Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani kuna channels nyingi sana za kimataifa ambazo huwezi kuzipata kwingine isipokuwa DSTv, hivyo hata Azam wakirusha EPL bado DsTv wana mwanya mkubwa wa kuwa kwenye ushindani.Siku azam watakapoanza kurusha EPL ndipo dstv watakapokimbiwa na zaidi ya nusu ya wateja wao.
Kwa ufupi tu siku dstv akipata leseni ya kuonesha VPL huo ndio utakua mwisho wa azam nakupenda dstv japo unanitesaNadhani kuna channels nyingi sana za kimataifa ambazo huwezi kuzipata kwingine isipokuwa DSTv, hivyo hata Azam wakirusha EPL bado DsTv wana mwanya mkubwa wa kuwa kwenye ushindani.
Kwa ufupi tu siku dstv akipata leseni ya kuonesha VPL huo ndio utakua mwisho wa azam nakupenda dstv japo unanitesaNadhani kuna channels nyingi sana za kimataifa ambazo huwezi kuzipata kwingine isipokuwa DSTv, hivyo hata Azam wakirusha EPL bado DsTv wana mwanya mkubwa wa kuwa kwenye ushindani.
Kifurushi cha chini ni kipi dstv ie bei gani? Cha juu ni ngapi nami nijichanganyeKwa ufupi tu siku dstv akipata leseni ya kuonesha VPL huo ndio utakua mwisho wa azam nakupenda dstv japo unanitesa
Acha uwongo, vifurushi vya epl siyo 80000+ kama unavyosema, labda ulihadithiwa na jirani yako ambae naye alihadithiwa....huna dstv!Kifushi cha 100000, 80000 na 60000 kwa watanzania Wa leo ni ghali sana kwao kununua majumbani mwao. Iko siku soko la Tanzania litawawia gumu. Wengi wanaonunua dstv ni kwaajili ya EPL basi ambayo lazima wawe na kifurushi kisichopungua sh.80000+
kasikia....Acha uwongo, vifurushi vya epl siyo 80000+ kama unavyosema, labda ulihadithiwa na jirani yako ambae naye alihadithiwa....huna dstv!
Jina la kifurushi: DSTV BombaKifurushi cha chini ni kipi dstv ie bei gani?
Bei yake please nani nijichanganyeDSTV is very expensive in Tanzania ukilinganisha na SA, ila ni king'amuzi makini. Sijawahi kuwa na king'amuzi kingine zaidi ya DSTV hivyo niishie kusema ni chaguo sahihi.
Bei ni ya kawaida, inategemea unalipia kifurushi gani kwa ambayo ninailipia mimi, inacheza kati ya 110,000/- 100,000/- compact plus, it is very satisfying. 110,000/- ukigawanya kwa siku 30 ni kama 3500 kwa siku, ki-bongo bongo siyo mbaya. Siwezi kuelezea gharama za ku- connect kwa sasa, kwani nilijiunga nao zaidi ya miaka kumi iliyopita, hivyo kwa msaada zaidi tembelea ofisi zao.Bei yake please nani nijichanganye
Azam wanasafari ndefu sana ya kuja kurusha EPL na nitakupa sababu kuu kwanini. sio suala la pesa Bakhresa pesa anazo anaweza japo ni pesa ndefu. tatizo linakuja unajuwa EPL wanavyonadi package zao ni kwa zone mfano kuna Middle east plus N.Africa halafu kuna rest of Africa na ni kwa sababu N.Africa ni waarabu. ili Azam aweze kupewa kwanza ni lazima awe amefikia soko la Africa lote kwa maana EPL ni product na EPL ili waauze wanatafuta mtu anaweza kufikisha product kwa wateja wote hilo Azam bado sana ata fail katika bidding. jingine ni secure system ili matangazo yasiweze kuibwa na infastructure kama studios na uhakika wa matangazo. Sababu kuwa DSTV wataendelea kurusha EPL ni hawana mshindani na wako kila kona ya Africa ni kama chanel ya Africa. ukweli AZAM kwa sasa abaki huko la liga sababu product ya Liga wanauza kwa kila mtu ila EPL wana vigezo vigumu sana ndio maana product yao ghali sana. kuna wakati Beinsport walizuiwa kurusha all games sababu haikuwa 100% secure from piracy mpaka waka correct.Nadhani kuna channels nyingi sana za kimataifa ambazo huwezi kuzipata kwingine isipokuwa DSTv, hivyo hata Azam wakirusha EPL bado DsTv wana mwanya mkubwa wa kuwa kwenye ushindani.
Dstv kuna kifurushi hadi cha Tsh 19,000[/QUOTE
Ninayo tayari lkn bei zilinikimbiza . compact plus unapata BBC, CNN, geographical, au? hizi ndizo bomba na mipira (ingwa sina ushabiki wa mpira)Bei ni ya kawaida, inategemea unalipia kifurushi gani kwa ambayo ninailipia mimi, inacheza kati ya 110,000/- 100,000/- compact plus, it is very satisfying. 110,000/- ukigawanya kwa siku 30 ni kama 3500 kwa siku, ki-bongo bongo siyo mbaya. Siwezi kuelezea gharama za ku- connect kwa sasa, kwani nilijiunga nao zaidi ya miaka kumi iliyopita, hivyo kwa msaada zaidi tembelea ofisi zao.
Cha chini ni 19,000 na cha juu kwabisa 85,000Kifurushi cha chini ni kipi dstv ie bei gani? Cha juu ni ngapi nami nijichanganye