Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 844
Hivi Nyerere alisema kuwa nch inahitaji SIASA SAFI lakini hawa jamaa hawana hiyo siasa safi na wanazidi kutumia rasilimali walizonazo kuendeleza nchi yao
Je WATAWALA wetu wangekuwa na vision kama hawa jamaa tungekuwa wapi?. Hii ni special progrmae ya CBS NEWS inaitwa 60 MINUTES
PART 1
http://www.cbsnews.com/sections/i_video/main500251.shtml?id=3366044n
PART 2
http://www.cbsnews.com/sections/i_video/main500251.shtml?id=3366044n
Ohh by the way kwenye hiyo video mtaona huyo sheikh Mohammed hatembei na security wala hana security detail...kisa? HE IS MAN OF THE PEOPLE!
Je WATAWALA wetu wangekuwa na vision kama hawa jamaa tungekuwa wapi?. Hii ni special progrmae ya CBS NEWS inaitwa 60 MINUTES
PART 1
http://www.cbsnews.com/sections/i_video/main500251.shtml?id=3366044n
PART 2
http://www.cbsnews.com/sections/i_video/main500251.shtml?id=3366044n
Ohh by the way kwenye hiyo video mtaona huyo sheikh Mohammed hatembei na security wala hana security detail...kisa? HE IS MAN OF THE PEOPLE!