Kibingu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 1,078
- 1,439
Wanaweza kujua kuna wanyama kama simba na tembo lakini kwa upande wa uelewa wa watu na viwango vya kufikiri vya binadamu bado sana.Baada ya hapo watalii wataota tu kwamba Kuna nchi mashariki mwa afrika Ina Serengeti,Kilimanjaro,wanadai na zenji!?