Kaka hivi hizi kauli unaziegemeza kwa nani ? Maana naona kama unampangia Allah cha kufanya.haiwezekni Allah atoe mfano wa Aya ya kiama ailete kabla ya kiama.huo sio usahihi.
sayansi ni muhimu sana kuisoma na kupekua katika Qurani pia kwa sabbu kuna lundo kubwa La waslmu ambao wanaikataa Qurani kwa ajili ya sayansi walizosoma.(1) Kaka, kwanza naomba maelezo ya Ibn kathir juu ya hiyo aya 21:33, yakinukuu maneno ya mtume. Ili nipate kujifunza elimu niliyokuwa siijui.
(2) Naomba unifafanulie jinsi ulivyozielewa kwa mujibu wa wanasayansi the Big bang na the black hole, kwani labda mimi sikuwaelewa hao wanasayansi.
Mimi, kaka nataka leo niwe mwanafunzi wako, nitafurahi sana wewe uwe mwalimu wangu.
Sasa kwanini unataka maneno ya mtume tu ? Je kama kuna aya inayofafanua aya hiyo,utaikubali au ?
Na vioi kuhusu uhalisia ?
Huko kujizungusha kwa spidi kunafanyika kwenye orbit (njia) yake. Dunia ina mizunguko 2. Kujizungusha yenyewe ktk orbit yake na kulizunguka jua.Sasa wanasema dunia inajuzungusha yenyewe kwa spidi kubwa sanaa yaani kubwaaa.
Alafu dunia inazuunguka kwenye orbit yake.
Sasa vitendo hivi vyote inamaana vinafanyika kwa pamoja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya ahera itakuingiza choo cha walemavu..Nimeishia form four ila napenda kujua haya mambo,hivyo ukija na porojo ooh huna shule kasome utapoteza muda tu,tujadili hili suala.
Kuhusu jua na mwezi hivi bila shaka vinazunguka na nadharia yake iiko madhubuti kueleweka.lakini hii ya dunia kuzunguka imekaaje mbona inakanganya sana wadau?
Hii dunia kama inazunguka tena kwa spidi kubwa sana inakuwaje wale ambao wanatoka nje ya dunia wakirudi hurudia pale pale tu hata hawatui pengine?
Yaani muweke sisimizi kwenye tufe alafu jaalia pale alipo ndo anatoka duniani anaenda mbali katika sayari zinginee.jaalia umempaisha sasa alafu alipotoka katika anga ya dunia ile dunia(tufe)likawa linazunguka kwa spidi kali sana.umepata picha?.
Sasa je ili arudi na ile kasi ya dunia yenyewe kuzunguka naweza kutua pale pale kweli?
Hawa wanaopaa wannafanyaje mpaka wanaarudi pale pale walipotokea?
Naomba tueleweshane nipo hapa kujifunza wadau.sitaki kejelii
Mokaze
Shark
AL - ANBIYAA - 33
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
YA-SIN - 39
Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe
YA-SIN - 38
Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni ayagani Allah kajisifia ufundi wa kuumba alafu iwe hilo tukio la kujisifia kwake linagusia siku ya kiama...?Kaka hivi hizi kauli unaziegemeza kwa nani ? Maana naona kama unampangia Allah cha kufanya.
Unaweza kuniambia ni mwanachuoni gani aliyekitangulia katika kauli hizi,ili nimsome yeye maana naona unazidi kukosea na kukaa mbali na ukweki.
Naomba unitajie jina la mwanachuoni aliye kitangulia katika hizi kauli zako.
mkuu hata tafsiri baadhi za ulamaa wanatumia jitihada zao tu.Aisee, sasa mbona unaruka ihali ni wewe mwenyewe uliyesema kwamba maelezo ya aya yalikwisha tolewa na mtume (saw) kwa masahaba zake, na ukasema nisome tafsir Ibn kathir ili nipate maelezo ya hiyo aya, na hii ni baada ya wewe kuniuliza natumia tafsir gani ya Qur'an, nami nikakuuliza kwani mtume (saw) katuagiza tutumie tafsiri ipi?? na ya nani??.
hiyo aya iwe inafafanua kweli sio kuunga unga alafu ukasema inaffanua kweli wakati hakuna hata mafungamano yoyoteSasa kwanini unataka maneno ya mtume tu ? Je kama kuna aya inayofafanua aya hiyo,utaikubali au ?
Na vioi kuhusu uhalisia ?
Nilicho kielewa mimi ni kuwa hizo ni nadharia tu ambazo wao wenyewe hawawezi kuzithibitisha.
Ninacho kusihi kwanza uwe unasoma Tafsiri za Qur'aan kutoka kwa wanazuoni wakubwa wa kubwa ambaa wanategemewa.
