Kama wewe sio mshabiki wa soka kabisa basi bila shaka maisha yako ni magumu sana, au ulianza kushabikia Arsenal ukawa disappointed nini mkuu?
Mkuu hiyo mpeg4, inaweza kukubali haya madish dizain ya azam au dstv, ili ninunue, pia niongeze lnb,au hadi hayo ya futi 6Tumia muda kidogo kusoma hizi Thread
- Hamia ulimwengu wa FTA
- Nunua decoder yeyote ya MPEG4 pamoja na dish la futi sita
- Bei ya MPEG4 decorder ina range kati ya TSH 120'000 hadi 250'000
- Mpe kazi fundi akufungie LNB kama tatu hivi. CBAND moja na KU-Mbili
- Hapo utakuwa umeachana na malipo ya kila mwezi na utapata channel nyingi ikiwemo na hiyo EMMANUEL TV
HAKIKA HUTOFIKIRIA KUNUNUA KINGAMUZI KINGINE CHOCHOTE
Mkuu mi nataka iyo kitu, no 0714495367 niko darUkitaka kuona mipira LIVE ya UINGEREZA, ITALY, SPAIN,UJERUMANI,FRANCE NA UEFA nicheki nna pack mbili za kuweza kuona hizo ligi bilaa malipo ya mwezi
mkuu kuwa makin m nlipigwa/kutapeliwa na hao jamaa, usilipe pesa, mpaka umepata huduma,vinginevyo utapigwa kama mmMkuu mi nataka iyo kitu, no 0714495367 niko dar
Wajinga sana hao Dstv ....kwanzia sasa naacha kutumia dadeki zaoDStv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze.
![]()