia mambo mengi ambayo hutajwa kwenye biblia yamethibitika kuwa yalitokea kweli . kama nisipoamini biblia sioni sababu ya kuamini stori za kimweri, kinjekitile au mankamusa
3.harafu kwanini binadamu tunajiona kama gold standard ya kipimo cha akili?. kama sisi tumempita akili mbwa ambaye nae kampita n'gombe. kwanini tunakataa kuamini kwamba kuna species yenye akili zaidi yetu au hata kutuumba?
umewahi cheki movie inaitwa prometheus?
 

I did not ask you. Are you her apprentice? I believe the person can talk for herself without your help.

Do you know the meaning of "kumjua" or YOU ARE JUST A BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that BELIEVES IN NO GOD and can not support their fiendish notions with impeccable evidences?
 
dunia ni duara ushaid sio mpaka uandike kimombo au uende nje ya dunia .sikia usiwe mbulula fanya hiv.tazama jicho lako tazama lens ni duara sio?toka nje litazame jua,mwez ni duara sio? aya tazama kupatwa kwa jua/mwez kinachopita ktk ni duara sio?malizia chukua kifan cha duara mf.goroli tazama vzr dunia ingekuwa hivyo 2ngeish vip?uwepo wa mabonde/milima/bahar haimaanish kwamba dunia si duara .ukubwa wake unathibitisha muunekano wake na muunekano huo utauona kupitia kupatwa kwa mwezi/jua.vp bro?
 
sindano hazijaingia vzr?malizia na hii.usiwe mbulula fikiria km mtengeneza tv angekuuzia tv bila ya kukufundisha namna bora ya kuitumia hyo tv?umepewa ktabu kwa lugha yako kitabu bora kuliko vyote dunia kinachosomwa mara 80000000 kwa siku.kitabu ambacho nakara zake ni kutoka kwa Muumbaji ambaye ni Mungu kitabu hicho sio lile lifotokopi maneno ya punda bali ni BIBLIA TAKATIFU ndani yake anaiitaja dunia kuwa duara na syari zote ni zake yeye ndiye aliyeifanya nakuiwekee nuru ku mbil jua/mwezi.vp br?
 
unajifanya msomi unapeluz pumba unazileta hapa eti mwanasayans flan alisema hv na we unaamin achen umbula ukasuku macho yenu hayaoni machweo na -----.usipende kuafiki chochote vingenevyo vitawaponza.yeyote aliyeweka uwalo.,km unajijua fuatishe toba hii.
.
.
.
.
.
.Bw MUNGU...................WE NDIYE MUUMBAJI WA MBINGU NA NCHI ................................................
.
.
.
.
.
.
safi sana napenda watu km wewe wanaotubu.
 

Kuna vichaa wengine kama huyo wapo kwenye ignore list.

Hata sioni wanachoandika.

Na hata wakijibadilisha majina mara mia nawajua tu.
 
Last edited by a moderator:

I have debunked point number one umpteenth times before here.

If everything complex will need a creator, then that creator will necessarily need to be more complex than the created.

Following that line of logic, if god created all these complex things, god himself will be complex and will need a creator, a more complex creator, and his creator will need an even more complex creator, ad infinitum, ad absurdum.

Biblia haiwezi kuwa ni kitabu cha mungu kwa sababu ina makosa mengi sana ya kibinadamu. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote anatakiwa awe efficient zaidi katika ku communicate ujumbe wake kukiko hii series ya contradictions unayoita biblia. And why the bible, not the Quran, Bhagavad Gita, books from Dhammapada, Confucianism, Taoism etc?

Kama unaona binadamu anaweza kuzidiwa na mungu, mungu anaweza kuzidiwa na mungu wake, kitu kitakachomfanya mungu asiwe mungu kwa maana ya muumba wa vyote. Hapa tunarudi kwenye aspects za point 1 above. Kwa nini mungu ndiye awe gold standard na asiwe na muumba wake?
 

Kiranga.
Ziba pua na mdomo wako kwa dakika 3 tu..usivute pumzi,unaruhusiwa kutoa pumzi lakini usivute. Ukiweza hili basi utakuwa umegundua kuwa Mungu yupo au ni hadithi tu.
 
Kiranga.
Ziba pua na mdomo wako kwa dakika 3 tu..usivute pumzi,unaruhusiwa kutoa pumzi lakini usivute. Ukiweza hili basi utakuwa umegundua kuwa Mungu yupo au ni hadithi tu.

Non sequitur.

Wengine wanaweza kusema binadamu kufa kirahisi hivyo kunaonyesha kwamba hakuumbwa na mungu muweza yote.

Kwa sababu angeumbwa na mungu huyo asingeweza kufa kirahisi hivyo.

You are drawing a connection where there is none, and forcing one will only provide results to contradict your position.
 
Give it a try and let the results contradict/confirm your position.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…