tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
Wanaume wanaowalawiti watoto wa kiume nao wanaongeza intensity ya tatizo hili.Sana mkuu na yanashangaza sana. Mfano kuna punga moja lina kazi nzuri na elimu nzuri, sa mwezi ulioisha wazazi wake ndo wamejua tabia zake. Mama ake mbona alizirai kwa mshtuko
Kuna story inafanana na hiyo; wahusika wako Arusha. Hapo siri hamna maana katika kuomba ushauri siri haipo tena.Kwani unawafahamu mkuu?
Shosti aliolewa baada ya ndoa na honeymoon AmerisourceBergen kazini, mume alikuwa na likizo wiki moja mbele. Mambo ya penzi changa shost amemwbia boss kichwa kinauma aende kupasha kiporo.
Amefika nyumbani, sebuleni hakuna mtu, lakini mlango wa nyuma umerudishwa tu, alinyata mpaka chumbani khe asimkute mume ameshikishwa ukuta na njemba.
Kumbe all the way mume shoga smart na alimwambia jamaa siku flani wife atakuwa kazini. Mwanaume ana mpunga mrefu na anpigia magoti shost amfichie siri kwa gharama yeyote ile
Ungempa ushauri gani?
Leo ndio nimejua ww ni keHahaha wengine sisi ni wanawake tu...hao wa makinikia wamelaaniwa
Hapana mkuu, nimemaanisha sisi WANAUME tunapenda wanawake...Mimi ni ME mkuu nadhani umeninukuu vibayaLeo ndio nimejua ww ni ke
nimeiedit ikae sawa mkuuLeo ndio nimejua ww ni ke
Namfahamu huyo jamaaAisee umenikumbusha kuna mtoto wa kigogo mmoja wa polisi, aliolewa na kijana shoga,dada wa watu ashangaa apewi gemu,wiki,mwezi,jamaa safari za nje kila leo,ikabidi dada afikishe malalamiko kwa mzee wake,jamaa akawekewa mtego na watu wa usalama hoteli moja hivi mjini posta,jamaa kustuka yuko mbele ya vijana wa kazi huku akifanyiwa ufedhuli,daah ndoa iliishia hapo, Nilisikia yule dada kaolewa hivi karibuni baada ya miaka kumi na upuuzi toka lile tukio
Aisee duniani Kuna Mambosasa hivi mashoga wamekua wengi sana, kuna jamaa mmoja ambaye ni bosi flani kwenye moja ya makampuni ya simu, akishalewa matako humuwasha anabanduliwa hadi na watoto wadogo, ukimuona akiwa anaongea na waandishi wa habari ni bonge la gentleman ila sasa ukutane nae usiku hadi sauti inakua ya kike, anachofanya anawanunulia sana pombe alafu anachukua basha wake anaenda kugongwa, mara ya mwisho juzi baada ya idd saa mbili usiku amegongwa kichakani gari kapaki pembeni!
Ni kweli shule pia zinachangia but pia mtoto wa kiume kupenda mambo ya kike like kucheza nao muda wote michezo ya kikeMkuu watoto wa kiume wa magetini sikuhizi wanaharibiwa shule ni hasa boarding schools. Fikiria unalipa ada millions 20 kwa mwezi update punga
Inakoelekea jamaa litawabandua woteNingemshauri aanze mwendo! Mwisho wa siku atashindwa kujua ni mke mwenza au mume mweza kwa mumewe au both!
Ukitagiwa unipm plsUkiuleta naomba uni tagi CHIKIRA MTABARI please, tafadhali nakuomba sana
ToboaNamfahamu huyo jamaa
Nitoboeeee
Hata mimi nakimbia wala nyuma sitazami.Nisingechukua hata huo mpunga wake ningesepa kwanza
Tunasubr uzi huo.Umenikumbusha kitu kilichotokea kule unguja,ntaleta uzi humu,ni uzi wa kusikitisha,Duh!