GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Kwa taarifa nilizonazo kutoka Tandahimba ni kwamba wananchi walikusudia
kumuua mkuu wa wilaya hiyo Bi Hasna Mwilima kutokana na majibu mabovu
aliyowajibu wakulima hao walipotaka kujua kuhusu malipo ya korosho zao
walizokopwa.
Zoezi hilo lilifeli baada ya mashine ambayo walikuwa wanatumia kukatia miti
na kuziba barabara kushindwa kufanya kazi kutokana na kuharibika baada ya
kufanya kazi muda mrefu. Lengo lilikuwa ni kukata mwembe mkubwa na kuziba
barabara inayotoka kwa bosi huyo wa wilaya ili waweze kumshambulia vizuri.
Sijui tunaelekea wapi na KISIWA CHETU CHA AMANI.
kumuua mkuu wa wilaya hiyo Bi Hasna Mwilima kutokana na majibu mabovu
aliyowajibu wakulima hao walipotaka kujua kuhusu malipo ya korosho zao
walizokopwa.
Zoezi hilo lilifeli baada ya mashine ambayo walikuwa wanatumia kukatia miti
na kuziba barabara kushindwa kufanya kazi kutokana na kuharibika baada ya
kufanya kazi muda mrefu. Lengo lilikuwa ni kukata mwembe mkubwa na kuziba
barabara inayotoka kwa bosi huyo wa wilaya ili waweze kumshambulia vizuri.
Sijui tunaelekea wapi na KISIWA CHETU CHA AMANI.