Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

Wakuu habari !

Maisha kwa mwanaume kamwe hayajawahi kuwa rahisi in everything. Unatoka alfajiri na mapema kwenda kusaka mkate wa familia then unarudy om unakutana na makelele kutoka kwa wife 💔 haulizi umeshindaje wala habari za kazi unakutana na magic ambazo hazina msingi now ndo nakumbuka why father akikuwa anarudy saa 7 usiku kuishi na haya viumbe 🙌🙌 mungu asaidie #marriage is not for the weak one💔
Mwanzo wakati wa uchumba alikuwa hivyo? Nini kimebadilika?
 
Umegusa penye mshono
Haya ni maisha machungu sana kwetu wanaume, kuna muda mpaka nafikiria ni heri uwe na shughuli ya kukufanya uendelee kuchuma hadi uzeeni. Kulilo ajira ukastaafu na kuja kudhalilika na wanao wanakupa kisogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom