Dume zima unafanya birthday.

Dume zima unafanya birthday.

mim sidhan kama kuna tatizo may be unipe sababu za mwanaume kutofanya birthday
 
Sura ngumu kama jiwe wewe utakuwa unakaa tandale kwa tumbo au mburahati..Elimu yako ndogo family maskini powa ugumu wa maisha
Mwanaume aliyekamilika hawezi kucheka na kubeza maisha ya mwanaume mwenzake hivi..!
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Haaaaaaaaaah JF never boring! Cio vbaya mwanaume kufanya birthday,
Mi ni kE lakn kiukweli tangu nmejielewa cjawah na ctaki kusherehekea birthday part cio kwa nia mbaya ni basi tu naiona cio lazima.

Ila kila mtu ana Uhuru wa kusherehekea cku yake hiyo.
Hili suala la vtu vingine kuwa vimekaa Girlish ndio vnavyotusumbua hata katika ununuzi wa magari na vinginevyo Sijui ni nani alisema magari meupe yawe ya wanawakena meusi ya wanaume
Nakumbuka hata kipindi npo chuoni issue ya laptop eti za wadada ndogo za wakaka kubwa
Duuuuuuh ukinunua mdada PC kubwa utashangawajeee?
Its nature madam..hatuwezi kuikataa..
 
Mi hua natumia sku yangu ya kuzaliwa kuwatembelea wagonjwa hospitalini na kutoa kidogo nilichonacho Kwa watoto yatima na wasiojiweza Ikiwa ni shukrani Kwa M'Mungu.Inashangaza kuona dume zima limealika watu,pombe na miziki eti ni birth day.Mi nkialikwa hua napotezea.
 
Hakuna shida weye, tena mi napenda kumsuprize siku yake ya birthday, keki nimlishe na mabusu ya kutosha apate
 
mim sidhan kama kuna tatizo may be unipe sababu za mwanaume kutofanya birthday

ulitaka niwe na sura ya kirembo kama wewe dada nina ya elimu ya kutosha ndugu.
 
N halal yao buana kufanya birthday as long as na wao wamezaliwa..
 
Hakuna shida weye, tena mi napenda kumsuprize siku yake ya birthday, keki nimlishe na mabusu ya kutosha apate
 
Mi nafikiri b/day unatakiwa ufanye angalau kwa vindi maalum kama miaka 10, 25,50,75&100
 
Back
Top Bottom