Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,063
- 136,426
- Thread starter
- #21
Naona una limited vocabulary!Ndio punguza mapenzi kwenye mada km hizi don't be too emotional sababu ishatokea huwezi kurudisha mshale wa saa nyuma haiwezekani muda ushavuka pale hisia zako weka pembeni kubari kilichopo endelea na kilichopo maana hata ukilaumu unaemlaumu hawezi kukuelewa punguza hisia usilie kwa sauti lia kimya kimya kuna mtu anapasuliwa jipu huko maumivu hayawezi kua upande wako sababu wewe jipu sio lako
Toka lini mtu kutoa maoni yake ni kuwa emotional?
Unatumia tu maneno wala hujui maana yake.
Inawezekana unafanya projection…..na hapa sidhani hata kama utaelewa nazungumzia nini.