eribedama
Senior Member
- Oct 29, 2014
- 114
- 78
Kuna watu wanaitwa beIn Sports, ambayo tawi la Al Jazeera ya Doha, unaweza kununua decorder yao na kutafuta mafyndi wajanja wakakufungia na ukawa unalipia online. Japo beIn Sports haina rights z kurusha EPL ukanda wa Africa Mashariki, but still inaonekana na wana match analyisis nzuri kuliko Super Sport. Jamaa wapo vizuri sana aw beIn Sporta.