Kulinganisha DSTV na ZUKU ni kama kulinganisha KITAMBI na MIMBA,ipo juu saana(nzuri saana) DSTV
DSTV
*Unapo nunua mwezi kwanza unapoisha unaachiwa tv za free kama TBC,KBC,CITEN na nyingine
*Ina Chaneli nzuri toka Tanzania kama TBC 1 na STAR TV
*Vifurushi vyake ni kama ifuatavyo
-ACCESS --channels zaidi ya 48 kwa TSH.17,000/=
-FAMILY--channels zaidi ya 55 kwa Tsh.24,000/=
-COMPACT--channels zaidi ya 64 kwa Tsh.45,000/=
-COMPACT PLUS--channels zaidi ya 70 kwa Tsh 85,000/=
-PREMIUM--channels zaidi ya 95 kwa Tsh.135,000/=
#Kama upo MPANDA-KATAVI karibu Burton satellite shop 0754-83 55 43