DStv punguzeni bei ya vifurushi vyenu kwa ushindani

Vizuri, ebu nambie kifurushi cha Azam TV cha tsh 18000 na cha dstv cha 19000 ukiwa na decorder zote alafu unalipia kimojawapo utalipia kipi, maana gharama hizo ndo zinaendana.
In short hata TV stations za Azam hazijaweza kuvutia kila mtu aitumie.
Pili hata kufanya installation ya azam vs dstv kuna tofauti tena karibia mara 2, lazima option uiweke kwa mwenye low price.
Tatizo wengi wanaoipinga dstv wao hukimbilia kuiponda kwa vile vifurushi vya bei ghali ambavyo hata huku azam hana Chanel's zake
Nimekuuliza swali zuri tu kwamba kwani wanovaa mitumba ambao naamini ndiyo wengi hapa tz hawapendi kuvaa nguo za dukani au mpya? Bila shaka wanapenda na wanatamani sana kuvaa nguo mpya zinazouzwa madukani ambazo quality yake ni bora zaidi kuliko mitumba!

Kwa upande wa ving'amuzi nimesema kabisa kwenye post yangu hapo juu kwamba DSTV wana vipindi (programmes) nyingi sana na nzuri compared na ving'amuzi vingine vinavopatikana hapa tz. Tatizo watu hawawezi kuafford hzo bei zao ziko juu. Sasa sijui unataka tulinganishe kitu gani?
 
DSTV KWA MFANO ANALIPIA EXCLUSIVE RIGHTS ZA EPL INAFIKA MABILION SASA WAKISHINDANA NA AZAM ITAFIKA HADI TRILION SASA TUSEME AZAM WAKASHINDA UNAFIKIRI KIFURISHI KITABAKI CHA 15 UMEONA WAPI BIASHARA KICHAA HIYO SI MNAKUMBUKA GTV WALIWEKA BEI CHINI WAKASHINDWA KUENDELEA WAKAFILISIKA
Idadi ikizidi kuwa kubwa ffaida itapatikanaa, bei ya soda ni sh 500 lakini kwakuwa wanywaji ni
 
Nimekuuliza swali zuri tu kwamba kwani wanovaa mitumba ambao naamini ndiyo wengi hapa tz hawapendi kuvaa nguo za dukani au mpya? Bila shaka wanapenda na wanatamani sana kuvaa nguo mpya zinazouzwa madukani ambazo quality yake ni bora zaidi kuliko mitumba!

Kwa upande wa ving'amuzi nimesema kabisa kwenye post yangu hapo juu kwamba DSTV wana vipindi (programmes) nyingi sana na nzuri compared na ving'amuzi vingine vinavopatikana hapa tz. Tatizo watu hawawezi kuafford hzo bei zao ziko juu. Sasa sijui unataka tulinganishe kitu gani?
Azam ni afodable kivipi ?

Dstv installation now ni 80,000 unapata offer ya miezi 2 free
 
Sijaelewa na apo kwy extra view ni Tshs 26,500
Extra view,nikuangalia TV zaidi ya moja kwa kutumia decoda tofauti lkn ungo mmoja.mfano mtu kajiunga bando la 109000,anaangalia Chanel zote zilizopo katika kifurushi hicho.Na wewe ukitaka uzione unalipia 26500 .Decoda yake inakuwa inatumika kama primary,yako secondary.ikiwa namaana kuwa huwezi kuangalia chaneli yeyote bila yeye kuwasha decoda yake..
 
Azam ni afodable kivipi ?

Dstv installation now ni 80,000 unapata offer ya miezi 2 free
Azam ni afodable kwa sababu bei zake zipo chini saanaa.mfano kifurushi cha chini cha azam ni elfu kumi kwa mwezi,na chajuu ni elfu 28.Huku dstv cha chini ni elfu 19,cha juu ni 169000.Ingawa kwenye kununua king'amuzi cha azam ni 150000,huku dstv ni elfu 79.
 
Kwa maoni yangu mshindani mkubwa wa Dstv ni Internet mfano siku hizi vijana wengi wana stream match za mpira nk. Wapenzi wa movies na series wanadownlaod kama unakipindi unakipenda una download free tu. Mfano TTCL kwa usiku unapata GB 10 kwa Tsh. 1000 so why ulipie full package ya dstv wakati unaweza pata kila kitu cheap na faster.
 
Kwa maoni yangu mshindani mkubwa wa Dstv ni Internet mfano siku hizi vijana wengi wana stream match za mpira nk. Wapenzi wa movies na series wanadownlaod kama unakipindi unakipenda una download free tu. Mfano TTCL kwa usiku unapata GB 10 kwa Tsh. 1000 so why ulipie full package ya dstv wakati unaweza pata kila kitu cheap na faster.
Hao ni vijana mkuu,vipi wenye familia nao?.
 
Mkuu hebu fafanua na hiyo bei ya extra view ni nn tujue achana na hao wapiga kelele kuhusu azam na mi ujinga wao
Extra view,nikuangalia TV zaidi ya moja kwa kutumia decoda tofauti lkn ungo mmoja.mfano mtu kajiunga bando la 109000,anaangalia Chanel zote zilizopo katika kifurushi hicho.Na wewe ukitaka uzione unalipia 26500 .Decoda yake inakuwa inatumika kama primary,yako secondary.ikiwa namaana kuwa huwezi kuangalia chaneli yeyote bila yeye kuwasha decoda yake..
 
Mkuu hebu fafanua na hiyo bei ya extra view ni nn tujue achana na hao wapiga kelele kuhusu azam na mi ujinga wao
Mi nadhani wewe ndiye una ujinga kichwani. Kwa kuwa wewe unaweza kulipia kila mwezi 19000/= dstv unadhani kila mtu anaweza? Hapa duniani kuna madaraja ndugu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake! Sidhani kama na wewe una afford kulipia kifurushi cha 169000/= kwa mwezi na ndiyo maana umekimbilia kulipia cha dstv 19000/= ambacho channel zake haziwezi kuwa kama za kifurushi cha 169000/= cha dstv. Watu wanachagua azam, ting, star times n.k kutoka na urefu wa kamba zao! KAMA HUELEWI HAYA MAMBO BASIC YA MAISHA NINA WASIWASI NA VYETI VYAKO!
 
Dstv ina serve Africa. Sasa unaposema Ushindani unamaanisha Competitors wapi? Wa Tanzania au Africa??
 
Kuna kipindi waliibuka jamaa flan wa G-Sport walishachukua game zote kubwa EPL kwa bei ndogo sana hadi Dstv akabaki hoi anatembelea kiuno kana Penguin na vi mechi vya Derby County na Middlesbrough.. Sema mtikisiko wa uchumi wa 2008 ukaenda nao ila walishamuelekeza machinjioni Dstv, binafsi nawamiss sana
 
Kuna kipindi waliibuka jamaa flan wa G-Sport walishachukua game zote kubwa EPL kwa bei ndogo sana hadi Dstv akabaki hoi anatembelea kiuno kana Penguin na vi mechi vya Derby County na Middlesbrough.. Sema mtikisiko wa uchumi wa 2008 ukaenda nao ila walishamuelekeza machinjioni Dstv, binafsi nawamiss sana
na Dstv analichukulia tukio lile kama somo kubwa kwake. Ndio maana anahakikisha hamuachii nafasi Azam.
 
Back
Top Bottom