Kwanini unataka uniowe?
Hivi halali dume zima kufanya birthday.
Mbona rais wenu JK anafanya birthday?
Birthday ya kiume ni kuwaalika frnds na kupga gambe mdogo mdogo tofaut na ya watoto na akina dada kupka vipilau na kwenda mpaka ukumbin.
alaf ya kiume hata kama ukipitiwa ukaisahau sio case wala nin!
Kama haikuondolei Uanaume wako basi ni halali!
Kua mwanaume ww acha hizo..Sura ngumu kama jiwe wewe utakuwa unakaa tandale kwa tumbo au mburahati..Elimu yako ndogo family maskini powa ugumu wa maisha
kuna hiyo moja nilihudhuria ya huyo dume maana tulichanga na michango kabisa kupitia kadi za mialiko
njoo tufanye birthday sex
Hili goma lazma litakuwa linamhusu mzee mzima Le Mutuz b'cause ye ndo alifanya birthday yake siku mbili tatu zilizopita
tatizo la MMU siku hizi limejaa mipasho...
Hili goma lazma litakuwa linamhusu mzee mzima Le Mutuz b'cause ye ndo alifanya birthday yake siku mbili tatu zilizopita