super nova
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 1,478
- 1,099
azamtv tumemvumiliaaaaa mwisho msimu huu skysport na BETwameshanunua raets kwa msimu ujao skysport kanunua dora milioni 500 bet dora milioni 600 na wao ndio huuza kwa dstv bein sport indiasport chinasport na wengine watauza baada ya msimu huu kuisha sasa azamtv akishindwa kununua kwa ajili ya msimu ujao wa ligi itakuwa azamtv kwishneyi
DORA Millioni 600 ndio nini mkuuu....