SR senior
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 358
- 67
Jambo la kwanza kuhusu wananchi kutaka kumuua mkuu wa wilaya ni jambo la kusikitisha sana na ni la aibu kubwa,lazima tufahamu kwamba tuna nchi yenye katiba na sheria na mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo tunajivunia,kama mkuu huyo inavyodaiwa kuwa alijibu maneno ya kuudhi wananchi au kuwakejeli basi ingefaa wananchi hao wajitokeze kwa pamoja na kufanya kampeini kabambe ya kutaka mkuu huyo aondolewe katika wilaya hiyo au aombe radhi na baadae kuua si suluhisho ila wangemtia discpln tu kwa kichapo cha haja ili iwe fundisho kwa wote wanaojifanya mungu mtu pindi wanapopata madaraka.