Nilicho kielewa mimi ni kuwa hizo ni nadharia tu ambazo wao wenyewe hawawezi kuzithibitisha.
'Na jua linakwenda kwa kiwango chake!' Linakwenda wapi?Nimeishia form four ila napenda kujua haya mambo,hivyo ukija na porojo ooh huna shule kasome utapoteza muda tu,tujadili hili suala.
Kuhusu jua na mwezi hivi bila shaka vinazunguka na nadharia yake iiko madhubuti kueleweka.lakini hii ya dunia kuzunguka imekaaje mbona inakanganya sana wadau?
Hii dunia kama inazunguka tena kwa spidi kubwa sana inakuwaje wale ambao wanatoka nje ya dunia wakirudi hurudia pale pale tu hata hawatui pengine?
Yaani muweke sisimizi kwenye tufe alafu jaalia pale alipo ndo anatoka duniani anaenda mbali katika sayari zinginee.jaalia umempaisha sasa alafu alipotoka katika anga ya dunia ile dunia(tufe)likawa linazunguka kwa spidi kali sana.umepata picha?.
Sasa je ili arudi na ile kasi ya dunia yenyewe kuzunguka naweza kutua pale pale kweli?
Hawa wanaopaa wannafanyaje mpaka wanaarudi pale pale walipotokea?
Naomba tueleweshane nipo hapa kujifunza wadau.sitaki kejelii
Mokaze
Shark
AL - ANBIYAA - 33
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
YA-SIN - 39
Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe
YA-SIN - 38
Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninacho kusihi kwanza uwe unasoma Tafsiri za Qur'aan kutoka kwa wanazuoni wakubwa wa kubwa ambaa wanategemewa.
nadhani anachotaka mkuu zurri kwamba Qurani iseme kama ambavyo sayandi im3sema au sayansi iseme vile vile kama ambavyo Qurani imesema neno kwa neno. hilo haliwezekani.Mbona sasa hueleweki tena?!!, mimi nilikuambia kuwa maelezo ya wanasayansi juu ya the Big bang na the black hole "yanalandana" na maneno ya Qur'an - wewe ukasema sikuwaelewa hao wanasayansi ndipo nikataka wewe sasa unieleweshe jinsi ulivyowaelewa, sasa hutaki ?!! [emoji1787][emoji1787].
Hii inaonyesha unapinga kitu usichojua KABISA. Wanasayansi wanasemaje juu ya the Big bang na the black hole??, kama hujui utasemaje maelezi yao hayafanani na Qur'an??.
Naomba namba za walimu wako wa geografia mkuu.Haizunguki wala kujizungusha
MKUU zurri mwanachuoni mkubwa ana sifa gani na gani...?Nisome tafsiri za wanazuoni wakubwa wanaotegemewa na nani??, nani anasema wao ni wakubwa??, haya hebu nipe tafsiri ya aya 21:33 kutoka kwa mwanazuoni yoyote umuonaye ni mkubwa, na huyo mwanazuini awe anenukuu kauli za mtume (saw) au aya zingine za Qur'an.
Nasubiri mkuu.
nadhani anachotaka mkuu zurri kwamba Qurani iseme kama ambavyo sayandi im3sema au sayansi iseme vile vile kama ambavyo Qurani imesema neno kwa neno. hilo haliwezekani.
kwa sababu Qurani inatuabia mwezi unakwenda kea kiwango chake.
wanasayansi hawajasema hivyo, wao wamesema
mwezi unarotate dunia.
lakini kurotate ndo kuenda huko manake ni motion ile ile iwe linear au circular
Safi kabisa,sijaruka swali ndio maana nilikwambia urejee kwenye Tafsiri ya Ibn Kathiir,kwahiyo kwa uvivu wako ukataka nikuwekee Tafsiri,hiyo sio tatizo na kuwela humu ni dakika chache mno.Aisee, sasa mbona unaruka ihali ni wewe mwenyewe uliyesema kwamba maelezo ya aya yalikwisha tolewa na mtume (saw) kwa masahaba zake, na ukasema nisome tafsir Ibn kathir ili nipate maelezo ya hiyo aya, na hii ni baada ya wewe kuniuliza natumia tafsir gani ya Qur'an, nami nikakuuliza kwani mtume (saw) katuagiza tutumie tafsiri ipi?? na ya nani??.
Nisome tafsiri za wanazuoni wakubwa wanaotegemewa na nani??, nani anasema wao ni wakubwa??, haya hebu nipe tafsiri ya aya 21:33 kutoka kwa mwanazuoni yoyote umuonaye ni mkubwa, na huyo mwanazuini awe anenukuu kauli za mtume (saw) au aya zingine za Qur'an.
Nasubiri mkuu.