Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 41,042
- 70,839
NdiyoJamaa alivyorudi mchana akakuta mke wake ashapika na chakula kabisa hakuondoka
Kwahiyo msimamo unatakiwa usimtetemekee mwanamke
NdiyoJamaa alivyorudi mchana akakuta mke wake ashapika na chakula kabisa hakuondoka
Kwahiyo msimamo unatakiwa usimtetemekee mwanamke
hapo unakuta mmojawapo kajifanya falaHuwa nawaza mno unakuta watu wapo kwa ndoa for 45 years ni miujiza aiser na siyo rahisi
kikubwa ni kusimama kama baba mji alafu kusimamia misimamo ulijiwekeaMnunoooo utakutana naona mpaka unaona nyumba chungu na ni kwako
Ile wako binti yangu apatwe na lolote.Poleni tuko hapa tunakula mahari ya mtoto wa Supapawa aaliyeolewa na mtoto wa Monetary doctor
Ailililiiiiiiiiiiiiii
mwana wa supapawa anabamizwa na jembe langu
Haka ni katoto kanawaleta kati na story za kutungaI can't hide my self, I don't expect you to understand,
But I hope I can explain, what it's like to be a man.~dax(to be a man)
Haka ni katoto kanawaleta kati na story za kutunga
Well said 😁Ujue hawa wanawake usipokuwa na msimamo anakuendesha apendavyo,alafu mwanamke usimpende kupita kiasi maana mwanamke akishajua unampenda sana anaviiimba na atakufanyia vituko maana anajua huna cia kumfanya
Kiufupi uwe 50/50
Bila msimamo kwisha habariKuna jamaa yangu mmoja alizinguana na mke wake usiku,mke wake akatishia kwenda kwao
Ilivyofika asubuhi jamaa akamwambia kama umeamua kwenda kwenu fresh akampa nauli alafu jamaa akatembea kwenye mishe zake.
Jamaa alivyorudi mchana akakuta mke wake ashapika na chakula kabisa hakuondoka
Kwahiyo msimamo unatakiwa usimtetemekee mwanamke
Well saidMbinu na medani za kivita nilizonazo sahivi laiti ningekua nazijua miaka 10 nyuma ningeishi
raha mustarehe ila fresh utu uzima dawa hakuna mwalimu bora zaidi ya muda.
Nathubutu kusema jithamini kwanza weka kikomo kwamba hapa hakuna binadamu yeyote anaeweza vuka hapa kucheza na amani ya nafsi yangu lasivo majuto ni mjukuu.
Well said
Kwa kweliUnayemwona ni mlevi na kila siku anarudi nyumbani kwake kalewa, ila familia anaiachia mahitaji fresh. Unafikiri wanapenda kulewa? Wengine wanaona bora walewe wakifika ni kulala tu waepuka makelele, hata wikiendi hawakai nyumbani wanatoka mapema.
Wapo ambao wamepatwa na kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la damu kisa mambo ya nyumbani tu. Hawezi kusema popote sababu wanaume tunaficha mengi sana, msongo wa mawazo kila kukicha unammaliza mtu taratibu.
Wengine wapo kwenye ndoa zao kisa watoto tu wakue vizuri, bila hivyo wangeshaondoka na kushika njia zao. Ila na watoto wakikua nao wanalishwa sumu na kuwaona wao wabaya, tabia ile ya ulevi na kuchelewa kurudi wanawahukumu nayo hawajui kwanini wapo hivyo.
Hata akiishi muda mrefu;
Unakuta anakuja kujistaafia kajitoa hasa kuhakikisha watoto wanasoma na kufikia pazuri ila hakuna anayemjali hata mmoja, sababu washalishwa sumu wao ni mama tu na kumpa msaada. Wakati alibaki na mama yao tu ili wakue tu na alikuwa na chaguo la kuachana nao kisa vitimbi vyake.
Well writtenUnayemwona ni mlevi na kila siku anarudi nyumbani kwake kalewa, ila familia anaiachia mahitaji fresh. Unafikiri wanapenda kulewa? Wengine wanaona bora walewe wakifika ni kulala tu waepuka makelele, hata wikiendi hawakai nyumbani wanatoka mapema.
Wapo ambao wamepatwa na kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la damu kisa mambo ya nyumbani tu. Hawezi kusema popote sababu wanaume tunaficha mengi sana, msongo wa mawazo kila kukicha unammaliza mtu taratibu.
Wengine wapo kwenye ndoa zao kisa watoto tu wakue vizuri, bila hivyo wangeshaondoka na kushika njia zao. Ila na watoto wakikua nao wanalishwa sumu na kuwaona wao wabaya, tabia ile ya ulevi na kuchelewa kurudi wanawahukumu nayo hawajui kwanini wapo hivyo.
Hata akiishi muda mrefu;
Unakuta anakuja kujistaafia kajitoa hasa kuhakikisha watoto wanasoma na kufikia pazuri ila hakuna anayemjali hata mmoja, sababu washalishwa sumu wao ni mama tu na kumpa msaada. Wakati alibaki na mama yao tu ili wakue tu na alikuwa na chaguo la kuachana nao kisa vitimbi vyake.