Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Wengine tunafanya Birthday Sex.
njoo tufanye birthday sex
Wengine tunafanya Birthday Sex.
aisee.. if you were a woman, you could be dangerous compared to kanga moko group...Sura ngumu kama jiwe wewe utakuwa unakaa tandale kwa tumbo au mburahati..Elimu yako ndogo family maskini powa ugumu wa maisha
aisee.. if you were a woman, you could be dangerous compared to kanga moko group...
goodmorning..
Kwakweli inatia kinyaa dume kufanya Birthday....Birthday imekaa kidada dada sana...Haya mambo ni wanawake bana..
tatizo lipo wapi?
Ishu ya shida imetoka wapi, wewe humjui, si ajabu ana pesa kukuzidi. Anasema philosophy ya mwanamume kufanya birthday. Birthday ni kwa watoto, labda kwa kiasi wanawake! Ni kama dume kijichubua na sabuni! Kama dume kwenda kwa Mzee wa upako uombewe upate gari, etc. Anaongea katika muktadha huo!
Sio Vibaya kabisa lengo kuu la birthday party ni kusherekea ...na unaweza hata kwenda kituo cha watoto yatima ukanywa nao soda. ..Lengo kuu ni kufurahia na kila mtu ana namna yake ya kufurahia na jamii yake kwa hiyo usihukumu namna mtu anavyo furahia siku yake ya kuzaliwa
Mwanaume aliyekamilika hawezi kucheka na kubeza maisha ya mwanaume mwenzake hivi..!