Duh! Bei ya mafuta yapanda nchini Marekani!

Duh! Bei ya mafuta yapanda nchini Marekani!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,065
Reaction score
136,424
Safari hii yawezekana kabisa kuwa Trump kayakanyaga.

Hii vita inaanza kuonekana kwenda vile labda ambavyo hawakutarajia.

Tayari wanajeshi wa Marekani washakufa na huenda wakaendelea kufa.

Marekani ishapoteza ndege kadhaa. Wao Marekani wanadai zimetunguliwa na Kuwait kwa bahati mbaya lakini Iran wanadai wameitungua walau ndege moja.

Hapo sijui nani anasema ukweli maana wote huwa wanadanganya.

Haya, leo nimeamka naenda zangu kubeba boksi nakuta bei ya mafuta, Regular Unleaded ni zaidi ya dola 3 kwa galoni moja.

IMG_9360.jpeg


Jana na juzi bei ilikuwa ni chini ya dola 3!

Wanasiasa ni watu wa hovyo sana na wengi wao huwa wana asili ya kusema uongo.

Huyu Trump alijinadi kuwa ni mtu asiyeanzisha vita.

Ona sasa alivyofanya.

Republicans wanaenda kutandikwa vibaya kwenye midterms……
 
Marais wa Republican ni warmongers, Trump ni zaidi ya warmonger, ni mwehu ambaye yuko tayari kufanya jambo lolote kwa maslahi yake binafsi au kisasi dhidi ya wapinzani wake
 
Wanasiasa ni watu wa hovyo sana na wengi wao huwa wana asili ya kusema uongo.
Upo sahihi chanzo cha vita na mauaji mengi ni siasa na ukweli ulio wazi hatuwezi kuwepo bila siasa na siasa ndio zinatufanya tuwe hapa tupo leo, matatizo na changamoto nyingi duniani sababu ni siasa na wanasiasa hua wanaongopeana km haujui nimekujuza na baada ya kuongopena wenyewe kwa wenyewe kuna wakati wanakaa wanapougundua ukweli wananzisha vita wenyewe kwa wenyewe hio ni vita ya kisiasa inapigwa vita moja safi kabisa chanzo cha yote ni siasa sio uongo ni siasa kabla ya uongo kuingia siasa inakuaga mbele baada ya siasa unafuata uongo, ushaelewa
 
Safari hii yawezekana kabisa kuwa Trump kayakanyaga.

Hii vita inaanza kuonekana kwenda vile labda ambavyo hawakutarajia.

Tayari wanajeshi wa Marekani washakufa na huenda wakaendelea kufa.

Marekani ishapoteza ndege kadhaa. Wao Marekani wanadai zimetunguliwa na Kuwait kwa bahati mbaya lakini Iran wanadai wameitungua walau ndege moja.

Hapo sijui nani anasema ukweli maana wote huwa wanadanganya.

Haya, leo nimeamka naenda zangu kubeba boksi nakuta bei ya mafuta, Regular Unleaded ni zaidi ya dola 3 kwa galoni moja.

View attachment 3551171

Jana na juzi bei ilikuwa ni chini ya dola 3!

Wanasiasa ni watu wa hovyo sana na wengi wao huwa wana asili ya kusema uongo.

Huyu Trump alijinadi kuwa ni mtu asiyeanzisha vita.

Ona sasa alivyofanya.

Republicans wanaenda kutandikwa vibaya kwenye midterms……

Hata kama ungekuwa ni wewe wadau wameachia part one ya epstein files kuonesha wana mafiles yote then jews wanakuambia fanya hichi lasivyo tutafabya hivi utafanya nini?..

Trumps kawa blackmailed na jews
 
Na wewe acha kutumia hisia hapa.
Ndio punguza mapenzi kwenye mada km hizi don't be too emotional sababu ishatokea huwezi kurudisha mshale wa saa nyuma haiwezekani muda ushavuka pale hisia zako weka pembeni kubari kilichopo endelea na kilichopo maana hata ukilaumu unaemlaumu hawezi kukuelewa punguza hisia usilie kwa sauti lia kimya kimya kuna mtu anapasuliwa jipu huko maumivu hayawezi kua upande wako sababu wewe jipu sio lako
 
Acha tuteteseke kwa siku mbili tatu hizi ili kuiweka sawa mashariki ya kati! Mimi mwenyewe ni mwendesha tax hapa texas marekani bei imepanda mno na imetulazimu nasi tuongeze nauli kwa abilia wetu.
 
Hata kama ungekuwa ni wewe wadau wameachia part one ya epstein files kuonesha wana mafiles yote then jews wanakuambia fanya hichi lasivyo tutafabya hivi utafanya nini?..

Trumps kawa blackmailed na jews
Nimemwambia mimi apunguze hisia kwenye mapenzi km haya asiweke hisia mbele sana itamcost
 
Ndio punguza mapenzi kwenye mada km hizi don't be too emotional sababu ishatokea huwezi kurudisha mshale wa saa nyuma haiwezekani muda ushavuka pale hisia zako weka pembeni kubari kilichopo endelea na kilichopo maana hata ukilaumu unaemlaumu hawezi kukuelewa punguza hisia usilie kwa sauti lia kimya kimya kuna mtu anapasuliwa jipu huko maumivu hayawezi kua upande wako sababu wewe jipu sio lako
Unahisi Marekani hapotezi chochote?
1. Lingnisha population ya Iran na Israel
2. Eneo kati ya nchi hzo mbili
3. Waarabu suala la kifo kwao ni tofauti na wazungu,
 
Toka nigundue wewe unamchukia Samia na kumkubali Ayatollah nilikudharau sana asee.

Double standard
 
Iran kitu pekee atanifurahisha ni kutupa surprise atume vimondo Washington Na New York city. Akifanya hivyo dunia italipuka kwa furaha Sana.

Kwa sasa bado naona yupo ndani ya mfumo wa USA
 
Back
Top Bottom