Kaka naona unapata tabu sana,kwa kulazimisha mambo sio kweli,kwanza aya tunayo ijadili haionyeshi ya kuwa Dunia inazunguka,hapa hata nikupe miaka mia.
Nikikuuliza huo usiku na mchana unatokeaje,nalo litakuwa swali gumu kwako.
Allah aliye juu anasema :
5. Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! ( az Zumar : 5 )
Sasa kazi ninayo kupa sasa hivi ni utuwekee hizo ithibati za kisayansi zinazo onyesha Dunia inazunguka.
kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwa hata dunia inazunguka hasa kwa mujibu wa Qurani.
Allah asema...
وَتَرَى الْجِبَالَ تَحْسَبُهَا جَامِدَةً وَهِيَ تَمُرُّ مَرَّ السَّحَابِ ۚ صُنْعَ اللَّهِ الَّذِي أَتْقَنَ كُلَّ شَيْءٍ ۚ إِنَّهُ خَبِيرٌ بِمَا تَفْعَلُونَ
[ AN-NAML - 88 ]
Na unaiona milima unaidhania imetulia; nayo inakwenda kama mwendo wa mawingu. Huo ndio ufundi wa Mwenyezi Mungu aliye tengeneza vilivyo kila kitu. Hakika Yeye anazo khabari za yote myatendayo.
kwanza kitendo cha Allah kusema "unadhani imetulia(static)"..?
hapo maana yake ni kinyume chake kwamba haijatulia(motion)
kitu chochote ambacho hakijatulia lazima kiwe kipo katika hali ya mwendo ama kcheza cheza.
lakini Allah akamalizia kwa kusema "NAYO INAKWENDA"
kumbe kinyume cha kutulia alichosema Allah pale basi maanayake ni kwenda.
mpaka hapo tumeona ya kwamba milima inakwenda haijatulia.
mkuu
Mokaze na
Zurri niwaulizeni
"MILIMA IPO WAPI KAMA SIO IMEAMBATANA NA ARDHI AMBAYO NDIO DUNIA YENYEWE HIYO ?
ni sawa na mtu awepo kwenye gari kisha gari inatembea alafu yeye aseme HAYUPO KWENYE MWENDO WAKATI PALE ALIPO KILE KITU KINATEMBEA.
Mkuu zurri angalia tafsiri ya shekhe Abdallah saleh alfarsiy رحمه الله katika tafsiri yake kaandika hivi..
"na hili vile vile ni katika hayo yaliyosemwa katika Qurani miaka 1400 leo na ndiyo kwanza sasa maulamaa wa huko wanatambua haya ya kuwa DUNIA INAZUNGUKA"
mwisho wa kunukuu.
mkuu zuri hapo utaona hata sheikhunaa Abdallah saleh anamafhumu hayo ya kuwa dunia inazunguka kwa mujibu wahiyo aya.sio mimi na mokaze ndo tumeleta ufahamu huo laa.
unasemaje juu ya tafsiri ya sheikh Abdallah saleh alfarsiy katika aya hiyo..?
lakini pia Allah akasemate tena..
خَلَقَ السَّمَاوَاتِ بِغَيْرِ عَمَدٍ تَرَوْنَهَا ۖ وَأَلْقَىٰ فِي الْأَرْضِ رَوَاسِيَ أَن تَمِيدَ بِكُمْ وَبَثَّ فِيهَا مِن كُلِّ دَابَّةٍ ۚ وَأَنزَلْنَا مِنَ السَّمَاءِ مَاءً فَأَنبَتْنَا فِيهَا مِن كُلِّ زَوْجٍ كَرِيمٍ
[ LUQMAN - 10 ]
Ameziumba mbingu bila ya nguzo mnazo ziona; na ameweka katika ardhi milima ili ardhi isikuyumbisheni; na ametawanya humo kila namna ya wanyama; na tumeteremsha maji kutoka mbinguni, na tukaotesha katika ardhi mimea mizuri ya kila namna.
umeona Allah ufundi wake anasema kuwa ile MILIMA KAIWEKA ILI ARDHI ISIJE KUTUYUMBISHA..
sasa hapa tukiunganisha tutaona kwamba kumbe ardhi nayo inakwenda pamoja namilima na hyo ndo tunaita dunia.
Na Allah alituambia kwamba huko angani vitu vinaogelea kwa maana vinaelea tu.
nakama ardhi namilima inakwenda (inazunguka) inabidi iwe imara ili isiyumbe yumbe kwa maana ya kuwa ikiwa nyepesi basi inaweza kuwa UNSTABLE katika mwendo wake.
kumbe ile milima Allah kaiweka ili iongeze uzito naardhi isipate kuyumba yumba katika mwendo wake.
na hilo tunaona hata katika magari gari ikiwa na mwendo mkubwa na ikawa nyepesi basi haitulizani, ila ikiwa nzito gari na mw3ndo mrefu inakwenda bila shida waakuyumba yumba.
momentum = mass x velocity
mass haibadiliki kitu kikiwa kwenye mwendo bali velocity ndio inabadilika.
mass ikiwa kubwa kuliko kuliko air resistance basi mass haiwezi kuwa affected na hiyo air reststance kamwe.
kunamwaajeshi alipata kumuokoa mtu waati treni imepoteza muelekeo na spidi ilikuwa kali kiasi kwamba ukiruka kawaida utarushwa huko.
alichokifanya akamkamata mtu akaruka nae na eakafika chini salama tu bila kuyumba na kuumia kwa ile speed ya treni.
kwa hyo kitendo cha jamaa kumbeba mtu mwingin3 aliongeza uzito na hivyo hata waliporuka mass yao ilikuwa kubwa kuliko ile AIR na ikawafanya kufika chini salama.
Na Alla kaweka milima ili isituyumbishe na hapo tunaweza kuona kuwa milima Allah kaiwea ili mass ya dunia iongezeke.
tukisema dunia tunakusudia na ardhi ikiwemo ati.
mkuu
Mokaze nadhani hapa unalo la kuongeza kutilia nyama viele, o hivi karibuu..