Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

H r n

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2019
Posts
1,099
Reaction score
2,077
Wakuu habari !

Maisha kwa mwanaume kamwe hayajawahi kuwa rahisi in everything. Unatoka alfajiri na mapema kwenda kusaka mkate wa familia then unarudy om unakutana na makelele kutoka kwa wife 💔 haulizi umeshindaje wala habari za kazi unakutana na magic ambazo hazina msingi now ndo nakumbuka why father akikuwa anarudy saa 7 usiku kuishi na haya viumbe 🙌🙌 mungu asaidie #marriage is not for the weak one💔
 
Unayemwona ni mlevi na kila siku anarudi nyumbani kwake kalewa, ila familia anaiachia mahitaji fresh. Unafikiri wanapenda kulewa? Wengine wanaona bora walewe wakifika ni kulala tu waepuka makelele, hata wikiendi hawakai nyumbani wanatoka mapema.

Wapo ambao wamepatwa na kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la damu kisa mambo ya nyumbani tu. Hawezi kusema popote sababu wanaume tunaficha mengi sana, msongo wa mawazo kila kukicha unammaliza mtu taratibu.

Wengine wapo kwenye ndoa zao kisa watoto tu wakue vizuri, bila hivyo wangeshaondoka na kushika njia zao. Ila na watoto wakikua nao wanalishwa sumu na kuwaona wao wabaya, tabia ile ya ulevi na kuchelewa kurudi wanawahukumu nayo hawajui kwanini wapo hivyo.

Hata akiishi muda mrefu;
Unakuta anakuja kujistaafia kajitoa hasa kuhakikisha watoto wanasoma na kufikia pazuri ila hakuna anayemjali hata mmoja, sababu washalishwa sumu wao ni mama tu na kumpa msaada. Wakati alibaki na mama yao tu ili wakue tu na alikuwa na chaguo la kuachana nao kisa vitimbi vyake.
 
Unayemwona ni mlevi na kila siku anarudi nyumbani kwake kalewa, ila familia anaiachia mahitaji fresh. Unafikiri wanapenda kulewa? Wengine wanaona bora walewe wakifika ni kulala tu waepuka makelele, hata wikiendi hawakai nyumbani wanatoka mapema.

Wapo ambao wamepatwa na kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la damu kisa mambo ya nyumbani tu. Hawezi kusema popote sababu wanaume tunaficha mengi sana, msongo wa mawazo kila kukicha unammaliza mtu taratibu.

Wengine wapo kwenye ndoa zao kisa watoto tu wakue vizuri, bila hivyo wangeshaondoka na kushika njia zao. Ila na watoto wakikua nao wanalishwa sumu na kuwaona wao wabaya, tabia ile ya ulevi na kuchelewa kurudi wanawahukumu nayo hawajui kwanini wapo hivyo.

Hata akiishi muda mrefu;
Unakuta anakuja kujistaafia kajitoa hasa kuhakikisha watoto wanasoma na kufikia pazuri ila hakuna anayemjali hata mmoja, sababu washalishwa sumu wao ni mama tu na kumpa msaada. Wakati alibaki na mama yao tu ili wakue tu na alikuwa na chaguo la kuachana nao kisa vitimbi vyake.

Umegusa penye mshono
 
Unayemwona ni mlevi na kila siku anarudi nyumbani kwake kalewa, ila familia anaiachia mahitaji fresh. Unafikiri wanapenda kulewa? Wengine wanaona bora walewe wakifika ni kulala tu waepuka makelele, hata wikiendi hawakai nyumbani wanatoka mapema.

Wapo ambao wamepatwa na kisukari, vidonda vya tumbo, shinikizo la damu kisa mambo ya nyumbani tu. Hawezi kusema popote sababu wanaume tunaficha mengi sana, msongo wa mawazo kila kukicha unammaliza mtu taratibu.

Wengine wapo kwenye ndoa zao kisa watoto tu wakue vizuri, bila hivyo wangeshaondoka na kushika njia zao. Ila na watoto wakikua nao wanalishwa sumu na kuwaona wao wabaya, tabia ile ya ulevi na kuchelewa kurudi wanawahukumu nayo hawajui kwanini wapo hivyo.

Hata akiishi muda mrefu;
Unakuta anakuja kujistaafia kajitoa hasa kuhakikisha watoto wanasoma na kufikia pazuri ila hakuna anayemjali hata mmoja, sababu washalishwa sumu wao ni mama tu na kumpa msaada. Wakati alibaki na mama yao tu ili wakue tu na alikuwa na chaguo la kuachana nao kisa vitimbi vyake.
Dah tunapitia maumivu makali mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom