Tahadhari naomba,tutoe udini kwenye mjadara. Moja ya chanzo kikubwa cha ugaidi duniani ni mdogo kudharaulika na mkubwa.Mfano ugomvi kati ya,israel na Palestine kusababisha waislamu kutumia JIHAD kama siraha yao kupata wafuasi na kuanzishwa kundi la Hamas .muisraeli ni msomi sana na anategemewa na mmarekani kugundua vitu na njimaana hivi karibuni marekani amempa msaada wa bilioni 35 dollars kama msaada wa kijeshi kwa israel. Sasa kutokana na hivyo muisrael anakuwa na nguvu sana kuliko mpalestine na hivyo kuamua anachotaka,mfano kinachotokea OCCUPIED WEST BANK. muisrael anatubuthu kuua mpalestine hata kama akipigwa kibao na kuonesha onyo ukimdhuru muisraeli adhabu ni kifo tena hapohapo mnamalizana.Hi inatia hasira kwa wapalestine na kuamua bora kuwa gaidi maana hakuna thamani ya maisha. NASIKITIKA SANA KUONA MNYONGE RAISI OBAMA KUSAHAU WANYONGE WENZAKE WAPALESTINE WAKATI NA YEYE, AMETOKEA HUKO NA ALIKUWA MNYONGE .KUNA ULE MSEMO ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAA NA HII IMEONEKA KWA OBAMA. Na kwakweli damu ya mtu haipotei duniani na malipo ni hapahapa duniani na mungu kumlaani Obama kwa kuanza kundi la kigaidi ISIS ambalo linamsumbua mmarekani ,urusi na dunia kwa ujumla. Dunia lazima itambue chanzo cha ugaidi inaanzia Palestine na Israel. Na anayesababisha ugaidi ni mmarekani kuendeleza kumpa moyo Israel.