DSTV wapandisha bei

DSTV wapandisha bei

Until a rival emerges to numb DSTV ironclad control of premium market we gonna be under their spell for sometime.
 
DStv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze.

attachment.php


King'amuz Kizur Chenye Emmanuel Tv, God Tv, Hope Tv, Ni Zuku Kwa Sh 13000
 
Kinachopandisha bei ya dstv ni live soccer siyo hizo channel unazotaja. Kama kweli huhitaji soka kwa nini uhangaike na DSTV?

Ulichoongea ni kweli...ila siyo Live soccer peke yake inayosababisha malipo ya Dstv kuwa juu. Kuna channel zingine kama 7 au 8 hivi ambazo na wao Dstv wanazinunuwa kwa pesa nyingi sana kwa kila mwezi "ikiwamo CI" kama sijakosea hii channel ya CI (No 170) ndio inayoongoza kwa malipo makubwa...Dstv wanailipia hii CI tshs million 60 kila mwezi (niko teyari kusahihishwa if am wrong) na zikifuatiwa na zingine kama National Geographic channels,Sony max,Dis ID,History,Animal planet,BBC Knowledge,Dstv India,na baadhi ya channel za movie hasa kutoka nchi za G 8.

Kuhusu Live soccer, kwanza tambua kila mechi ya ligi kuu ya England inayoonyeshwa na hawa Dstv huwa wanailipia hata kabla hiyo mechi kuchezwa...ila siyo mechi zote ulipiwa malipo sawa 'la hasha, bali ni zile big match tu ndio ulipiwa mamillion ya shillings kwa mechi moja ya Live. Mfano inakisiwa kuwa Big match kama ya Arsenal na Man U au Man City na Liverpool
hawa jamaa wa Dstv uilipia hiyo game zaidi ya Tshs million 80 kwa match moja...na thatz why malipo ya Dstv kwa kila mwezi ni ghali sana. Lakini pia starehe ni gharama.
 
Asilimia kubwa ya wanaonunua hii ni kwasababu ya mpira tu.

Siku watanzania wakipata mbadala wa kuangalia Mpira kwa bei ya chini. DSTV wanasaga meno.

Hivi ni kwa nini hawana chanels za bure?
 
Asilimia kubwa ya wanaonunua hii ni kwasababu ya mpira tu.

Siku watanzania wakipata mbadala wa kuangalia Mpira kwa bei ya chini. DSTV wanasaga meno.

Tunaimani na Azam media... atachukua haki ya kurusha ligi zote barani Ulaya..

Kila mtu anakumbuka alichifanyiwa MultiChoice pale Ug.
 
Tatzo hamjui kwa nini hizo gharama zinapanda
Dstv and other media kubwa dunia zinatumia satellite zao wenyewe kurusha matangazo gharama za uendeshaji ni ghari mno kuliko mnavyofikiri
Dstv wao hununua matangazo kutoka katka vyombo vingne vikubwa dunian na chanel mbalimbali mfano cnn,bbc,aljazeera, matangazo ya mpira huchukuliwa toka sky sport movies zinalipiwa kila zinapoenda hewani na kama unatumia box ofice inabd ulipe malipo ya ziada
Kiukweli wanajitahid kutupa huduma kwa bei ya chini sana ila mabadriko haya yanatokana na mabadiriko ya dora yalivyo koz ni si unit ya kubdrisha fedha duniani kama nch yako ina uchumi na technology nzuri basi hata makato yatakua chini mnalalamika gharama za dstv simu hamzion serikal yenu haina hta satellite ya kuzugia mnataka mibando mikubwa kwa bei chee
 
dah, kama kwa gharama ya awali tu watu walikuwa wanashindwa kununua vifurushi hasa vyenye access ya kuona mpira kwa hili ongezeko wataweza?
 
Kama ni hivyo hauhitaji dstv maana hizo unazotaka wewe zinapatikana hata star times!

usinifanye nihame, startimes wana discovery channel, discovery hd, discovery ID, National geographic channel, nat gio wild, animal planet, history? mimi siyo mshabiki wa soccer kabisaaa, michezo labda kikapu na mbio za magari tu.
 
Bei za Dstv Tanzania zipo juu sana ukifananisha na bei kwenye nchi nyingine kama Botswana, Namibia, RSA, n.k. Kuna kitu zaidi ya gharama ambazo wanatumia kununua hizo channels.
 
Azam wanaanza kuonyesha ligi ya sipeni na tunakoelekea wataonyesha ata ya english so hapa nikuamia AzamTv ndio mpango mzima
 
usinifanye nihame, startimes wana discovery channel, discovery hd, discovery ID, National geographic channel, nat gio wild, animal planet, history? mimi siyo mshabiki wa soccer kabisaaa, michezo labda kikapu na mbio za magari tu.

Kama wewe sio mshabiki wa soka kabisa basi bila shaka maisha yako ni magumu sana, au ulianza kushabikia Arsenal ukawa disappointed nini mkuu?
 
Azam wanaanza kuonyesha ligi ya sipeni na tunakoelekea wataonyesha ata ya english so hapa nikuamia AzamTv ndio mpango mzima
Hata hao azam watakapoanza kuonyesha meshi hizo usitegemee kulipia hiyo bei unayolipia sasa. Sky sports ndio wanahaki ya kurusha ligi kuu ya uingereza kwa miaka 3,na walilipa pounds bilioni 3!nao ndio waanze kuuza haki hizo kwa hao wa dstv, uoni kuwa hapo ni parefu?? aje atoze eti 12,000!!!
 
Back
Top Bottom