Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

Ujue hawa wanawake usipokuwa na msimamo anakuendesha apendavyo,alafu mwanamke usimpende kupita kiasi maana mwanamke akishajua unampenda sana anaviiimba na atakufanyia vituko maana anajua huna cia kumfanya

Kiufupi uwe 50/50
 
Kuna jamaa yangu mmoja alizinguana na mke wake usiku,mke wake akatishia kwenda kwao

Ilivyofika asubuhi jamaa akamwambia kama umeamua kwenda kwenu fresh akampa nauli alafu jamaa akatembea kwenye mishe zake.

Jamaa alivyorudi mchana akakuta mke wake ashapika na chakula kabisa hakuondoka

Kwahiyo msimamo unatakiwa usimtetemekee mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom