DSTV wapandisha bei

DSTV wapandisha bei

Dstv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze
  • Hamia ulimwengu wa FTA
  • Nunua decoder yeyote ya MPEG4 pamoja na dish la futi sita
  • Bei ya MPEG4 decorder ina range kati ya TSH 120'000 hadi 250'000
  • Mpe kazi fundi akufungie LNB kama tatu hivi. CBAND moja na KU-Mbili
  • Hapo utakuwa umeachana na malipo ya kila mwezi na utapata channel nyingi ikiwemo na hiyo EMMANUEL TV
Tumia muda kidogo kusoma hizi Thread
HAKIKA HUTOFIKIRIA KUNUNUA KINGAMUZI KINGINE CHOCHOTE
 
Asilimia kubwa ya wanaonunua hii ni kwasababu ya mpira tu.

Siku watanzania wakipata mbadala wa kuangalia Mpira kwa bei ya chini. DSTV wanasaga meno.[/QUO


Kipindi kifupi cha GTV walianza kuipata kwa mbali. Sasa hivi wana monopoly kwenye soka la ulaya. Akiingia mtu hapo watafungasha TANZANIA
 
yani mkuu GTV ndo alikua anawapelekesha kinoma Dstv sjui kwanini wanashindwa kuifufua GTV yetu

DSTV ni wajanja sana katika biashara hii,ilipo kuja Gtv na yeye kuona anapoteza wateja kutokana na kuto onyesha epl aimfuata mmoja wa wenye hisa nyingi GTV na kumrubuni ajitoe,jamaa akatoa mtaji Gtv ikashindwa kujiendesha,akachukukua tena right epl....huku nigeria miaka ya juzi juzi alipoteza kwa HITV kila wekienda ku tender hitv wanashinda dstv wakairubuni bank inayo wapa dhamana hitv so ikakosa nguvu ikapoteza epl kwa dstv na kupotea kabisa kama gtv na kuwaacha watu na decoder zao....hapa tz kama azam atashinda tender ya epl dstv hawatamfanyia hujuma kwakua wateja wa dstv ni wachache sana....africa kusini inaongoza kwa kua na wateja wengi ikifuatiwa na nigeria.
 
Channel za dini ipo Azamtv. Bonyeza menu kisha bonyeza kitufe cha kuongeza sauti utaziona. Zipo kwenye other channels. Emmanuel TV ipo na imaan TV na nyinginezo.
 
Mhh,hii sasa kero!,,
Azam wakipata haki ya kuonyesha EPL naamini gharama zitashuka.
 
DSTV ni wajanja sana katika biashara hii,ilipo kuja Gtv na yeye kuona anapoteza wateja kutokana na kuto onyesha epl aimfuata mmoja wa wenye hisa nyingi GTV na kumrubuni ajitoe,jamaa akatoa mtaji Gtv ikashindwa kujiendesha,akachukukua tena right epl....huku nigeria miaka ya juzi juzi alipoteza kwa HITV kila wekienda ku tender hitv wanashinda dstv wakairubuni bank inayo wapa dhamana hitv so ikakosa nguvu ikapoteza epl kwa dstv na kupotea kabisa kama gtv na kuwaacha watu na decoder zao....hapa tz kama azam atashinda tender ya epl dstv hawatamfanyia hujuma kwakua wateja wa dstv ni wachache sana....africa kusini inaongoza kwa kua na wateja wengi ikifuatiwa na nigeria.

kumbe. Nafkiri sasa dstv macho yao yapo kwa bakhressa. Siku bakhressa akiamua kutoa bisu lake akate nyama ya epl ndo hapo dstv watapoisoma,nna uhakika bakhressa hashindwi maana sasa kashaanza kusambaza ving'amuzi vyake africa mashariki na kashafungua studio ya kisasa.. Ngoja tuone hapo baadae
 
Tutapata nafuu Azam naamin next season Epl itakuwa ndani yake Lo!
 
Kundisha being DSTV no sisi kujitakia nchi,Nina imani TBC iuwezlo wa kuwa kingamuzi na kutuonyesha yote hayo ya DSTV kwa being poa. Ebu serikali yetu iwape pesa TBC ifanye mambo saws.
 
Ebu kuna nini katika dstv ambacho kinafanya kweli MTU ulipe
Kufanya ulipe laki moja na zaidi kuangalia tv tu. Ebu tujiulize sisi wenyewe tunaenda wapi AZAM analipiza shs.12000/=kwa mwezi twende AZAM TV tumpe support aweze kufikia huko. Lazima tujifunze kungomea awa watu nje wanaotoka nchi za nje kutukomoa. Tutumie vyetu tafadhali sana.
 
Ebu kuna nini katika dstv ambacho kinafanya kweli MTU ulipe
Kufanya ulipe laki moja na zaidi kuangalia tv tu. Ebu tujiulize sisi wenyewe tunaenda wapi AZAM analipiza shs.12000/=kwa mwezi twende AZAM TV tumpe support aweze kufikia huko. Lazima tujifunze kungomea awa watu nje wanaotoka nchi za nje kutukomoa. Tutumie vyetu tafadhali sana.
 
Dstv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze
Kwahiyo watafanya vipi kwa watu ambao tayari tulishalipia miezi kadhaa mbele??!!
 
Back
Top Bottom