DSTV vs Zuku

DSTV vs Zuku

Tatizo lao na hiyo compact yao wamejaza channel za sports tu; wangefanya jambo la maana kama ingekuwa mteja anaselect channel anazozitaka, mfano mimi napenda Nationa Geographic Channel, Nat Geo Wild, Adventure, World. Discovery Channel, Discovery HD, History Channel, hata wakininyima nyingine zote mimi sina tatizo, wananilazimisha nilipie michannel mia ambayo sina matumizi nayo, nazoangalia ni hizo chache tu..huu nao ni wizi!
mbona ulizotaja hizo zote zipo, kumbuka kuna compct, afu na compact plus, hizi ni package mbili tofauti. mimi nalipia compact plus zote hizi napata kwa uzuri kabisa.
 
mbona ulizotaja hizo zote zipo, kumbuka kuna compct, afu na compact plus, hizi ni package mbili tofauti. mimi nalipia compact plus zote hizi napata kwa uzuri kabisa.

Hiyo compact plus naona sjui ni mpya!!
Unaweza kunitupia channel list?
 
DSTV ukilipia compact plus $ 50, unapata channel za mpira S5, S7, S9, S10, S19,S220 NA ESPN hizi zote zinaonyesha live games, na movies kibao pamoja na series

Mkuu Mupirocin, katika hivi ving'amuzi vya hapa kwetu, ni kipi kina channel yenye kuonesha WWE hata kama ni recorded?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mupirocin, katika hivi ving'amuzi vya hapa kwetu, ni kipi kina channel yenye kuonesha WWE hata kama ni recorded?

Mkuu mimi tangu nianze kutumia runinga nilianza moja kwa moja kutumia DSTV baada ya antena za chadema, kwa hiyo hivi ving'amuzi vingine sijui channel zilizomo. lakini JF ni kila kitu subiri watakupa details siyo muda mrefu. coz hata mimi ushauri wa kutumia DSTV nilipata humu humu.
 
ZUKU wamebadilika
Wako poa sasa hivi na bei zao ziko user friendly sana compared na DSTV
 
Kulinganisha DSTV na ZUKU ni kama kulinganisha KITAMBI na MIMBA,ipo juu saana(nzuri saana) DSTV
DSTV
*Unapo nunua mwezi kwanza unapoisha unaachiwa tv za free kama TBC,KBC,CITEN na nyingine
*Ina Chaneli nzuri toka Tanzania kama TBC 1 na STAR TV
*Vifurushi vyake ni kama ifuatavyo
-ACCESS --channels zaidi ya 48 kwa TSH.17,000/=
-FAMILY--channels zaidi ya 55 kwa Tsh.24,000/=
-COMPACT--channels zaidi ya 64 kwa Tsh.45,000/=
-COMPACT PLUS--channels zaidi ya 70 kwa Tsh 85,000/=
-PREMIUM--channels zaidi ya 95 kwa Tsh.135,000/=
#Kama upo MPANDA-KATAVI karibu Burton satellite shop 0754-83 55 43

Je! nikinununa DSTV alafu nisipo lipia sitopata zile channnel za bure mfano TBC ITV STAR TV na EATV na CLOUDS? naomba kuuliza ndugu
 
Je! nikinununa DSTV alafu nisipo lipia sitopata zile channnel za bure mfano TBC ITV STAR TV na EATV na CLOUDS? naomba kuuliza ndugu
  • Hapo kwenye bold, Tangu lini zipo DSTV?
 
etv ya south inaonesha mieleka,inapatikana ving'amuz karib vyote
 
Back
Top Bottom